computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Kila siku hatupo vizuri dhidi ya big teams huu msemo unaboa na kuchoshaHongereni Citeh. Leo mlikuwa vizuri na sisi hatukuwa vizuri kwenye kutengenezwa nafasi na hata katika kuhamisha mpira. Next time tena


