computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
ExactlyHivi Leicester walivyobeba ubingwa walikuwa na false hope? Kama unajua maana halisi ya mashindano, huna sababu ya kutetea hilo mkuu, haya ni mashindano ni marathon hata ukimuuliza Arteta muda huu atakwambia anautaka ubingwa, kwanini sisi mashabiki tuwe na matumaini mengine ya kushindwa!

