


Mkuu umecheza playstation? Yoyote ile iwe 2 au 3 au 4? Unaona kile alichofanya McGoldrick? Kinaitwa Box+R2 tamka boxaratwo. Kipa hadaki unless umchezeshe kwa kumpeleka katika hiyo angle before shot haijapigwa.McGoldrick amemjulia Leno kuwa upande wake wa kulia ndiyo dhaifu kuruka
Kipindi cha Emery labda. Wenger mechi kama hii akikutawala kiasi hiki ni 4-0. Tulizembea baada ya kuongoza na pasi za nyuma nyingi. Umiliki wa mpira ulikuwa muhimu zaidi ya ubunifu na kutafuta magoli mengine. Hili suala halikunifurahisha. Hizi ni mechi za kuua kabisa na kujiongezea GD. Pep na misifa yake angempiga huyu 6-o au hata 7-0. Ila tuchukue tu ushindi. Everton and GD ya 7, ingawa namuona kama katangulia tu ila hatofika mbaliKipindi cha Wenger muda huu roho mkononi, Ila Arteta ametengeneza defence nzuri so far.
EPL mechi ya nne timu tatu tu ambazo hazijafungwa ie Everton, Liver na Villa.Sasa tunataka sare za bila kufungana kwa mechi zote zinazofuata leo. Ili mradi tu mechi zisiboe.
Ingekuwa kushoto kwake anayo ile. Jamaa anaspring nzuri sana kuelekea kushoto. Ila yote sawa, tumekosa clean sheet lakini tumepata 3 points na tuna kazi ya kujiboresha zaidi. Playstation nacheza ila sina skills kabisa yaani. Huwa nipo tu kusindikiza wana.Mkuu umecheza playstation? Yoyote ile iwe 2 au 3 au 4? Unaona kile alichofanya McGoldrick? Kinaitwa Box+R2 tamka boxaratwo. Kipa hadaki unless umchezeshe kwa kumpeleka katika hiyo angle before shot haijapigwa.
Kwahiyo unavyoona Auba anascore kile kieneo ndo hiyo box+R2 ambayo haikabiki.
Ni kuu-curve mpira.
Neuer kashapigwa na Odoi goli kama hilo, yaani kipa yeyote hadaki.

Nataka sare kwa sababu sitaki wapate points nyingi hawa. Sioni uwezekano wa Villa kumpiga Liverpool ila akijitahidi kutoa sare atatusaidia Liverpool atatuacha point 1 badala ya 3. Alafu akija kupambana na Everton naona ni sare tena so wote wasikimbie kwa kasi sana.EPL mechi ya nne timu tatu tu ambazo hazijafungwa ie Everton, Liver na Villa.
Leo Villa anakutana na Liver unless iwe draw kama wishes zako zitabaki timu mbili tu ambazo hazijapoteza.
Nadhani msimu huu Liver pia hatafika mechi 15 kabla hajatobolewa.
Yah sare ni good results kwetu, sio lazima afe leo.Nataka sare kwa sababu sitaki wapate points nyingi hawa. Sioni uwezekano wa Villa kumpiga Liverpool ila akijitahidi kutoa sare atatusaidia Liverpool atatuacha point 1 badala ya 3. Alafu akija kupambana na Everton naona ni sare tena so wote wasikimbie kwa kasi sana.
Baba tena playstation 3 Fifa hizo boxR2 hata apige beki ni goli. Haijalishi upande ganiIngekuwa kushoto kwake anayo ile. Jamaa anaspring nzuri sana kuelekea kushoto. Ila yote sawa, tumekosa clean sheet lakini tumepata 3 points na tuna kazi ya kujiboresha zaidi. Playstation nacheza ila sina skills kabisa yaani. Huwa nipo tu kusindikiza wana.
We need a playmaker. Bring ozil back to the teamAuba is like he was not there