Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukiwakuta wanakuchambulia hiyo kiungo yao yaan huyo ceballos unaweza sema labda ni boonge la mchezaj kumbe waongowaongo tu mara hapa akae xhaka pale muweke El neny yaan full vurugu tu

Nataka na huyo patei sijui part aanze kucheza tujue kama wamepigwa kama walivyopigwa kwa komred kipepe

Leo mbona zile chambuzi zao hazipo tena
 
Habari gunners, wengi wetu humu mna matarajio makubwa kuliko uhalisia wa uwezo wa timu yetu.

On paper timu yetu inaweza kuonekana nzuri ila kiukweli bado inahitaji muda ili kuunda timu ya ushindani na kuwa invincible kwa timu pinzani, hii process haiji overnight.
 
Leo mbona zile chambuzi zao hazipo tena
Timu yenyewe tia maji tia maji tu.......hv unataka luiz na kikund chake cha wahun wawape ubingwa pale England

Mm naomba washika manati mjiulize hv kwa everton hii mnaingilia wap top four kwa mfano ??tuwe realistic tu.......yaan hii arsenal ikijitahid itaingia labda europa
 
Poa tu kufungwa na man City siyo mwisho wa safari kuwania top 4. Tusonge mbele. Anayeongoza ligi tofauti ni pt 4 tuuu.
C O Y G ..
 
Nitakua sina ubinaadam nisipo pita nyumba hii na kutoa pole.
 
Ni chizi tu ndio atakae amini msimu huu Arsenal8 atakuwepo big 4 (achilia mbali kuchukua ubingwa)
Mkuu, mimi mwenyewe nina imani na timu tena sana tu.

Team ime-improve pakubwa mno na usajili umefanyika vizuri tu. Ila sina imani hata chembe kwamba eti tutachkua ubingwa. Mnaweza kusema tutachkuwa ubingwa na tukichkua ntafurahi sana.

Ila realistically hatuna timu ya kuchkua ubingwa.
 
Dully, sio negative ni realistic!

Kuna utofauti mkubwa sana hapo. Kama kuwa positive kwako ni kujipa false hope basi hapo sina la kufanya mzee.
Hivi Leicester walivyobeba ubingwa walikuwa na false hope? Kama unajua maana halisi ya mashindano, huna sababu ya kutetea hilo mkuu, haya ni mashindano ni marathon hata ukimuuliza Arteta muda huu atakwambia anautaka ubingwa, kwanini sisi mashabiki tuwe na matumaini mengine ya kushindwa!
 
Back
Top Bottom