Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*Uefa champions league*

*Group K*
Arsenal
Mbeya City
Gwambina fc
Toroli kombaini.
 
Shukuruni sana FA viazi nyie huko Europa naona mmepita bila kupingwa
 
Hii haikupaswa icheze hata europa sijawahi kuona team mbovu yenye wachezaji wabovu ulaya kama hili jiteam
 
Hii team mashabiki zake wengi walikufa na kisukari na presha enzi za Wenger sasa hivi wengi wao ni vijitoto vya juzi
 
Tofauti kati ya asenane na Burnley asenane wanavikombe vingi vya FA
 
Ukishabikia team kama arsenal unahatari ya kupunguza nguvu zako za kiume
 
Nyie vipulizo FC nasikia Hiyo Europa ligi ya alhamic mmepitishwa bila kupingwa
 
Ona hapa.

Lampard aliahidi kikombe msimu huu. Juzi katolewa carabao, anabaki kwenye FA, ligi na UCL.

Ongea ukweli wako unahisi katika FA, ligi na UCL ni kikombe kipi atachukua?

Klopp kafungwa na Arsenal mara mbili, ya pili akatemeshwa na ngao ya hisani. Akatumia wiki nzima kunung'unika na kuchimba watu mikwara juu ya anfield. Kashinda mechi ya kwanza, ya pili kafurumushwa carabao.

Baada ya mechi kama kawaida kunung'unika.

Kuna Ole. Wakina Keane wamemuambia fungate limeisha alete vikombe. Lakini Ole ndiyo kwanza yupo kwenye majaribio ya formation.

Hizo timu mid zao thamani ni kuanzia 130+M

Kisha kuna Arteta...
Wewe jamaa bana... muda ni mwalimu mzuri sana. Ngoja tuone mwishoni itakuaje.

Kombe lililopo ndani ya uwezo wako ni FA na Carabao. Hapo pambaneni sana
 
Yule Pepe jamani ni mweupe peeee hamna kitu kabisa
 
Back
Top Bottom