Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ceballos na Yaya Sanogo licha wanacheza position tofauti but hawana utofauti wa viwango,ceballos assist ya mwisho sijui aliitoa mwaka gani nimesahau
Kama haukumbuku mara ya mwisho kutoa assisst inamaanisha hua hauangalii mechi
 
Merson anauliza "how would he not get in that team, ozil??"

Tuliamini eti kuna ceballos
Nakumbuka siku nasema usajili wa Thom ni wa kukurupuka Aaron Arsenal na jamaa anaitwa nani sijui hua anakuja kunicrush na kuondoka wakasema tuna Ceballos.

Nikauliza lini Dani kacheza kama AM? Aaron Arsenal akajibu Real Madrid alitumika kama AM.

Wakati kwenye FIFA 19 by default hata kikosi cha kwanza hakuepo na unamkuta as CM.
 
Kama haukumbuku mara ya mwisho kutoa assisst inamaanisha hua hauangalii mechi
Mechi za Arsenal zote naziangalia isipokuwa za Europa ambazo kwa sasa kwangu bado naweza kusema group stages ni timu nyanya zipo nikumbushe katika EPL ceballos Alitoa assist mwisho lini
 
Mechi za Arsenal zote naziangalia isipokuwa za Europa ambazo kwa sasa kwangu bado naweza kusema group stages ni timu nyanya zipo nikumbushe katika EPL ceballos Alitoa assist mwisho lini
Baada ya Dani na Nketia kugombana game iliyofuata Arsenal alicheza na nani?
 
Baada ya Dani na Nketia kugombana game iliyofuata Arsenal alicheza na nani?
Nimeenda kwenye file la ceballos assist ya mwisho kaitoa tarehe 19/9 it means miezi 3 hana assist kabisa au ulikuwa unataka kusema nini?mchezaji ambaye miezi 3 hana assist unataka kumpa sifa zipi?
 
Nimeenda kwenye file la ceballos assist ya mwisho kaitoa tarehe 19/9 it means miezi 3 hana assist kabisa au ulikuwa unataka kusema nini?mchezaji ambaye miezi 3 hana assist unataka kumpa sifa zipi?
Actually nimesahau ile mechi. Ila alitoa assisst kumpa Nketiah just siku kadhaa baada ya kugombana.

Kutaka Dani awe mgawa assisst ni kama shabiki wa liva aliyekua anasema Henderson ni flop as hatoi assisst kama DeBruyne.
 
Actually nimesahau ile mechi. Ila alitoa assisst kumpa Nketiah just siku kadhaa baada ya kugombana.

Kutaka Dani awe mgawa assisst ni kama shabiki wa liva aliyekua anasema Henderson ni flop as hatoi assisst kama DeBruyne.
Sasa kazi ya ceballos ni nini?ni kudefend au?
 
Sasa kazi ya ceballos ni nini?ni kudefend au?
Kwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?

Siku niliyosema Thomas ulikua usajili wa kukurupuka kuna watu (sijui kama na wewe ulikuemo) walisema kazia ya Aouar ataifanya Dani na nikaelezea kwanini haiwezekani Dani kufanya hiyo kazi.

Rudi hadi pale. Nilielezea Dani anacheza nafasi gani na kwanini haiwezekani, na wewe jibu la swali lako liko pale.
 
Kwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?

Siku niliyosema Thomas ulikua usajili wa kukurupuka kuna watu (sijui kama na wewe ulikuemo) walisema kazia ya Aouar ataifanya Dani na nikaelezea kwanini haiwezekani Dani kufanya hiyo kazi.

Rudi hadi pale. Nilielezea Dani anacheza nafasi gani na kwanini haiwezekani, na wewe jibu la swali lako liko pale.
Basi tuseme hivi ceballos kwa sasa hajaonyesha umuhimu wowote pale Arsenal kwa sasa
Kwamba unataka nianze kukuambia juu ya Central Mid, Attacking Mid na Defensive Mid kisha nikuambie Dani ni nani katika hao kisha nikuambie kwanini kugawa assisst siyo kazi yake?

Siku niliyosema Thomas ulikua usajili wa kukurupuka kuna watu (sijui kama na wewe ulikuemo) walisema kazia ya Aouar ataifanya Dani na nikaelezea kwanini haiwezekani Dani kufanya hiyo kazi.

Rudi hadi pale. Nilielezea Dani anacheza nafasi gani na kwanini haiwezekani, na wewe jibu la swali lako liko pale.
Ila Arteta hakumuweka ozil kwenye squad akiwa anajua Ceballos ndio atafanya kazi hiyo na huu ni ukweli ambao haufichiki au na hili unakataa?
 
Basi tuseme hivi ceballos kwa sasa hajaonyesha umuhimu wowote pale Arsenal kwa sasa

Ila Arteta hakumuweka ozil kwenye squad akiwa anajua Ceballos ndio atafanya kazi hiyo na huu ni ukweli ambao haufichiki au na hili unakataa?
Bob Arteta alivyotemana na Ozil akaenda kumfuata Aouar. Sasa alimfuata wa nini kama kuna Ceballos?

Ozil ni Playmaker Attacking Midfielder. Unataka kusema Dani ni AM?
 
Bob Arteta alivyotemana na Ozil akaenda kumfuata Aouar. Sasa alimfuata wa nini kama kuna Ceballos?

Ozil ni Playmaker Attacking Midfielder. Unataka kusema Dani ni AM?
Ceballos anacheza kama CM na vile vile AM unataka kukataa?hizo ndo roles zake uwanjani sasa kama anacheza kama AM na assist hatoi je ana umuhimu gani?kumfuata Aouar ilikuwa ni nafasi yake anaimudu 100 percent but board ikaona kama Partey anakuja na Ceballos akiwepo mambo yatakuwa mwake na Ozil akaachwa ila kumbe ilikuwa nadharia tu Ceballos akicheza kama AM hata CM kwa sasa ni legelege amefeli kabisa
 
Ceballos anacheza kama CM na vile vile AM unataka kukataa?hizo ndo roles zake uwanjani sasa kama anacheza kama AM na assist hatoi je ana umuhimu gani?kumfuata Aouar ilikuwa ni nafasi yake anaimudu 100 percent but board ikaona kama Partey anakuja na Ceballos akiwepo mambo yatakuwa mwake na Ozil akaachwa ila kumbe ilikuwa nadharia tu Ceballos akicheza kama AM hata CM kwa sasa ni legelege amefeli kabisa
Kwani nyinyi wenzangu hizi taarifa mnatoa wapi?

Hebu lete source ya hiki unachokiandika.
 
Kwani nyinyi wenzangu hizi taarifa mnatoa wapi?

Hebu lete source ya hiki unachokiandika.
Nenda kwenye websites ,Google utaona position au roles zake nenda then urudi tena hapa
Mimi nachokwambia ceballos kiwango chake kimefeli hatoi assist wala hazuii na Arteta ameona bora kuwa na Elneny na Partey kati kuliko ceballos awepo au labda sikuelewi tunachobishania hapa ni nini?
In my opinion nakwambia ceballos hizo roles anazozichezea hazitendei haki alivyokuja Arsenal last season alikuwa wa moto assist alikuwa anatoa au kucreate chances alikuwa anafanya hvyo
 
Nenda kwenye websites ,Google utaona position au roles zake nenda then urudi tena hapa
Mimi nachokwambia ceballos kiwango chake kimefeli hatoi assist wala hazuii na Arteta ameona bora kuwa na Elneny na Partey kati kuliko ceballos awepo au labda sikuelewi tunachobishania hapa ni nini?
In my opinion nakwambia ceballos hizo roles anazozichezea hazitendei haki alivyokuja Arsenal last season alikuwa wa moto assist alikuwa anatoa au kucreate chances alikuwa anafanya hvyo
Transfermarket inamtambua Ceballos kama CM wewe unasema Arteta anajua Dani ni AM nakuambia lete source hutaki.

Msimu uliopita Trent alikua wa Pili nyuma ya DeBruyne kwa assissts. Hiyo inahalalisha kwa kocha mwenye shida ya AM amchukue Trent awe AM?

Jaribu kua na logic katika maelezo yako.
 
Wanaarsenal leo nawaombea kila la kheri. Fanyeni ima mfunge Tot ili mjinasue kushuka daraja. Itakuwa aibu sana timu kubwa kama arsenal mnakuwa kwenye denja zone. Ebu fanyeni kitu aisee
 
Wanaarsenal leo nawaombea kila la kheri. Fanyeni ima mfunge Tot ili mjinasue kushuka daraja. Itakuwa aibu sana timu kubwa kama arsenal mnakuwa kwenye denja zone. Ebu fanyeni kitu aisee

Haitokaa itokee mpaka dunia inafika mwisho.
 
Back
Top Bottom