Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usikose kuitazama mechi ya Man city vs Arsenal LIVE kupitia App yetu bofya link hii kupakua App bure Download application | J FOOTBALL & MOVIE TVS

Ukishapakua Nenda sehemu ya MECHI LIVE
Screenshot_20201017-085112_1602925316565.jpg
 
Mechi ya leo ipo 50 kwa 50 sio ngumu pia sio rahisi!anything can happen!

Problem tuliyonayo ni kushindwa kupata point 3 kwenye away games against big 6,ni kama Pepo lilmetukumba hivi na ndio waswas wangu wa leo but let's wait and see
 
Naona tumekuwa 'favourites' na siyo 'underdogs' kwenye hii fixture kwa mara ya kwanza kwa kiipindi kirefu tu. Nishishazoea kua underdog sasa leo inatulazimu kushinda tu, hakuna namna.
Arsenal yetu tunaijua kwenye mechi za away against big 6 sisi bado ni underdog kwa Pep (kipara)
 
Back
Top Bottom