Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwakua dirisha la nani bado nilifikiri tungeweza kuwafuata ama Zaha au Grealish ambao tulikua linked nao. Ila kama tuna kikosi hadi inabidi tupunguze watu naona tuna kasafari kidogo.
Je Allan Saint-Maximin wa Newcastle? Naona yuko vizuri sana tu kama mbadala wa Zaha na Grealish na gharama zake siyo kubwa kama hao.
 
Ozil ni mpumbavu ametugharimu kama club, China ina zaidi ya 1.5b population (robo ya dunia) afu unaenda kujiingiza kwenye mamigogoro ya kipuuzi nao.

Hajielewi kabisa hata last time alizua mzozo kuhusu mahusiano yake na rais wa Turkey kipindi akigombea.

Ameathiri mauzo ya jezi yake na za club kwa ujumla kule China sehemu ambayo tungeweza kumuuza pia na bado amekataa ofa za kuuzwa ili tuondokane na mzigo wa mshahara wake sabab hata kucheza hataki anaboronga tu, he is simply stupid.
Mimi ningewatoa Cedric, Mari na Sokratis nimwache Ozil ili wachina wakilegeza tumchezeshe
 
Je Allan Saint-Maximin wa Newcastle? Naona yuko vizuri sana tu kama mbadala wa Zaha na Grealish na gharama zake siyo kubwa kama hao.
Binafsi simkubali huyu jamaa ni kama Iwobi. Anapenda kukaa na mpira muda mrefu huku hana uwezo huo na anapoozesha mashambulizi
 
Hapo kwenye

Emery alimlostisha Xhaka kwakua alikua anamuacha asimame kama single. Wakati anafanya vyema pembeni yake akiwepo mtu mwingine.

Xhaka alikuja kama cmf.

Chini ya Wenger formation ilikua ni 4 2 3 1. Xhaka alicheza kwenye 2. Ni lini alikua amf?

4-2-3-1 hiyo double pivot mmoja anakuwa ni deep lying play maker na mwingine ni defensive midfielder.

Sasa Xhaka muda wote kwa Wenger alikuwa kama deep lying play marker, Wilshere, Coquelin na Elneny walifanya defensive role kwenye hiyo double pivot.
 
Hapo kwenye



4-2-3-1 hiyo double pivot mmoja anakuwa ni deep lying play maker na mwingine ni defensive midfielder.

Sasa Xhaka muda wote kwa Wenger alikuwa kama deep lying play marker, Wilshere, Coquelin na Elneny walifanya defensive role kwenye hiyo double pivot.
Haya
 
Kwakua dirisha la ndani bado nilifikiri tungeweza kuwafuata ama Zaha au Grealish ambao tulikua linked nao. Ila kama tuna kikosi hadi inabidi tupunguze watu naona tuna kasafari kidogo.
Mkuu hao wakina Zaha na Grealish wa nini tena!?

Kwanza sijawahi kusikia Arsenal wakihusishwa na Grealish.. Hawa wachezaji wa kiingereza wana gharama kubwa halafu uwezo wao ni wa kawaida mno!
Man Utd waliambiwa watoe £80m kwa huyo mchezaji..

Kuhusu Zaha, sioni kama anaweza kuufikia uwezo wa Pepé hata kidogo..
Umeuona moto aliouwasha Pepé baada ya kuingia sub dhidi ya Sheffield?

Arsenal hatuna nafasi ya wachezaji wa namna hiyo kwa sasa!
 
Joshua Kimmich na Alaba... Mifano ya fasta ninayoweza ikumbuka
Ungebadili kauli tu mkuu..

In short, sio mabeki wote wanaoweza kucheza DMF.

Ni wachache tu kama wakina David Luiz, Phillip Lahm na hao uliowataja.

Huwezi kusema Zouma au Marcos Alonso ni DMF wazuri.. Hapo utakuwa unaudanganya umma
 
Ungebadili kauli tu mkuu..

In short, sio mabeki wote wanaoweza kucheza DMF.

Ni wachache tu kama wakina David Luiz, Phillip Lahm na hao uliowataja.

Huwezi kusema Zouma au Marcos Alonso ni DMF wazuri.. Hapo utakuwa unaudanganya umma
Of coz siwezi kwakua hawajawahi kuwekwa hizo nafasi bado
 
Ozil to be left out of the official Premier League squad?

Arsenal have to exclude 2 senior non home grown players...surely he has to be one? #arsenal #afc
 
Our squad is so stacked right now, so much so that we need to leave out 2 non homegrown players from registration with PL. But there's a silver lining - Ozil, Mustafi, Sokratis, Luiz contracts expire end of season so our wage bill and squad will be more streamlined next summer.
 
Back
Top Bottom