Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ona hapa.

Lampard aliahidi kikombe msimu huu. Juzi katolewa carabao, anabaki kwenye FA, ligi na UCL.

Ongea ukweli wako unahisi katika FA, ligi na UCL ni kikombe kipi atachukua?

Klopp kafungwa na Arsenal mara mbili, ya pili akatemeshwa na ngao ya hisani. Akatumia wiki nzima kunung'unika na kuchimba watu mikwara juu ya anfield. Kashinda mechi ya kwanza, ya pili kafurumushwa carabao.

Baada ya mechi kama kawaida kunung'unika.

Kuna Ole. Wakina Keane wamemuambia fungate limeisha alete vikombe. Lakini Ole ndiyo kwanza yupo kwenye majaribio ya formation.

Hizo timu mid zao thamani ni kuanzia 130+M

Kisha kuna Arteta...
 
Hii noma mkuu

1601588733231.png


That's a top draw ... .... .
 
Klopp on Leno's inspiring performance:

"I told Bernd (Leno) after the game that I was not too happy about that."
Aaron usajil vipi mbona kama arsenal na fans wanaridhishwa na uwezo wa timu hawaitaji kusajili?

kuna everton aise wale jamaa watasumbua sana labda Ancellot asepe aise inatisha sana kuliko chelsea
 
Aaron usajil vipi mbona kama arsenal na fans wanaridhishwa na uwezo wa timu hawaitaji kusajili?

kuna everton aise wale jamaa watasumbua sana labda Ancellot asepe aise inatisha sana kuliko chelsea
Usajiri bado siku 4 , still bado tupo kwenye mbio za Aouar

Partey imekuwa kimya. Maana kinachohitajika pale ni kutrigger release clause

Kiukweli tunahitaji kiungo hasa Aouar
 
Usajiri bado siku 4 , still bado tupo kwenye mbio za Aouar

Partey imekuwa kimya. Maana kinachohitajika pale ni kutrigger release clause

Kiukweli tunahitaji kiungo hasa Aouar
boss wa Lyon alisema mwisho ijumaa, hakuna mtu kutoka wala kuingia.

alafu kuna habari ya m'badala wa partey anausishwa kiungo wa lille nathani anaitwa soumare, imekaje?
 
boss wa Lyon alisema mwisho ijumaa, hakuna mtu kutoka wala kuingia.

alafu kuna habari ya m'badala wa partey anausishwa kiungo wa lille nathani anaitwa soumare, imekaje?
Niliona Aulas kuongeza muda had jtatu tena ,

Dili la Partey limekuwa kimya , halieleweki tena kama lipo ON au OFF maana lenyewe ni kutrigger tu release clause hata zikibaki dk 2 usajiri ufungwe

Tofauti la Aouar ambalo lipo kwenye negotiation ya fee
 
From || Arsenal have been in discussions with Rennes in the last hours, about the possibility of sending William Saliba on loan [Via - @Telefoot_Chaine].
 
Back
Top Bottom