Baadhi ya mashabiki mnaolaumu na kuponda performance ya timu mnakosea sana.
Arteta is a promising coach aaminiwe na kupewa anachotaka mwakani Arsenal haitashikika.
Build up ya timu ni nzuri sana tofaut na awali na shida kidogo ipo kwa kiungo na utulivu mbele, kiasi flan kulikua na presha ya wachezaji ila naamini hali itapoa. Arteta apewe mida.
Jamani mpira ni Sanaa sio kukurupuka tu eti umfunge city na liver kirahisi nao wanamjua Arteta na Arsenal yake ndo maana nao wanakaza we need Patience. Arteta apewe muda.
Tumefungwa Mechi mbili na big team zinazocompete mashindano ya kimataifa na zimefikia mbali hadi fainali misimu miwili kama si mitatu nyuma na zimewekeza heavy wewe kocha wetu kapewa timu katikati ya msimu ulioisha unataka ghafra tu bin vuu uzifunge? My friend tuwe serious
Sisi saizi zetu ni chelsea, Man U, Tot, Everton Leicester kwa msimu huu hizo zingine mbili itokee tu ila level zao bado but hawa wengine tunawamudu.
Mwisho mashabiki wengi nje na baadhi wa arsenal walijua tunakufa nyingi ila kwa matokeo Haya na mpira ulivyokua wamekua surprised na hakika wanaiogopa Arsenal moyoni mwao wanajua ila hawawezi kusema. Unabisha? Muulize shabiki wa Chelsea au Man U kama anataka kukutana na arsenal hii na awe mkweli tu.
Top four bila ajizi tumo na mwakani Uefa tunashiriki. Tushukuru kwa kila hatua tusiwe watu wa kulaumu tu.
Inaendelea.....