Hii habari mbona naisikia lakini hakuna chanzo chochote kinachoripoti?Arsenal inaconsider kumnunua Benrahma kama mbadala wa Houssem. So now watu wataelewa nilichokua nasema
Ni ama Benrahma au Buendia. Na hii deal ya Saliba kwenda Brentford inatarajiwa kumvutia Benrahma kuja Arsenal.Kutoka kwa Mark Mann Bryan (wa London football anayedili na Habari za Arsenal)
Anasema
Arsenal inataka kumtoa William Saliba kwa mkopo kwenye Klabu ya Championship.
Lakini kuna mambo itayazingatia kwa uangalifu na sio kumtoa tu .
Mahali(location),
mtindo wa uchezaji(style of play)na Aina ya Kocha,
yote yatazingatiwa.
Samahan hizi Taarifa za Benrahma au Buendia Nani anaziripoti ?huenda kuna ukweliNi ama Benrahma au Buendia. Na hii deal ya Saliba kwenda Brentford inatarajiwa kumvutia Benrahma kuja Arsenal.
Kuna page ig inaitwa london quotes au kitu kama hicho hua inapop up kwenye feed yangu kwakua niliwahi kulike ishu zao fulaniSamahan hizi Taarifa za Benrahma au Buendia Nani anaziripoti ?huenda kuna ukweli
Stan Kroenke miyeyusho. Ile timu yake ya Marekani amewekeza zaidi ya dola bilioni moja ndani ya mwaka (nafikiri 2015) hapo alikua hajawahi kutoa hata sh 100 kwa Arsenal. Arsenal ikiwa inajiendesha kwa pesa za ndani tu.David_Ornstein juu ya Arsenal kutoa hela kwa Partey:
“Ukiangalia vitabu vyao(Arsenal) labda ungebaki ukikuna kichwa chako. Walakini, tuliona msimu uliopita wa joto walitoa hela kwa Nicolas Pepe, ni kwamba(Arsenal) wanaungwa mkono katika usajiri na wamiliki wao, KSE, Stan Kroenke. "
Samahan hizi Taarifa za Benrahma au Buendia Nani anaziripoti ?huenda kuna ukweli
Duh kumbe ni unreliable...Sema kama ni London Source huwa ni muongo sana huyo ,nime mfollow Twitter , Anaotengeneza sana story za uzushi,
Hii habari karipoti yeye tu, Huwa anaotea otea kutokana na upepo ulivyo,
Juzi alisema Zaha ,dirisha lilipofungwa kahamia kwa Benraham akihusisha labda na dili la saliba
Halafu Sasa hivi Arsenal kama itasajiri lazima awe Homegrown ,maana wale Non home grown wamejaa wamefika limit 17.
Buendia ni Homegrown ,Huyu Benraham ni Mu Algeria , Sina uhakika kama Amekulia Uingereza toka akiwa na miaka 16View attachment 1594376
Muhuni tu huyo jamaa ,Duh kumbe ni unreliable...