IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Leo mtaeleza yani.
Wameanza kukubali ukweli eeh
Ngapi ngapiLeo mtaeleza yani.
Mkuu unaangalia au huangalii sasa???Gunners wenzangu kwa sasa Arteta afukuzwe tupate kocha mpya wa kiwango cha dunia wakati anakuja ni kama alileta morari but mnaona kiwango cha Arsenal cha sasa kilivyo kinasikitisha mno Arsenal timu ina struggle ni miaka zaidi ya 30 haijawah kuwa na kiwango hiki hata Unai tuliyemtukana hakuwa hivi akistruggle Arteta asimalize wiki hii afukuzwe na it was very bad kumpa cheo cha Manager ,nipo na demu wangu anaangalia tamthilia za kifilipino mimi nimejiunga na livescore sitaki presha na nilisema mechi sitaangalia live kamwe mpaka Arteta aondoke
Arsenal inahitaji kocha wa dunia mwenye mbinu zake na kwa akili ya kawaida unategemea kwa mpira huu tunaocheza namba10 ni Willock next week una Bale Son and Kane kwa akili ya kawaida unategemea Arsenal atapata point hata 1?never on earth
Nilisema asubuhi mechi za Arsenal sitaangalia live ila napata livescore nimemuachia demu wangu anaangalia tamthilia nkiingia livescore napata matokeo na kwa sasa Arteta afukuzwe mapema Big team kama Arsenal inagombania kushuka Daraja?aibu hii itatuliwe mapema kwa Arteta kufurumushwa Arsenal msimu huu ni mechi 1 pekee dhidi ya Fulham ndo alicheza vizuri 8 zilizobakia plus ya leo ni uselessMkuu unaangalia au huangalii sasa???
Niliona mkuu. Anyway wacha Sisi tuangalieNilisema asubuhi mechi za Arsenal sitaangalia live ila napata livescore nimemuachia demu wangu anaangalia tamthilia nkiingia livescore napata matokeo na kwa sasa Arteta afukuzwe mapema Big team kama Arsenal inagombania kushuka Daraja?aibu hii itatuliwe mapema kwa Arteta kufurumushwa Arsenal msimu huu ni mechi 1 pekee dhidi ya Fulham ndo alicheza vizuri 8 zilizobakia plus ya leo ni useless
Kesho asubuhi ntapata matokeo nawatakia usiku mwemaNiliona mkuu. Anyway wacha Sisi tuangalie
Ulale salama mkuu.Kesho asubuhi ntapata matokeo nawatakia usiku mwema