Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Sikweli ,alicheza mech nyingi, akayumba game ya Liverpool ,now yupo sawaXhaka is another floppy in Arsenal
Sikweli ,alicheza mech nyingi, akayumba game ya Liverpool ,now yupo sawaXhaka is another floppy in Arsenal
https://t.co/UuqmgkTfc5Rekodi hii inaweza kwenda karne moja au zaidi bila kuvunjwa.Everton's defeat means that Arsenal remain the only team to go an entire Premier League season unbeaten:
P38 W26 D12 L0
Happy Invincibles Day.https://t.co/UuqmgkTfc5
Game ya leo ni 50 kwa 50 sio ngumu na pia sio nyepesi anything can happen sina taarifa za vardy ila kama atakuwepo atakuwa ni threat kubwa sana kwetu mpira wa leo mistake ndogo ndogo hazihitajiki kuwepo na pia Leicester ni wazuri sana kwa kupiga mashuti nje ya 18 hilo liangaliwe na beki 3 itakuwa ndo formation sahihi kwetu na kati akicheza Ceballos and partey patakuwa imara zaidi na katika mchezaji wa leo ambaye hatakiwi kukosa ni SakaWachambuzi mje mtoe uchambuzi wa game ARS Vs LEI.
Upo sahihi, ligi mwaka huu ni ngumu, mechi sita hakuna ambaye hajapoteza. Hivi liver last season alienda unbeaten hadi mechi ya ngapi?Game ya leo ni 50 kwa 50 sio ngumu na pia sio nyepesi anything can happen sina taarifa za vardy ila kama atakuwepo atakuwa ni threat kubwa sana kwetu mpira wa leo mistake ndogo ndogo hazihitajiki kuwepo na pia Leicester ni wazuri sana kwa kupiga mashuti nje ya 18 hilo liangaliwe na beki 3 itakuwa ndo formation sahihi kwetu na kati akicheza Ceballos and partey patakuwa imara zaidi na katika mchezaji wa leo ambaye hatakiwi kukosa ni Saka
Mechi ya leo itatuonyesha ni wapi serious ambao tunao mpaka sasa ligi ni Ngumu sana sana na atakayeweza kumaintain kwa kushinda mfululizo huyo ataibuka bingwa wa EPL maana timu zote kwa sasa mechi 6 zote zimeshafungwa kitu ambacho sio cha kawaida Arteta atumie udhaifu huu angalau top 3 tusikose ikiwezekana ubingwa kabisa na mechi ya leo ikiwa tofauti next week ni dhidi ya Manchester United nayo haitabiriki let's wait and see and hope point 3 tunapata
Kama ya 20 I think kama sijakosea dhidi ya WatfordUpo sahihi, ligi mwaka huu ni ngumu, mechi sita hakuna ambaye hajapoteza. Hivi liver last season alienda unbeaten hadi mechi ya ngapi?
Everton's defeat means that Arsenal remain the only team to go an entire Premier League season unbeaten:
P38 W26 D12 L0
Happy Invincibles Day.https://t.co/UuqmgkTfc5



Kwann halijatazamwa na VAR? Nani alikuwa offside? Lacca au Aube?Lacazette anafunga lakini goli lakatliwa ni offside
Ni Aubameyang na SakaKwann halijatazamwa na VAR? Nani alikuwa offside? Lacca au Aube?