Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivì huyò aliyefutwa sura ni nani? View attachment 1617954
Ni Jack Wilshere. Mbona kafutwa sura?
wil.jpg
 
Torreira alikuepo enzi kipa huyo jamaa? Cazorla haiwezekani as Ramsey yupo, Welbeck yupo na Mhktaryan yupo

Lazima awe striker mi nahisi ni Giroud
Giroud haiwezekani maana welbeck ndio striker hapo na sikumbuki kama walishawahi kucheza wote first eleven
 
Sidhani kama Auba kawa butu ila ukiangalia stats zetu utaona tunatengeneza nafasi chache sana na mfungaji tunaye mtegemea ni Auba pekee hivyo hata wapinzani haiwapi tabu kumkaba mtu mmoja. Bado timu yetu haina good balance kati ya midfield na attacking.

Enzi za Wenger tushakua na strikers za kawaida sana ambazo ziliweza kufunga magoli mengi si kwa sababu walikuwa strikers wazuri, bali timu ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sn. Yaani mtu ana goli 15 ila kakosa clear chances kama 40 hivi.

Adebayor, Bendtner, Giroud hawa wote walikuwa wa kawaida sana ila waliweza kufunga kutokana na multiple chances. Wangecheza kipindi hiki, wangezidiwa magoli hata na makipa wa timu zingine.

Enzi za Wenger tushacheza na strikers kama Yaya Sanogo, Joel Campbell, Jeremy Alladiere na Chamack na bado tulikuwa tunashinda kutokana na chances nyingi tulozokuwa tukitengeneza.
Yaya Sanogo? huyu angekuwa anachezea Arsenal ya sasa angepigwa chupa za mikojo
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wanasema

"Willian anahangaika kuumaster mfumo wa Mikel kumbuka alipokuwa chelsea aliachiwa uhuru wa kucheza popote ili mradi anashambulia ila kwq arsenal kocha anataka kila mchezaji awe kwenye eneo lake timu inaposhambuliwa na inaposhambulia "..

.ndio maana sababu nyingine ya kumwacha ozil ni hiyo,

ozil ili acheze inabid acheze free 10 jambo ambalo liko kinyume na falsafa za Mikel,

Brendan Roger pia alisema Soka la Sasa Ozil ni ngumu kucheza
 
Roy Keane Anasema Partey kammkumbusha Battle yake na Vieira



"I had my battles with Patrick Vieira, I think this kid has got a chance of matching what Vieira used to do. Because he is strong, aggressive & he likes to pass it forward. He looks comfortable on the ball. He has composure, a good first touch... & maintaining possession"
IMG_20201102_191604.jpg
 
Arteta kawakataza wachezaji wasimuite boss ama wamuite Mister au Mikel.

Jana Auba alisikikia akimuita Mikel wachambuzi wakahisi Auba hana nidhamu.
 
Hii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.

Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.

Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×

Hayo 👆ni baadhi ya makosa niliyoyaona.

Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter 😂
 
Hii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.

Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.

Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×

Hayo ni baadhi ya makosa niliyoyaona.

Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter
Giroud,
Vieira,
Arteta,
Bellerìn,
Tierney,

Over
 
Hii Timu ikikufunga Adhabu unayoipata kutoka kwa Washabiki wake bora hata ugongwe na gari utapata afadhali.

Enewey DullyJr wafundishe washabiki wenzako kuandika majina ya Wachezaji wenu kwa usahihi wanayakosea sana.

Girudi ×
Viera ×
Aterta ×
Bellarine ×
Tieney ×

Hayo 👆ni baadhi ya makosa niliyoyaona.

Na pia Muzingatie kuwa #ÖzilLifeMatter
#AdrianLifeDoesn'tMatter 😂
Shaqiri

Minamino

Origi

Hivi hua mnasajili ili iweje
 
Mwandishi: Inaonyesha hamjapoteza pesa zenu bure. Gabriel na Partey wote wanaperform vizuri, unaonaje hilo?

Arteta: Yea Elneny was fantastic.
Nilicheka sana Arteta alivyojibu ,

Arteta ana majibu huyu kama Wenger
 
Mwandishi: Inaonyesha hamjapoteza pesa zenu bure. Gabriel na Partey wote wanaperform vizuri, unaonaje hilo?

Arteta: Yea Elneny was fantastic.
Nilicheka sana Arteta alivyojibu ,

Arteta ana majibu huyu kama Wenger
Ukisikiliza lile jibu ni kama vile hakuelewa swali ila alikuwa 'anamnanga' muandishi.

A lot of work has been done, a lot of transformation has been made tactically and to personal players lakini jamaa anazungumzia watu wawili tu walionunuliwa.
 
Back
Top Bottom