Kama haukumbuku mara ya mwisho kutoa assisst inamaanisha hua hauangalii mechiCeballos na Yaya Sanogo licha wanacheza position tofauti but hawana utofauti wa viwango,ceballos assist ya mwisho sijui aliitoa mwaka gani nimesahau
Kama haukumbuku mara ya mwisho kutoa assisst inamaanisha hua hauangalii mechiCeballos na Yaya Sanogo licha wanacheza position tofauti but hawana utofauti wa viwango,ceballos assist ya mwisho sijui aliitoa mwaka gani nimesahau
Nakumbuka siku nasema usajili wa Thom ni wa kukurupuka Aaron Arsenal na jamaa anaitwa nani sijui hua anakuja kunicrush na kuondoka wakasema tuna Ceballos.Merson anauliza "how would he not get in that team, ozil??"
Tuliamini eti kuna ceballos
Kama kawaida yenu mtafungwa tenalicha hatupo vizuri kabisa na wasiwasi kesho point 3 tunabeba sitaki kuamini kesho tutafungwa tena ,i don't want to believe it
Mechi za Arsenal zote naziangalia isipokuwa za Europa ambazo kwa sasa kwangu bado naweza kusema group stages ni timu nyanya zipo nikumbushe katika EPL ceballos Alitoa assist mwisho liniKama haukumbuku mara ya mwisho kutoa assisst inamaanisha hua hauangalii mechi
Baada ya Dani na Nketia kugombana game iliyofuata Arsenal alicheza na nani?Mechi za Arsenal zote naziangalia isipokuwa za Europa ambazo kwa sasa kwangu bado naweza kusema group stages ni timu nyanya zipo nikumbushe katika EPL ceballos Alitoa assist mwisho lini
Nimeenda kwenye file la ceballos assist ya mwisho kaitoa tarehe 19/9 it means miezi 3 hana assist kabisa au ulikuwa unataka kusema nini?mchezaji ambaye miezi 3 hana assist unataka kumpa sifa zipi?Baada ya Dani na Nketia kugombana game iliyofuata Arsenal alicheza na nani?
Actually nimesahau ile mechi. Ila alitoa assisst kumpa Nketiah just siku kadhaa baada ya kugombana.Nimeenda kwenye file la ceballos assist ya mwisho kaitoa tarehe 19/9 it means miezi 3 hana assist kabisa au ulikuwa unataka kusema nini?mchezaji ambaye miezi 3 hana assist unataka kumpa sifa zipi?
Sasa kazi ya ceballos ni nini?ni kudefend au?Actually nimesahau ile mechi. Ila alitoa assisst kumpa Nketiah just siku kadhaa baada ya kugombana.
Kutaka Dani awe mgawa assisst ni kama shabiki wa liva aliyekua anasema Henderson ni flop as hatoi assisst kama DeBruyne.
Kwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?Sasa kazi ya ceballos ni nini?ni kudefend au?
Basi tuseme hivi ceballos kwa sasa hajaonyesha umuhimu wowote pale Arsenal kwa sasaKwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?
Siku niliyosema Thomas ulikua usajili wa kukurupuka kuna watu (sijui kama na wewe ulikuemo) walisema kazia ya Aouar ataifanya Dani na nikaelezea kwanini haiwezekani Dani kufanya hiyo kazi.
Rudi hadi pale. Nilielezea Dani anacheza nafasi gani na kwanini haiwezekani, na wewe jibu la swali lako liko pale.
Ila Arteta hakumuweka ozil kwenye squad akiwa anajua Ceballos ndio atafanya kazi hiyo na huu ni ukweli ambao haufichiki au na hili unakataa?Kwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?
Siku niliyosema Thomas ulikua usajili wa kukurupuka kuna watu (sijui kama na wewe ulikuemo) walisema kazia ya Aouar ataifanya Dani na nikaelezea kwanini haiwezekani Dani kufanya hiyo kazi.
Rudi hadi pale. Nilielezea Dani anacheza nafasi gani na kwanini haiwezekani, na wewe jibu la swali lako liko pale.
Bob Arteta alivyotemana na Ozil akaenda kumfuata Aouar. Sasa alimfuata wa nini kama kuna Ceballos?Basi tuseme hivi ceballos kwa sasa hajaonyesha umuhimu wowote pale Arsenal kwa sasa
Ila Arteta hakumuweka ozil kwenye squad akiwa anajua Ceballos ndio atafanya kazi hiyo na huu ni ukweli ambao haufichiki au na hili unakataa?
Ceballos anacheza kama CM na vile vile AM unataka kukataa?hizo ndo roles zake uwanjani sasa kama anacheza kama AM na assist hatoi je ana umuhimu gani?kumfuata Aouar ilikuwa ni nafasi yake anaimudu 100 percent but board ikaona kama Partey anakuja na Ceballos akiwepo mambo yatakuwa mwake na Ozil akaachwa ila kumbe ilikuwa nadharia tu Ceballos akicheza kama AM hata CM kwa sasa ni legelege amefeli kabisaBob Arteta alivyotemana na Ozil akaenda kumfuata Aouar. Sasa alimfuata wa nini kama kuna Ceballos?
Ozil ni Playmaker Attacking Midfielder. Unataka kusema Dani ni AM?
Kwani nyinyi wenzangu hizi taarifa mnatoa wapi?Ceballos anacheza kama CM na vile vile AM unataka kukataa?hizo ndo roles zake uwanjani sasa kama anacheza kama AM na assist hatoi je ana umuhimu gani?kumfuata Aouar ilikuwa ni nafasi yake anaimudu 100 percent but board ikaona kama Partey anakuja na Ceballos akiwepo mambo yatakuwa mwake na Ozil akaachwa ila kumbe ilikuwa nadharia tu Ceballos akicheza kama AM hata CM kwa sasa ni legelege amefeli kabisa
Nenda kwenye websites ,Google utaona position au roles zake nenda then urudi tena hapaKwani nyinyi wenzangu hizi taarifa mnatoa wapi?
Hebu lete source ya hiki unachokiandika.
Transfermarket inamtambua Ceballos kama CM wewe unasema Arteta anajua Dani ni AM nakuambia lete source hutaki.Nenda kwenye websites ,Google utaona position au roles zake nenda then urudi tena hapa
Mimi nachokwambia ceballos kiwango chake kimefeli hatoi assist wala hazuii na Arteta ameona bora kuwa na Elneny na Partey kati kuliko ceballos awepo au labda sikuelewi tunachobishania hapa ni nini?
In my opinion nakwambia ceballos hizo roles anazozichezea hazitendei haki alivyokuja Arsenal last season alikuwa wa moto assist alikuwa anatoa au kucreate chances alikuwa anafanya hvyo
Wanaarsenal leo nawaombea kila la kheri. Fanyeni ima mfunge Tot ili mjinasue kushuka daraja. Itakuwa aibu sana timu kubwa kama arsenal mnakuwa kwenye denja zone. Ebu fanyeni kitu aisee
Huyo jamaa ana umri Kama wakwangu.