Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tuelewane.

Siyo hapangwi kwakua muislamu au hayupo form. Ni hapangwi kutokana na ishu za kisiasa zaidi za nje ya uwanja.
 
Tuelewane.

Siyo hapangwi kwakua muislamu au hayupo form. Ni hapangwi kutokana na ishu za kisiasa zaidi za nje ya uwanja.
Sasa nyie mnalalamika nini kama mnajua mpaka sababu za yeye kutopangwa!... Kwa vile anayempiga benchi ni Arteta basi mpigieni simu mumwambie mmechukia kwa yeye kutompanga, sisi hapa hatutawasaidia chochote!.. Kocha ndie anakaa na wachezaji kila siku, anawajua nje ndani!.. Tatizo mnadhani mnaangaliaga mpira peke yenu lakini ukweli utabaki palepale kuwa Ozil wa sasa kaflop sana, si yule ozil bingwa wa assists na fundi wa mpira wa 2013 hadi 2017.
 
Wewe unaonekana una hasira usije ukanipiga bure
 
..
 

Attachments

  • Screenshot_20201011-233948.jpg
    70.9 KB · Views: 7
Katika mechi zetu sita zinazofuata mechi ngumu ni ya city tu.

Hayo ni maoni yangu
 
Gunnersaurus aliposimamishwa kazi Mesut akajitolea kumlipa.

Arsenal ikaingilia kati kwa kusena haina haja kwakua atarudi kazini mashabiki wakiruhusiwa kurudi uwanjani.

Ile siku ya deadline Arteta, Edu na wenzao wakiwa bize kumuhangaikia Partey huku Sevilla walikua bize kumuhangaikia Gunnersaurus.

So hatimaye Sevilla wamemsajili Gunnersaurus, mascot aliyekua analipwa pesa ndefu kuliko wote Uingereza, paundi 80,000 per week.

Mesut alitaka kumsave huyu bodi ikasema hajafukuzwa hapa najiuliza sasa kwanini wameruhusu aende Sevilla kama hajafukuzwa.
 
Halafu hili nakupinga kila siku Xhaka siyo AMF
Mkuu hii nafasi ya AMF ndio nafasi aliyokuwa akicheza akiwa Borussia Monchengladbach kabla ya kusajiliwa Arsenal na ndio aliyopatia umaarufu mpaka Arsenal wakamuona.

Tofauti ipo kwenye timu ya taifa tu, ambapo anacheza kama CMF.

Usikaze kichwa mkuu.
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Nakuunga mkono hapa mkuu.

Laca ana blunders nyingi sana.
 
Kwenye mfumo 3-4-3 kule mbele wasimame Pepé, Auba na Willian.

Pepé anasaidia sana akikaa na mipira akiwapa muda zaidi Auba na Willian wachukue nafasi tucheze counter attacks..

Pia Pepé na Willian wana skills nyingi wakicheza pembeni kuliko atakapocheza Auba pembeni.

Auba anahitaji kuwa karibu na goli kwa sababu ana speed pia anajua kufunga.

Tukiweka hivi, City waweke beki zao zote wanazozitegemea lazima wanyooshwe!

Kule nyuma (back line) sina shida nako.. Wakifanikiwa kupata goli basi moja tu mana Sterling akicheza kama straika hatoweza kuipita ile ngoma ya Arsenal kule nyuma kiurahisi.

Bado naiona game inatoa opportunity ya timu yeyote kushinda, japo mashabiki pinzani wa Arsenal wanaweza ona tunaweka ushabiki.

Nawaambia wasiende uwanjani na matokeo mkononi, hii ni Arsenal mpya.
 
Unajua AMF anakua na skill moves, flexibility, agility na pace kubwa. Yaani kwa sifa hizo ni sawa zaidi ukamfanya Pepe AMF kuliko Xhaka.

Xhaka ana stamina, long range accuracy, long ball expert, height, ball winning kubwa, fighting spirit. Xhaka ni Kante zaidi kuliko hata Ceballos.

Na hata wakati Arsenal inamsajili Xhaka haikumsajili kwakua haina AMF ilimsajili ili aje kufanyi kazi swala la kukaba.

Everything you need to know about Granit Xhaka

Naamini tumesettle hii ishu.
 

Attachments

  • Screenshot_20201012-082007.jpg
    81.5 KB · Views: 7
Hajaenda Sevilla bhana, Sevilla walikuwa wanafanya utani tu kuwa wamemsajiri

Castr jaribu Ku review vyanzo vyako vizuri, Kuhusu kulipwa alikuwa analipwa hela ndogo sana inakadiriwa £50,000 kwa mwaka ,hata bench La Ufundi ukitoa Arteta sidhani kama yupo anayelipwa £80k per week ..

Wale kina Cagigao waliopigwa redundancy unaambiwa mishahara yao kwa mwaka ni £2.5m na walikuwa 55

Halafu ile kazi ni part time ,Yule jamaa ana shughuli zake nyingine

Sevilla walifanya Utani ile siku dirisha linafungwa ,wakionesha wamemsajiri ,but ilikuwa Jokes tu
 
Anaonekana muhudhuriaji mzuri wa wodini
Huyu jamaa hana rekodi mbaya ya Injury. , unaambiwa hajawahi kuumia katika mpira sawa na pepe hana rekod mbovu za injury

Injury kubwa iliyomuweka nje Pablo ni hii aliyoipata akiwa Arsenal

Hivo bado mapema sana Kumuweka kundi la Injury prone
 
Takwimu:Hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kuichezea Arsenal safu ya ulinzi aliyefunga husika kwenye magoli mengi zaidi kumzidi Hector Bellerin.

Amehusika kwenye mabao 27 akiwa na jumla ya mabao 7 pasi za mabao 20 akiwa ameichezea Arsenal michezo 162 akiokoa nafasi hatari langoni 53.



#Respect
 
Pierre-Emerick Aubameyang amejitoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Gabon kwa sababu anasumbuliwa na maumivu madogo ya kifundo cha mguu japo alifanikiwa kufanya mazoezi na Arsenal juzi.

#coyg
 
Kama mimi ndiyo kocha.

Xhaka haanzi.

Ataanza Ceballos ama Elneny.

Huku mbele itakua Pepe, Auba na Willian.

Lacazette bado anakumbukwa kwa blunder zake kwa Liva.
Blunder moja isifanye mtu asipangwe tena, kwa maoni yangu Lacca ana uwezo mkubwa wa holdup play kuliko Auba, games za caliber ya city tunataka striker atakayeweza kukaa na mpira.

Katikati nakubali Xhaka apumzishwe, aanze Partey na Elneny, then Ceballos awe more advanced.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…