Utayasahau haya soonTusiwe tunajishauwa, bado hatuna timu ya ushindani, we have lost to Liverpool, Manchester city and now leceister, bado watu waje kujidanganya kwamba msimu huu tuna tuna timu! Rubbish
Jipe moyo hapo hapo Man City Liverpool watakuja kupata point 3Utayasahau haya soon
Mkuu tutafanya vizuri next gameNajiandaa kusoma comments tu hapa
Haahaaa Mkuu unawaza ubingwa hapo wkt ushafungwa game 3 n bado hujacheza na Leeds united ...!Game ya leo ni 50 kwa 50 sio ngumu na pia sio nyepesi anything can happen sina taarifa za vardy ila kama atakuwepo atakuwa ni threat kubwa sana kwetu mpira wa leo mistake ndogo ndogo hazihitajiki kuwepo na pia Leicester ni wazuri sana kwa kupiga mashuti nje ya 18 hilo liangaliwe na beki 3 itakuwa ndo formation sahihi kwetu na kati akicheza Ceballos and partey patakuwa imara zaidi na katika mchezaji wa leo ambaye hatakiwi kukosa ni Saka
Mechi ya leo itatuonyesha ni wapi serious ambao tunao mpaka sasa ligi ni Ngumu sana sana na atakayeweza kumaintain kwa kushinda mfululizo huyo ataibuka bingwa wa EPL maana timu zote kwa sasa mechi 6 zote zimeshafungwa kitu ambacho sio cha kawaida Arteta atumie udhaifu huu angalau top 3 tusikose ikiwezekana ubingwa kabisa na mechi ya leo ikiwa tofauti next week ni dhidi ya Manchester United nayo haitabiriki let's wait and see and hope point 3 tunapata
Kwa kikosi hiki tuna partey tuna Gabriel tuna Auba na tumepoteza game dhidi ya magiant mfululizo never naapaMkuu tutafanya vizuri next game
Bro,#ArtetaOut
It's too early mkuu.Mnajifanyaga mnawachezaji classic sana mpaka mnamuacha Ozil mnatimu timu gani ya kumuacha Ozil nyie.
Kwa Leicester????Jipe moyo hapo hapo Man City Liverpool watakuja kupata point 3
Time will tellKwa kikosi hiki tuna partey tuna Gabriel tuna Auba na tumepoteza game dhidi ya magiant mfululizo never naapa
Sisi mechi 6 mpaka sasa tumepoteza 3 bado kumbuka kuna Chelsea Manchester United Tottenham Hotspur Everton Wolves Southampton bado hatujapambana nao na kushinda sio rahisi eti?Kwa Leicester????
Si alikufa 5