Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mzimu wa arsenal unaibukia kwa hawa wavulana wa London

London is red
 
Naona Arsenal fans mmepoa kulikoni au mmeona kuna gharika la magoals

LONDON IS BLUE
 
Wazee hiki kikosi shit.

Huyu Mari siyo mbaya lakini hana uzoefu.

Arteta kaweka watu watatu nyuma ambao wote hawana uzoefu na ligi just fighting spirits.

Kisha kampa namba Smith Rowe huyu ni AM by nature yaani wakati tunalalamikia AM angeweza mtumia lakini unadhani kwanini kamtumia leo?

Ili hata akifall ionekane anawafavor academy so wanaweza mvumilia.

Martnell katokea majeruhi, Mari katokea majeruhi. Pepe kwanini asingekaa kwa Smith kisha Smith aende kwa Martnell?

Leo tutafute mbana pumbu mpya.
 
Wazee hiki kikosi shit.

Huyu Mari siyo mbaya lakini hana uzoefu.

Arteta kaweka watu watatu nyuma ambao wote hawana uzoefu na ligi just fighting spirits.

Kisha kampa namba Smith Rowe huyu ni AM by nature yaani wakati tunalalamikia AM angeweza mtumia lakini unadhani kwanini kamtumia leo?

Ili hata akifall ionekane anawafavor academy so wanaweza mvumilia.

Martnell katokea majeruhi, Mari katokea majeruhi. Pepe kwanini asingekaa kwa Smith kisha Smith aende kwa Martnell?

Leo tutafute mbana pumbu mpya.

Nilisema arteta hana jipya, uwezo wake wa kujenga timu umefikia mwisho. Something needs to be done quickly
 
Nilisema arteta hana jipya, uwezo wake wa kujenga timu umefikia mwisho. Something needs to be done quickly
Kinachonishtua ni kutosikia any move is made toward solving our lack of standard players.

Huna AM, CF umri unaenda unashindwa nini kumchukua kwa mkopo Luca Jovic? Tetesi za Domi zimeisha kama zilivyoanza
 
The greater problem at Arsenal has been the recruitment. It's been poor. When they signed Nicolas Pepe for £72m they didn't really need him. They needed to sort it out at the back. Looking at them and some players, they don't seem that bothered they're losing games. Lawro
 
The greater problem at Arsenal has been the recruitment. It's been poor. When they signed Nicolas Pepe for £72m they didn't really need him. They needed to sort it out at the back. Looking at them and some players, they don't seem that bothered they're losing games. Lawro
Ngoja mechi iishe
 
Back
Top Bottom