Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Thomas parteyMan the match jna alkuwa nn?
Thomas parteyMan the match jna alkuwa nn?
Giroud haiwezekani maana welbeck ndio striker hapo na sikumbuki kama walishawahi kucheza wote first elevenTorreira alikuepo enzi kipa huyo jamaa? Cazorla haiwezekani as Ramsey yupo, Welbeck yupo na Mhktaryan yupo
Lazima awe striker mi nahisi ni Giroud
Yaya Sanogo?Sidhani kama Auba kawa butu ila ukiangalia stats zetu utaona tunatengeneza nafasi chache sana na mfungaji tunaye mtegemea ni Auba pekee hivyo hata wapinzani haiwapi tabu kumkaba mtu mmoja. Bado timu yetu haina good balance kati ya midfield na attacking.
Enzi za Wenger tushakua na strikers za kawaida sana ambazo ziliweza kufunga magoli mengi si kwa sababu walikuwa strikers wazuri, bali timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sn. Yaani mtu ana goli 15 ila kakosa clear chances kama 40 hivi.
Adebayor, Bendtner, Giroud hawa wote walikuwa wa kawaida sana ila waliweza kufunga kutokana na multiple chances. Wangecheza kipindi hiki, wangezidiwa magoli hata na makipa wa timu zingine.
Enzi za Wenger tushacheza na strikers kama Yaya Sanogo, Joel Campbell, Jeremy Alladiere na Chamack na bado tulikuwa tunashinda kutokana na chances nyingi tulozokuwa tukitengeneza.




huyu angekuwa anachezea Arsenal ya sasa angepigwa chupa za mikojoSanchez tuliibiana na mkhi so hawajacheza pamoja hao jamaaSiyo Sanchez huyo?
Hapo sawa...Thomas partey
Ni jack. Imekuja picha clearGiroud haiwezekani maana welbeck ndio striker hapo na sikumbuki kama walishawahi kucheza wote first eleven



Mwana gunners mwenzangu punguza mihemko, bado hatuna timu ya kushindania ubingwa wa EPL.



Bora umemwambia mapemaGiroud,Hii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.
Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.
Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×
Hayoni baadhi ya makosa niliyoyaona.
Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter![]()


ShaqiriHii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.
Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.
Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×
Hayo 👆ni baadhi ya makosa niliyoyaona.
Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter 😂
Nilicheka sana Arteta alivyojibu ,Mwandishi: Inaonyesha hamjapoteza pesa zenu bure. Gabriel na Partey wote wanaperform vizuri, unaonaje hilo?
Arteta: Yea Elneny was fantastic.
Mwandishi: Inaonyesha hamjapoteza pesa zenu bure. Gabriel na Partey wote wanaperform vizuri, unaonaje hilo?
Arteta: Yea Elneny was fantastic.
Ukisikiliza lile jibu ni kama vile hakuelewa swali ila alikuwa 'anamnanga' muandishi.Nilicheka sana Arteta alivyojibu ,
Arteta ana majibu huyu kama Wenger
Jasusi.Mnakumbuka ile game ya Dundalk muda mwingi screen ya Arteta ya game plan ilikua inaonekana na kila mtu? Inavyosemekana ni kwamba...
View attachment 1617840