Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Correct
 
uko sahihi kabisa
 
Moderate tunaomba kuwatoa hawa wapuuzi kwenye uzi wetu tuna mambo yetu ya msingi kama wana gunners tunataka kuyajadili.
 
Huyu kima Arteta aondoke. Mashabiki wa Araenal tunataniwa mitaani kwamba siyo Fans tena wa Arsenal bali ni Makada
 
Huwezi amini sijakuelewa
 

Leo Ozil kawa hana kiwango daah kweli dunia inaenda kasi!! Haya hao wenye viwango wameisaidia nini timu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…