Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pundamilia wana visa sana.

Wanadai timu yao haiperform kisa haina fitness. Wakati kuanzia msimu uliopita timu ilikua inabebwa na penati mpaka msimu huu.

Makosa ya timu bado ni yaleyale. Ratiba inafuatwa na timu zote sa inawezekana vipi katika timu 20 moja tu ya man u ndiyo iwe haiko fit?
 
Naona babu Wenger siku za hivi karibuni anajihusisha sana na Arsenal.

Binafsi naona zama zake zimeisha, atuache tuelekee na muelekeo mwingine sajili zake za Sanogo & Frimpong hatutaki zijirudie.
Huyu mzee ni Genious akiwa na hao na Djourou, Eboue na uefa ilikua kama kawaida.

Mi nahisi wanataka kumpa shavu labda.
 
Naona babu Wenger siku za hivi karibuni anajihusisha sana na Arsenal.

Binafsi naona zama zake zimeisha, atuache tuelekee na muelekeo mwingine sajili zake za Sanogo & Frimpong hatutaki zijirudie.
Mkuu unapata ushujaa gani wa kumkashifu mzee Wenger?

Unajua hii timu ingekuwa wapi kama yeye asingeifundisha tangu kipindi hicho?

Anaongea kwa sababu ameulizwa.. Au ulitaka asijibu maswali?

Kwahiyo kusema Arteta anaweza ku-challenge for the PL title pia kakosea?
 
Partey made more passes into the final third than any other Atletico player during their run to the Champions League quarter-finals last season. In a 4-3-3, he would be expected to provide the same kind of service for Arsenal's front three.

Thomas Partey: Where will he fit in at Arsenal? He gives Mikel Arteta options https://t.co/U7H4WKrAI5
IMG_20201016_115900.jpg
 
Mwandishi: Ilikuaje mkapeleka ofa ya paund 40,000,001 liverpool kwa ajili ya Suarez?

Wenger: Wakala wake alituambia kwenye mkataba wake kuna kipengele kinachosema liva itamuachia Suarez kama italipwa zaidi ya 40M.
Mimi nilitafuta hicho kipengele lakini sikukiona kwenye mkataba.

Hivyo ikabidi tutume ofa hiyo ili kuprove kama alichosema wakala wake ni cha kweli.
 
Arteta akiongelea taarifa za Wenger kupendelea kuja Emirates kushangilia pindi mashabiki watakapo ruhusiwa kuingia viwanjani:

"Ningependa kumwona akirudi kuwa nasi. Alikua mtu muhimu kwangu na ni mtu ambae nimejifunza vitu vingi kwake na ningependa awe karibu na sisi."

#coyg
 
Arteta akiongelea uwezekano wa Tierney kuwepo kwenye mechi ijayo vs City:

"Hili swala linazidi kutuchanganya, unapo wapeleka wachezaji kwenye timu zao za taifa ni ngumu kuwafatilia kuna baadhi ya mamlaza zina sheria tofauti na za EPL.

Bado tuko kwenye majadiliano na mamlaka na tutajua zaidi mchana huu"

IMG_20201015_142311.jpg
 
Arteta akiongelea uwezekano wa Ozil kujumuishwa kwenye kikosi cha EPL:

"Ni maamuzi magumu kwangu kwa sababu kuacha mchezaji wa kiwango kile nje ya kikosi ni ngumu hasa wakijua hawatatumika, kiukweli ni maamuzi magumu"

#coyg
 
Wenger akiongelea swala la Ozil kutocheza: "Sifahamu (sababu).

"Ukiwa mchezaji inabidi uheshimu maamuzi ya kocha wako na upambane urudi kikosini. Anaweza kupambana, tofauti kabisa na watu wanavyo fikiri."

#coyg
 
Wenger akizidi kuongelea swala la Ozil kutocheza:

"Kinacho tokea sasa hivi kati yake na klabu inaonekana watazidi kuvutana, Naamini ni swala ambalo halina uhusiano na soka"

#coyg
 
ARSENAL NEED ANOTHER LEFT CENTER BACK


Arsenal 'plot January deal for Villarreal's Pau Torres from under the noses of Man United', according to @MailSport.

AFC want to sign another defender & a deal for Spanish international Torres, who is also interesting Manchester United, would involve dialogue between Arsenal & Unai Emery at Villarreal but the Gunners are confident a transfer can be struck between the two parties.
 
Back
Top Bottom