Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe jamaa bana... muda ni mwalimu mzuri sana. Ngoja tuone mwishoni itakuaje.

Kombe lililopo ndani ya uwezo wako ni FA na Carabao. Hapo pambaneni sana
Na kiukweli upo sahihi. Ndiyo maana kocha alisema anahitaji misimu mitatu ili kuja kukichafua juu ya hapo.

Bonus ni kwamba ninaamini Europa tuna nafasi yetu pia. So kazi ni kwako kuendelea kuangalia mpaka mwisho kama ulivyosema
 
Asante kaka. Tunataka tuwafunge Anfield kwenye Premier League na kwingineko pia. Tuwapunguze makali.

Kwenye Premier League sidhani, ila kwingine tunafungika vizuri tu.

Kwa mwaka huu imeshapita ya kwenu, tunasubiri kuona nani atatuharibia.
 
Kichapo cha kuotea...

Mpira ni zile dk 90 tu, penalties bahati nasibu sema Liverpool bahati haikuwa upande wao ni kama ilivyokuwa kwa Chelsea na Tottenham. Bahati alikuwa nayo Totten
Umeotewa au siyo? Haya msubiri kwenye ligi umalize hasira zako za kuotewa
 
Better for you, because that is what your hands can reach for. On Our side, ambitions are limited and focused.
..yes, everything that is within our reach, and that's how it must be. How do you stretch your hands beyond?
 
What ranting specifically? About carabao? Serious?
Hua inasemwa mashabiki wa liva mambo yakienda kombo utashangaa kiingereza kimepamba moto DullyJr

Game ya jana Liva imeanzisha regular starters wangapi na Arsenal imeanzisha wangapi?

Previous game kwenye Carabao liva ilianzisha regular starters 5 Arsenal ilianzisha 3 tena inacheza na Leicester.

Hapo nani yupo serious na carabao?
 
Tuiwa na Emery tulifika fainali ya Europa. One hell of a run. Msimu uliopita tumetolewa njiani.

Msimu huu tupo tena Europa, huku tuna kikosi kinachoendelea kuelewana kocha ambaye anajifunza, anabadilika na anajua kudeal na kila game.

Unahisi Europa itatupita? Mimi naamini tuna chansi yetu Europa ni vyema tukienda tukiwa non favorite hivi hivi halafu wakutane na surprise.

Europa ni kombe jingine la kulimezea mate.
 
Back
Top Bottom