Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
ukimuuza Lacazette kwa sasa zimebakia siku 5, unapata mbadala gani? ebu kuwa reliastic kidogoHuyu angeenda tuView attachment 1586964
ukimuuza Lacazette kwa sasa zimebakia siku 5, unapata mbadala gani? ebu kuwa reliastic kidogoHuyu angeenda tuView attachment 1586964


Bukayo Saka named in the England squad
Bukayo Saka listed as a defender in the England squad
24 Years Ago Today:
Arsene Wenger officially became Arsenal manager.
1,235 Games
707 Wins
280 Draws
248 Defeats





FA Cup





Community Shield

Premier League
Invincible season.
Legend. https://t.co/TkH7CtpJ3oKwa hiyo mkuu kiungo ni Mwarabu,Xhaka,Ceballos na Houssem, No partey this season?After #Torreira’s sale #Arsenal will make a new official bid to #OlympiqueLyon for Houssem #Aouar, who is always the first choice of coach #Arteta. #Gunners are confident to reach an agreement with Aulas. #transfers #AFC #OL
Ila mkuu Xhaka naye anatuua kwenye game kama hizi,anahitajika kuwa flexible kila game, naona kama timu inamzunguka yeye sasa anapofeli mara nyingi basi ujue tumefeli wote.Wakuu nilipata kuangalia Replay yote ya mechi yetu against Liver, kwa maoni yangu mambo machache ya kurekebisha ni haya:
1. Willian hakuwa/hana pace ya kucope na Robertson, muda mwingi alikuwa anachelewa kumkaba na ndio maana alileta madhara sana.
2. Auba pia anatakiwa kumkaba right full back (Arnold) lkn naye anaishia kati ya uwanja ili apokee counter tukigain possession, hivyo Xhaka humpokea hilo jukumu kwenye half yetu naye muda mwingi alikuwa off guard.
3. Niles na Bellerin wanawakaba Mane na Mo Salah respectively ambao mechi ya juzi walikuwa wanadrop na kuingia ndani kwenye midfield na full backs wetu wanapowafata kuwakaba automatically huacha space kwa Arnold na Robertson ku overlap na kupiga cross au kufunga ikibidi.
4. Liver walifanya high press na ukiangalia utaona back four yao ilikuwa almost kwenye half ground wakiwa hawana mpira na VVD ndiye alikuwa mwiba kwenye kupiga pass ndefu kwa Mo, Mane au full backs zao zinapopanda. Alipiga 5 successfull long balls.
Kwa ile press yao kila tulipo fanikiwa kuibypass pressing yao tulifika golini kwao vema kabisa na Lacca akakosa 2 clear chances na tukawa na offsides 5.
Nini kifanyike leo?
1. Drop Willian aanze Pepe mwenye pace ya kumkabili Robertson.
2. Drop Lacca ili Auba acheze CF na Saka acheze kama LW kumkabili Arnold kwa kuwa ana uzoefu wa kufanya good marking akicheza full back left na uwepo wake utampa Xhaka freedom kwenye midfield.
Kutokana na pumzi ya Liver second half kwa kutegemea hali ya game tunaweza kuingiza Nketiah/Willian for Pepe, Ceballos for Xhaka na Auba for Lacca kwa kuwa Lacca ni mzuri kuliko Auba kwenye kusaidia kukaba.
Kwa hiyo line up (3-4-3):
Leno
Tierney Luiz Holding
Niles Xhaka Elneny Bellerin
Saka Auba Pepe
Subs:
Runar Alex
Gabriel
Cedric
Ceballos
Lacca
Nketiah
Willian
COY Gunners.

Pangen kikos mkimaliza mseme ila mjue leo hakutakuwa na hurumahuruma kama j3 .......leo hii tunapanga watu wanaotafuta namba kwa hiyo wakipata chance ya kuwaweka wanaweka ....mnaweza jikuta mmelowana kama 8 hv na bado tunawatafutaWakuu nilipata kuangalia Replay yote ya mechi yetu against Liver, kwa maoni yangu mambo machache ya kurekebisha ni haya:
1. Willian hakuwa/hana pace ya kucope na Robertson, muda mwingi alikuwa anachelewa kumkaba na ndio maana alileta madhara sana.
2. Auba pia anatakiwa kumkaba right full back (Arnold) lkn naye anaishia kati ya uwanja ili apokee counter tukigain possession, hivyo Xhaka humpokea hilo jukumu kwenye half yetu naye muda mwingi alikuwa off guard.
3. Niles na Bellerin wanawakaba Mane na Mo Salah respectively ambao mechi ya juzi walikuwa wanadrop na kuingia ndani kwenye midfield na full backs wetu wanapowafata kuwakaba automatically huacha space kwa Arnold na Robertson ku overlap na kupiga cross au kufunga ikibidi.
4. Liver walifanya high press na ukiangalia utaona back four yao ilikuwa almost kwenye half ground wakiwa hawana mpira na VVD ndiye alikuwa mwiba kwenye kupiga pass ndefu kwa Mo, Mane au full backs zao zinapopanda. Alipiga 5 successfull long balls.
Kwa ile press yao kila tulipo fanikiwa kuibypass pressing yao tulifika golini kwao vema kabisa na Lacca akakosa 2 clear chances na tukawa na offsides 5.
Nini kifanyike leo?
1. Drop Willian aanze Pepe mwenye pace ya kumkabili Robertson.
2. Drop Lacca ili Auba acheze CF na Saka acheze kama LW kumkabili Arnold kwa kuwa ana uzoefu wa kufanya good marking akicheza full back left na uwepo wake utampa Xhaka freedom kwenye midfield.
Kutokana na pumzi ya Liver second half kwa kutegemea hali ya game tunaweza kuingiza Nketiah/Willian for Pepe, Ceballos for Xhaka na Auba for Lacca kwa kuwa Lacca ni mzuri kuliko Auba kwenye kusaidia kukaba.
Kwa hiyo line up (3-4-3):
Leno
Tierney Luiz Holding
Niles Xhaka Elneny Bellerin
Saka Auba Pepe
Subs:
Runar Alex
Gabriel
Cedric
Ceballos
Lacca
Nketiah
Willian
COY Gunners.
Pangen kikos mkimaliza mseme ila mjue leo hakutakuwa na hurumahuruma kama j3 .......leo hii tunapanga watu wanaotafuta namba kwa hiyo wakipata chance ya kuwaweka wanaweka ....mnaweza jikuta mmelowana kama 8 hv na bado tunawatafuta
Maana huku unamkuta minamino hujakaa vizur curtis jones huyu hapa, shaqir naye anakuja amejaa nyembe kama kuna mtu kamuulia mwanaye,mara paap unamwona origi ,hapo jota yule aliyeingia dk ya 80 juz akawaharibia siku nawataarif leo ataanza mna bahat thiago anasumbuliwa na corona ila leo hii mech mngeikataa,hapo sijamtaja barobaro anayekuja kwa kasi Harvey elliot
Last but not least LIVERPOOL HAIFUNGWI ANFIELD
Sisi kiufupi ni kwamba tumeshindikana kama pep guardiola ndo huyu anakula viganja sasa nan wa kutusumbua???? Zebra huko hali mbaya lampard tumetoka kumfanyia mamnyanyaso ya hali ya juu nyie ndo hata hamna hamu na sisiTuna usongo wa kuivunja hii rekodi maana inawapa kiburi sana mpaka timu pinzani zimeanza kuamini kwamba kweli hamfungiki nyumbani. Hakuna lolote 😀 😀






GROUP Z UEFA CHAMPIONS LEAGUE
ARSENAL FC
IHEFU FC
KILUVYA UNITED
SOFAPAKA FC
![]()



dah huu utani wa ngumu😀 😀 😀 😀 😀 haya bwana. Mnaamini miaka yenu mwituni imeshapita sasa mmefika rasmi katika ardhi ya maziwa na asali. Sisi pia ndiyo tunaanza kufungasha virago vyetu Misri tunaelekea jangwani. Punde tu tutafika Kanana kama nyie 😀😀Sisi kiufupi ni kwamba tumeshindikana kama pep guardiola ndo huyu anakula viganja sasa nan wa kutusumbua???? Zebra huko hali mbaya lampard tumetoka kumfanyia mamnyanyaso ya hali ya juu nyie ndo hata hamna hamu na sisi
Tuliteseka sana acha tuwatese
Tena muda huu ndio mzuri wa kupata majembe,ukimuuza Lacazette kwa sasa zimebakia siku 5, unapata mbadala gani? ebu kuwa reliastic kidogo
Laca alitumaliza juzi kaka. Uhalisia ni kwamba draw ingekuwa ushindi kwetu juzi na uki-aim matokeo yale basi nafasi zinazopatikana unatakiwa uwe makini sana.Castr
DullyJr
Aaron Arsenal
Will jr
computerarsenal
14Henry
Relief Mirzska
gspain
Ndugu zanguni hii mechi kweli tumefungwa lakini maisha lazima yaendelee,katika ujengaji wa timu ajali Kama hizi lazima zitokee,
Bila shaka arteta atakua amejifunza sth juu ya style yetu ya kufanya 'build up' dhidi ya time zinazofanya press Kama Liverpool,
Laccazzette! Laccazzette! Dah!! Sijui Jana aliwaambia nini wenzake!,double open chances afu katika mechi Kama Ile hauwezi ukakosa kipuuzi vile,
Anyway let's look to another fixture.