Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Safi naona Willock hatakuwepo maana kacheza U23 pamoja na Nelson, Smith-Rowe na Cedrick. Japo naona Cedrick alihitajika. Tutashinda Willcok hayupo.
 
Kwa Emery hawa ni kikos cha kwanza kabisa ...


Cédric, Willock, Saliba, Neslon and Smith Rowe all start for the U23

Siku nilipoona lineup ya kwanza ya Arteta nilijua tumepata Kocha
 
Liverpool na Everton wameniletea matokeo niliyoyataka. Yaani sare ya kufungana zaidi ya goli moja. Hii inaweka GD ibaki 0 lakini wote wanajiona kuwa wanafungika zaidi ya goli moja kwa hiyo wasijiamini sana. Wakikutana na timu zinazojua kushambulia watakuwa waoga.
 
Liverpool na Everton wameniletea matokeo niliyoyataka. Yaani sare ya kufungana zaidi ya goli moja. Hii inaweka GD ibaki 0 lakini wote wanajiona kuwa wanafungika zaidi ya goli moja kwa hiyo wasijiamini sana. Wakikutana na timu zinazojua kushambulia watakuwa waoga.
Everton kanichanisha mkeka sijui nitakula nini leo
 
Tunawasubiri Newcastle United aka the Toon Army wawamalize na kuwatupilia mbali mashetani wekundu
 
Arteta : mechi 24. Kashinda 12. Kashindwa 6 na katoa sare 6. Huu ni ushindi wa 50%. Bado anasafari ndefu ila kuna matumaini maana ushindi ni mwingi kuliko kupoteza. Hapa sasa ni kupunguza sare na kupoteza
 
Kikos Leo ni cha wanaume watupu, hakuna cha Sub willock, wala nelson, wala Guendouz

Kifupi ni swala la Muda Arteta anatupeleka nchi ya ahadi yenye asali na maziwa
 
Mwana computerarsenal waga unanikosha kufatilia madhaifu ya timu
timu yetu udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kupata point 3 away kwenye big 6 games ,imagine last season against Tottenham Hotspur tulikuwa na ball possession almost 80 % then matokeo yakawa Tottenham 2 -1 Arsenal Full Time sijui nani katuloga tukiwa away vs big 6 ,kama mechi ya leo ni 50 kwa 50 ila usije kushangaa mwishoni mechi ikaisha vibaya

De bryune ni roho ya Manchester City kutokuwepo kwake ni bonge la advantage

Auba naye akaze matako sasa aanze kufunga magoli wenzake wanakimbizana kwa Magoli huko
 
timu yetu udhaifu wake mkubwa ni kushindwa kupata point 3 away kwenye big 6 games ,imagine last season against Tottenham Hotspur tulikuwa na ball possession almost 80 % then matokeo yakawa Tottenham 2 -1 Arsenal Full Time sijui nani katuloga tukiwa away vs big 6 ,kama mechi ya leo ni 50 kwa 50 ila usije kushangaa mwishoni mechi ikaisha vibaya

De bryune ni roho ya Manchester City kutokuwepo kwake ni bonge la advantage

Auba naye akaze matako sasa aanze kufunga magoli wenzake wanakimbizana kwa Magoli huko
Mfano ndio huu ndio maana napata shaka na leo ila kama tutashinda leo hata sare nitaamini msimu huu tumekuwa serious na kuwa serious ni kupambana na magiant first match vs Liverpool tukapoteza tukasema it's ok ila na ya leo matokeo yakiwa mabaya kisingizio kitakuwa nini?
20201017_175220.jpeg
 
Back
Top Bottom