Arsenal (The Gunners) | Special Thread

acha kutufurahisha

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Sawa Mkuu, but natumai hiki kikombe tutakivuka salama licha ya changamoto zilizopo.

Juu tunarudi mapema January 💪💪💪
 
Willian analipwa zaidi ya 200k per wiki

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna fwalaa bado anashabikiaa arsenal???? Hii sio timuu ni kikundi cha vibakaa
 
Kuwazomea ni aibu ! Polen wakuu , muache ngebe kubishana na wanaume, ligi ilivyoanza mlishinda vimechi kadhaa mkasema nyie Ni title contenders,,,,

Arteta aliimbwa kwa kila aina ya pambio !!
 
Hapo game ya kwanza kabisa kushinda ni ya Chelsea, inakuja game ya Carabao na hao wengine watalamba dawa kama kawaida


Haya maneno yako hayana tofauti na ndoto za alinacha. Endelea kuota boxing day nikupe zawadi yako ya Christmass

Arse
 
Mkuu, kwangu mimi, wewe ndie shabiki wa Arsenal hapa JF.

Kwanza nina imani hii timu haujaipendea jersey kama Dully Jr na genge lake.

Endelea kua na moyo kama huo ipo siku zitarudi zile zama za kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Unapeeenda mwenyewe
 


Haya maneno yako hayana tofauti na ndoto za alinacha. Endelea kuota boxing day nikupe zawadi yako ya Christmass

Arse
Siku ile tunakupiga FA ile ilikua Arsenal ya kuungwa ungwa kwahiyo tulia hapohapo uone utakachojipatia
 
Mara zote ndoto za mchana zinakuwa hivyo, sikushangai.
Wewe sio wa kutuombea Mabaya namna hiyo.

Kama tunavumilia maumivu ya msoto mkali wa maisha, stress za ndoa kwa miaka na miaka sembuse Arsenal hii ambayo kuanzia January inarudi kileleni.

Kama nilivumilia kipigo cha 8-2 kutoka kwa Man utd, kipigo cha 5-1,5-1, kutoka kwa Buyern sishindwi kuvumilia matokeo haya ya mpito.

Wacha kama kuniua Arsenal na iniue mwaka huu💪💪💪
 

Sawa mkuu, kama nilivyoandika juu kule, mimi ni kuzomea na kushangilia.
 
Aisee, mkuu una moyo sana. Safi sana ila bahati mbaya ni kuwa hakuna matokeo mazuri bila proper planning. Timu yenu iliingia kwenye project na Arteta kichwa kichwa bila kujipanga vizuri.

Inabidi mkubali kurudi nyuma alipoishia mzee Wenger ndiyo muanze planning. Vinginevyo kwa hizo project za ki-arteta arteta au ki-ole ole hamtoboi nawaambia.

You need some serious planning behind closed doors. Mbona inawezekana. Kwa nini msijifunze kwa wenzenu Liverpool wamefanyaje project yao. Chelsea pia wana project nzuri na unaweza ona kikosi chao kitakuwa tishio kiasi gani misimu miwili ijayo.

Sijataja Spurs kwa kuwa mtanimind bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…