Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20201123_090334.jpeg
 
Wazee wa futuhi kweli mnateseka sana hahaha
Naondoka kibanda umiza nkaangalie tamthilia ya kifilipino na demu wangu timu dk 45 zote 0 on target na tumejaribiwa mara 14 napoteza muda wangu tu hapa same story tu everyday Willock ndio creative midfielder anaanguka anguka mamamae
 
Kipindi cha kama miaka 10 ya mwisho ya Wenger timu ilikuwa na malengo ya kuingia top 4, na kwa kiasi kikubwa ilikuwa inafanikiwa.

Tukamfukuza Wenger, baada ya hapo nadhani malengo yamebadilika, ni kubaki kwenye ligi.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nicolas Pepe is set to miss three Arsenal fixtures following his red card against Leeds United on Sunday evening. Wolves, Spurs and Burnley. I am optimistic as well that he will be severely punished by the club. Hapo ndio adabu itamshika
 
Sasa kwani anaetakiwa ajue hatuna wachezaji wenye viwango ni nani?? Hivi si ni yeye ndio alitakiwa ajue hilo halafu atafute hao wachezaji??? Kwahiyo Castr Aliweza kujua tatizo letu ambalo yeye alishindwa kulijua??

Hivi kweli tulishindwa Jana kucheza 4-4-2 halafu mbele tumchezesha auba na laca?? Au ilikuwa tu lazima tumchezeshe willock????

Auba tutaanza kumtukana soon ngojeeni tu.
Tuna kuza timu mkuuu
 
Back
Top Bottom