Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Issue ya ozil mkuu si tactical zaidi. Ozil hakabi halafu ni mvivu. Haisaidii timu ikizidiwa ujue
Kama tulimfukuza Ozil sababu ya dini kama wengine (wanavyodai ila wengine wanasema hakabi )tujiandae kwa msiba haiwezekani mechi 4 tumefungwa 3 ni laana zinaanza kutuandama kama Ozil huko kwake anasoma dua na Mungu akapokea that's why mechi 4 tumecheza 3 tumepoteza

Kati ya Ozil na Willock nani anatakiwa aachwe kabisa?mhhh(fact iwepo)

Nikimuwaza Rashford na Cavani Mamamae labda twende Sumbawanga tukasaidie kutafuta mababu wabobezi
 
Kama tulimfukuza Ozil sababu ya dini kama wengine (wanavyodai ila wengine wanasema hakabi )tujiandae kwa msiba haiwezekani mechi 4 tumefungwa 3 ni laana zinaanza kutuandama kama Ozil huko kwake anasoma dua na Mungu akapokea that's why mechi 4 tumecheza 3 tumepoteza

Kati ya Ozil na Willock nani anatakiwa aachwe kabisa?mhhh(fact iwepo)

Nikimuwaza Rashford na Cavani Mamamae labda twende Sumbawanga tukasaidie kutafuta mababu wabobezi
Hapana mkuu.

Kwanza mungu hapendi mpira ujue
 
Kama tulimfukuza Ozil sababu ya dini kama wengine (wanavyodai ila wengine wanasema hakabi )tujiandae kwa msiba haiwezekani mechi 4 tumefungwa 3 ni laana zinaanza kutuandama

Kati ya Ozil na Willock nani anatakiwa aachwe kabisa?mhhh

Wakati mwingine tunajitoa ufahamu, tunaukataa ukweli, unamlipa mtu £350000, you rest him just to field nonentities ambao dakika zote za mchezo ulimI upo nje utafikiri ni mbwa anayekaribia kumaliza game
 
Wakati mwingine tunajitoa ufahamu, tunaukataa ukweli, unamlipa mtu £350000, you rest him just to field nonentities ambao dakika zote za mchezo ulimI upo nje utafikiri ni mbwa anayekaribia kumaliza game
Kwa kuachwa Ozil na kikosi hichi ambacho kucreate chance ni tatizo kubwa huku benchi yupo Willock nimeamini Ozil ameachwa sababu ya mambo ya Dini that's is naked truth bila kupepesa macho na tutalijutia
 
wakuu hatuna team midfielders wetu hovyo sana back pass nyingi hakuna moral wachezaji wanacheza alimradi liende tu.
 
Mkuu kwa nini unamuita "maestro"? unajua heshima ya hilo neno?. Nilikuwa naangalia makocha wa timu kubwa ulaya wameshachukua UCL & UEFA cup na makombe ya ligi mengi tu wakiwa wachezaji na baadae wakiwa makocha. Huyo Atreta wako hajafanya lolote kati ya hayo. Kuanzia leo acha kuchafua neno "maestro"
Ndani ya miezi 6 ya mpira katupa vikombe 2
 
Back
Top Bottom