Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

*Uefa champions league*

*Group K*
Arsenal
Mbeya City
Gwambina fc
Toroli kombaini.
 
Vikombe vya ulaya sijui kwanini waga vinatushinda ila safari hii hiki cha Europa ni jasho na damu
We boya europa hiyo ni ipi labda uliibe kombe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shukuruni sana FA viazi nyie huko Europa naona mmepita bila kupingwa [emoji23][emoji23]
 
Hii haikupaswa icheze hata europa sijawahi kuona team mbovu yenye wachezaji wabovu ulaya kama hili jiteam [emoji23][emoji23]
 
Hii team mashabiki zake wengi walikufa na kisukari na presha enzi za Wenger sasa hivi wengi wao ni vijitoto vya juzi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tofauti kati ya asenane na Burnley asenane wanavikombe vingi vya FA [emoji23][emoji23]
 
Ukishabikia team kama arsenal unahatari ya kupunguza nguvu zako za kiume
 
Nyie vipulizo FC nasikia Hiyo Europa ligi ya alhamic mmepitishwa bila kupingwa [emoji23][emoji23]
 
Ona hapa.

Lampard aliahidi kikombe msimu huu. Juzi katolewa carabao, anabaki kwenye FA, ligi na UCL.

Ongea ukweli wako unahisi katika FA, ligi na UCL ni kikombe kipi atachukua?

Klopp kafungwa na Arsenal mara mbili, ya pili akatemeshwa na ngao ya hisani. Akatumia wiki nzima kunung'unika na kuchimba watu mikwara juu ya anfield. Kashinda mechi ya kwanza, ya pili kafurumushwa carabao.

Baada ya mechi kama kawaida kunung'unika.

Kuna Ole. Wakina Keane wamemuambia fungate limeisha alete vikombe. Lakini Ole ndiyo kwanza yupo kwenye majaribio ya formation.

Hizo timu mid zao thamani ni kuanzia 130+M

Kisha kuna Arteta...
Wewe jamaa bana... [emoji23][emoji23] muda ni mwalimu mzuri sana. Ngoja tuone mwishoni itakuaje.

Kombe lililopo ndani ya uwezo wako ni FA na Carabao. Hapo pambaneni sana
 
Yule Pepe jamani ni mweupe peeee hamna kitu kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom