Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Toreira huyo uwanja wa ndege akielekea Atletico kukamilisha usajiri

IMG-20201002-WA0034.jpg
 
tunajaribu kutengeneza nafasi kwenye kikosi ili tuwaingize kina Partey hata kama hatujafanikiwa kuuza? Au kupunguza wage bill? Umeweza kujua malipo yamekaaje kwa hii loan?
Ingekua ishu ni kuoffload mgeni mbona Martinez alishaondoka
 
😀😀😀Namuona Ole kama mjanja flani anajifanya mdhaifu kumbe yuko vizuri. Anawaacha watu wamdharau lakini anaingia top 4 wakati sisi FA Cup ndilo tulitegemea kuingia Europa. re: last season. This time tusidanganyike tuhakikishe tunampiga yeye, Lampard, Mou , Carlo na wote nje ya wale 2 bora wa kawaida.😀😀😀
 
Well tungeachana naye tungemuopt Aouar
Tutakua tumejenga ghorofa kali bila msingi.
Leno akiumia je?
Arteta ana akili nyingi yule jamaa bhas tu club yetu inazingua kwenye usajili.
Kaanza kuimarisha defence huko mbele watajipanga tu
 
Tutakua tumejenga ghorofa kali bila msingi.
Leno akiumia je?
Arteta ana akili nyingi yule jamaa bhas tu club yetu inazingua kwenye usajili.
Kaanza kuimarisha defence huko mbele watajipanga tu
Unamjua Matt Macey?
 
😀😀😀Namuona Ole kama mjanja flani anajifanya mdhaifu kumbe yuko vizuri. Anawaacha watu wamdharau lakini anaingia top 4 wakati sisi FA Cup ndilo tulitegemea kuingia Europa. re: last season. This time tusidanganyike tuhakikishe tunampiga yeye, Lampard, Mou , Carlo na wote nje ya wale 2 bora wa kawaida.😀😀😀
Unadhani tungeanza na Arteta since step one tungekua wapi? Ole amefanya vizuri games za mwisho ambazo sisi Emery alitakiwa kushinda games nne nafikiri ili kuingia top four instead ikawa ni komedi, mpaka watford alitukazia.
 
Unadhani tungeanza na Arteta since step one tungekua wapi? Ole amefanya vizuri games za mwisho ambazo sisi Emery alitakiwa kushinda games nne nafikiri ili kuingia top four instead ikawa ni komedi, mpaka watford alitukazia.
Hata Arteta alipoteza mechi kizembe, kama Villa na Brighton. Nakumbuka kuna watu walikuwa wanamtathmini yeye na Emery mwanzoni wakawona hawana tofauti. Hata juzi juzi West Ham alienda sawa nasi na angeshinda bahati ingekuwa kwake. Kizuri ni kuwa Arteta anatambua kuwa kuna madhaifu na anajua anaweza kurekebisha kikosi hichi hichi alicho nacho. Akipata nguvu zaidi poa ila naona kama hana wasi wasi asipopata.
 
Back
Top Bottom