Zaidi ya salama condom unajua salama gani nyingine?Mushaanza tambo tayari.
aseno club salama? Ama mimi ndio sijui maana ya salama?
Zaidi ya salama condom unajua salama gani nyingine?Mushaanza tambo tayari.
aseno club salama? Ama mimi ndio sijui maana ya salama?
Hili ni tatizo la wengi tukiongozwa na chelsea na man uTatizo mukifungwa game 2 tu munakimbiana.
Hili ni tatizo la wengi tukiongozwa na chelsea na man u
Ila mkuu hapa wanaoongozwa kukimbia wakifungwa ni Chesi wakifuatiwa na ninyi. Huo ndo ukweli.Hili ni tatizo la wengi tukiongozwa na chelsea na man u
Hebu taja id yangu nyingine bossWewe mwenyewe unatakiwa urudishe ile I'd yako ya zamani.
Alafu katika mashabiki wenye imani na timu yao sisi Manchester United tunaongoza.
Wengi wa mashabiki wa Liverpool walihama miaka ya 2004 na kujiunga Chelsea.
Alkadhalika aseno kapoteza mashabiki wengi hapa miaka ya 2015, wengi wamekimbilia Manchester City.
Ila sio mashabiki wa Manchester United, sisi tunaamini zama zetu zitarudi, na ndio msimu huu tanaanza nao.
Hizi timu zinazowania kushiriki Uropa ndio wako hivyo.Mushaanza tambo tayari.
aseno club salama? Ama mimi ndio sijui maana ya salama?
Tofautisha timu kufungwa mechi moja na kufungwa mechi saba mfululizo.Ila mkuu hapa wanaoongozwa kukimbia wakifungwa ni Chesi wakifuatiwa na ninyi. Huo ndo ukweli.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sasa kusema mchezaji yupo klabu salama kukuza kipaji ni tambo?Hizi timu zinazowania kushiriki Uropa ndio wako hivyo.
Tambo ni nyingi kuliko uhalisia, . Na season hii hata nafas ya uropa hawapati.
Ila kwa kweli awamu hii ni wewe uliyesimama imara kutuwakilisha hapa!.. Mechi saba mfululizo si mchezo kabisa. Nakumbuka kuna kipindi ulitetea sana kuwa Aour ni muhimu sana kwa kipondi hiki wengine tulikupinga lakini sasa imeonekana kabisa huko mbele hakuna creativity kabisa. Angalau toka dogo Smith-Rowe aanze kukipiga pale mbele tunaona kabisa timu inatafuta mabao... Nikupongeze kwa kusimama imara hapa jukwaani, wengine tuna roho ndogo tulikuea tunasoma comment tu!.. Tuombe Mungu tushinde mechi inayokuja maana najua Aaron atatokea baada ya mechi hiyo.Tofautisha timu kufungwa mechi moja na kufungwa mechi saba mfululizo.
Arsenal ikipoteza game moja Mashabiki wa Arsenal hua tunakuepo humu tutajibu utani wa watu na kuonyesha ubovu wetu.
Wengi hawajarudi baada ya kuanza vibaya kwenye ligi.
Mashabiki wa chelsea na man u wakifungwa mechi moja utakuta wapo 2 au mmoja wanasema kocha hafai na wanatakiwa kusajili
Mashabiki wa liva wakisuluhu baadhi huandika kiingereza. Wakifungwa woooote huandika kiingereza.
Kupingana inaruhusiwa wote tukiwa na sauti moja itakua komedi kidogo.Ila kwa kweli awamu hii ni wewe uliyesimama imara kutuwakilisha hapa!.. Mechi saba mfululizo si mchezo kabisa. Nakumbuka kuna kipindi ulitetea sana kuwa Aour ni muhimu sana kwa kipondi hiki wengine tulikupinga lakini sasa imeonekana kabisa huko mbele hakuna creativity kabisa. Angalau toka dogo Smith-Rowe aanze kukipiga pale mbele tunaona kabisa timu inatafuta mabao... Nikupongeze kwa kusimama imara hapa jukwaani, wengine tuna roho ndogo tulikuea tunasoma comment tu!.. Tuombe Mungu tushinde mechi inayokuja maana najua Aaron atatokea baada ya mechi hiyo.
Mimi naamini hii mechi tutashinda japo kwa mbinde.. Tukishinda hii mechi tutarudi relini moja kwa moja.. Uwepo wa Saka, martinel, Rowe na pablo mali umetupa energy kubwa sana, soon hata auba ataanza kuscore..Kupingana inaruhusiwa wote tukiwa na sauti moja itakua komedi kidogo.
Game inayofuata itakua ngumu. West Brom walipaki basi kwa liva wakapata suluhu, liva pia ina tatizo la creativity kama Arsenal, wakaenda kushambulia kwa leeds wakala mkono.
Nahisi Sam atarudia mchezo wa kupaki basi na kwetu pia. Hivyo itakua ni swala la kumchinja kobe timing lazima.
Kocha wa West Brom katishiwa kibarua atakua ana hasira si mchezo.Mimi naamini hii mechi tutashinda japo kwa mbinde.. Tukishinda hii mechi tutarudi relini moja kwa moja.. Uwepo wa Saka, martinel, Rowe na pablo mali umetupa energy kubwa sana, soon hata auba ataanza kuscore..
Naamini tutasajiliGame ya juzi tulimaliza kipindi cha kwanza tukiwa na shot moja off target aliyopiga Xhaka. Kipindi cha pili ilikua kila mmoja anapiga within five minutes tukawa tushapiga shots nne players tofauti tofauti.
Hii mentality ya anayeweza kuscore ascore asimsubiri Auba ni ya muhimu kipindi hichi ambacho tumeachwa points sita kumtoa alipo kibonde wetu chelsea.
Imani yangu ni kwamba tukisajili AM na kikosi kisikumbwe na majeruhi tunamaliza top four. Kama tukisajili nitakuja kushare ninachoamini.