Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa anayejua Arsenal ilipotoka na ilipo sasa Hawez kubeza tulivyocheza Leo


Haya ni maneno ya Arteta



Arteta anajivunia kile Arsenal imefanikiwa.


"Lazima niseme na ninafurahi sana nimekuwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo hapa kwa miaka 4 na najua ni kiasi gani inachukua timu kufanya kile tulichofanya usiku wa leo."
Hakuna anayebeza kwa sisi kucheza vizuri au whatever vile ,tatizo kwa nini mwaka wa 5 mfululizo hatushindi dhidi ya big 6 away?hili ndio tatizo kubwa na pia ndio linagharimu nafasi ya Arsenal kupata nafasi ya kucheza Champions league

Bila kupata points away dhidi ya Big 6 unafikiri nafasi ya champions league inapatikana kirahisi?
 
Hatari mkuu. Mimi gunners lakini gunners wenzangu wamezidi aiseeee duh! Yaani utadhani tunachkua kombe keshoo saa mbili na robo asubuhi

Mkuu binadamu ameumbwa kwa kuwa mbinafsi ndo huwezi kupenda cha mwenzako kuliko cha kwako vinginevyo utakuwa unaongopa. Ebu tukumbushe ni shabiki wa timu gani ambae aliwahi kusema mwanzoni tu mwa ligi kuwa timu yao ni mbovu na haiwezi kuchukua ubingwa?

Ebu wasikilize watu wa Man U au Chelsea pamoja na kuwa kwenye changamoto lkn wa naamini watakaa vizuri na ubingwa wanaweza kuchukua. Lakini pia jaribu kujiuliza ni kwanini watu wanaimani na timu?? Jibu ni moja tu kwamba timu ina mabadiliko makubwa na hayo ndiyo yanayowapa watu imani ya kupigania ubingwa.
 
Mkuu binadamu ameumbwa kwa kuwa mbinafsi ndo huwezi kupenda cha mwenzako kuliko cha kwako vinginevyo utakuwa unaongopa. Ebu tukumbushe ni shabiki wa timu gani ambae aliwahi kusema mwanzoni tu mwa ligi kuwa timu yao ni mbovu na haiwezi kuchukua ubingwa?

Ebu wasikilize watu wa Man U au Chelsea pamoja na kuwa kwenye changamoto lkn wa naamini watakaa vizuri na ubingwa wanaweza kuchukua. Lakini pia jaribu kujiuliza ni kwanini watu wanaimani na timu?? Jibu ni moja tu kwamba timu ina mabadiliko makubwa na hayo ndiyo yanayowapa watu imani ya kupigania ubingwa.
Mkuu, mimi mwenyewe nina imani na timu tena sana tu.

Team ime-improve pakubwa mno na usajili umefanyika vizuri tu. Ila sina imani hata chembe kwamba eti tutachkua ubingwa. Mnaweza kusema tutachkuwa ubingwa na tukichkua ntafurahi sana.

Ila realistically hatuna timu ya kuchkua ubingwa.
 
Mkuu kwanini unapenda sana kuwa negatives? Hivi unajua maana ya ushabiki?
Dully, sio negative ni realistic!

Kuna utofauti mkubwa sana hapo. Kama kuwa positive kwako ni kujipa false hope basi hapo sina la kufanya mzee.
 
Screenshot_20201017-235027_All%20Goals.jpg
 
Road ya FA cup & CS imekua na leads, Sheffield, Man city, Liverpool, Chelsea

Katika hizo game zote ya home ni moja tu vs Leeds

Lkn arteta kwa style yake katupa nayo kombe kwenye msimu wake wakwanza kabisa

Mtu analalamika sababu tumefungwa na man city goli moja etihad
 
Micah Richards:

"We thought there was going to be loads of goals in the game today but I want to give credit to #Arsenal as well. There’s many times Arsenal’s tried to throw everything, the kitchen sink, in the second half. They stayed in positions & they deserve a lot of credit"
 
itabidi nirudishe utamaduni wangu wa kuangalia mechi zote za big 6, huyu saka ni mara yangu ya kwanza kumuangalia.

mchezaji aliyenivutia leo ni gabriel Magalhães, naye ni mara yangu ya kwanza kumuangalia ila nimeona chembe chembe za mwendawazimu chiellini
Hujawahi kumuangalia Bukayo Saka??,Leo ndo mara ya kwanza?..mkuu mkuu
 
Back
Top Bottom