Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Fikisha angalau goli 15 ndio uje kutamba hapa
![]()
Sawa kipele g
![]()
Sawa kipele g
ArsenalKwa dalili zinavyoonekana nyie mtaipita ile record yetu ya miaka 30 bila kombe la EPL.
Mpaka sasa mnaenda 17 na sioni dalili za muda mfupi wala mrefu za nyie kutaka kuchukua ubingwa.
sio team ya kuchukua epl, epl inachukuliwa na team zinazowekeza Arsenal inawezakuchukua labla isishiriliki ligi moja na Chelsea, Liverpool, Man City na Man u
Hivi PIERE AUBA kagoma Kufunga ??
Duh! Hii timu mzimu ulio washika ni bora ule wetu ulioisha juzi juzi hapo.Ameshasaini mkataba wa kueleweka, ana uhakika wa ku-retire kwa amani, kwa nini ajitese!
Duh! Hii timu mzimu ulio washika ni bora ule wetu ulioisha juzi juzi hapo.
Sidhani mkuu. Jana nlileta takwimu hapa, ulizisoma???Tatizo la hii timu binafsi naona liko kwa tajiri, kitu muhimu kwake ni kutengeneza faida tu, miaka nenda miaka rudi.
Sidhani kama ana mpango wowote wa kuwekeza kwenye timu ili ipate ubingwa au matokeo endelevu.
Mpaka pale timu itakapouzwa kwa tajiri mwenye uhitaji wa matokeo uwanjani ndipo Arsenal ya miaka ya 1997 - 2006 inaweza kurudi.
Sidhani mkuu. Jana nlileta takwimu hapa, ulizisoma???
Tafuta interview ya Arteta baada ya usajili kufungwa.Niliziona, kuna namna ambayo uwekezaji kwa timu inayotaka kuchukua ubingwa inatakiwa iwe.
Mahitaji ya kocha yanatakiwa kutimizwa kwa usahihi, Ile list yako haiweki wazi kama walionunuliwa walikuwa exactly waliohitajika na ilikuwa kwa muda sahihi.
Tafuta interview ya Arteta baada ya usajili kufungwa.
Utamsikia anasema he is satisfied with the business done.
Unazungumzia AubaKuna yule kiongozi wao baada ya kusaini mkataba mpya tu kiwango chake kimeshuka kama maji kwenye korongo. Nakumbuka walivyo kuw wanamlilia ili asaini mkataba mpya![]()




Unamuwaza Chelsea mkuu.Tumecheza vizuri,Gunners chama kubwa,tena tukiwa pungufu ndio balaa zaidi Chelsea wanatujua,
Ameshabeba Community shield na kalamba mkataba mnono ivyo hana cha kupoteza ..hiyo inaitwa dream come trueHivi PIERE AUBA kagoma Kufunga ??
Mpaka mkampigie magoti ozil
Mpaka mkampigie magoti ozil
Hivi huu ujumbe wao wanauona au ndo wanapita kimya kimya
Hivi huu ujumbe wao wanauona au ndo wanapita kimya kimya