Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee arsenal UEFA kwl au fix
Screenshot_20200930-170819.jpg


Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
creativity haipo kwenye kiungo,km uliona juzi Auba na Willian hawajachezeshwa kabisa,Partey muhimu na Aouar ni muhimu zaidi
Ndo maana management ihakikishe wote wawili wanakuja Arsenal but Aour namba 8 yake anacheza vizuri sana very good problem itakuja wakati tunashambuliwa nani wa kuzuia?
 
Manchester United admire Ainsley Maitland Niled but are not in talks to sign him

[@FabrizioRomano via @podcastherewego]
 
Ila arsenal nyie, heheheee... Mnanifurahisha, embu ichambueni timu yenu vizuri ili mjue namna ya kuishabikia.
Tatizo lenu mko justifiable for positive in the dark na mnajua nyie ni tia maji.
Ile jumatatu was not a good day kabisa, i was waiting to watch that.
Mlifanywa kitu mbaya sana, kama mna akili sawa sawa tulieni.
Manyua mpo vzr Sana
 
Bado sana, afu hawa raia wa Brazil wana uwezo mdogo wa kumiliki pesa, wanavyoongezwa maslahi ndio viwango vinaharibika wanakula bata sana.

Refer: Ronaldo, Ronaldinho, Robinho, Adriano na hata Neymar inasemwa bata sana ndio maana anaandamwa na injury daily.
Shukran. Mie namwona kama mchezaji wa 60k- 70k hivi
 
Bado sana, afu hawa raia wa Brazil wana uwezo mdogo wa kumiliki pesa, wanavyoongezwa maslahi ndio viwango vinaharibika wanakula bata sana.

Refer: Ronaldo, Ronaldinho, Robinho, Adriano na hata Neymar inasemwa bata sana ndio maana anaandamwa na injury daily.

Hapo umenena bro. Wale culture yao ni kusherekea na kufurahia maisha so wakizipata wao sharti wafurahie 😀
 
Ndo maana management ihakikishe wote wawili wanakuja Arsenal but Aour namba 8 yake anacheza vizuri sana very good problem itakuja wakati tunashambuliwa nani wa kuzuia?
Boss I agree with you,yaani linapokuja swala la kushambuliwa tunakua mdebwedo kabisa pindi tunapocheza na strongest team.
 
Boss I agree with you,yaani linapokuja swala la kushambuliwa tunakua mdebwedo kabisa pindi tunapocheza na strongest team.
Na ndio tatizo kubwa ambalo more than 10 years tumekuwa nalo Aour ni mzuri but Arsenal tatizo kubwa sio namba 8 ni defensive midfield ndio tatizo kubwa ambalo tunakumbana nalo naapa hata tukimpata Aour bila kumpata partey tatizo litabakia pale pale na wakati utaongea ukiangalia Big six 90% wana defensive midfielder wazuri Arsenal haina hata anayekaribia 30% kufanya hii kazi
 
Anzishen mjadala wa xhaka na el neny yup aanze tena naona mmekimbilia kwa partey cjui

Shubakengemit zenu!!!! Nawataarifu tu juzi ilikuwa sendoff kesho tunachukua mwali kabisa
 
Na ndio tatizo kubwa ambalo more than 10 years tumekuwa nalo Aour ni mzuri but Arsenal tatizo kubwa sio namba 8 ni defensive midfield ndio tatizo kubwa ambalo tunakumbana nalo naapa hata tukimpata Aour bila kumpata partey tatizo litabakia pale pale na wakati utaongea ukiangalia Big six 90% wana defensive midfielder wazuri Arsenal haina hata anayekaribia 30% kufanya hii kazi
Unadhani Auba kukosa shot on target tatizo ni defensive mid mkuu,tunahitaji creativity mzee wangu kwenye kiungo, sijui kwanini hulioni hilo ?
Game ya juzi tumetoa magoli mepesi na ya mapema kwa uzembe wa watu flani flani tu,sio muda wa kumlaumu mchezaji lakini laca tutamlaumu tu kwasababu yeye angefanya approach ya mchezo ibadilike km angeconvert zile chances na tungerudi kwenye natural game yetu,juzi tumelazimishwa kucheza anavyotaka opponent ni km tulikuwa under-pressure the whole 90 mnts.
 
WAZEE WA TATU MZUKA MPO? MMEONA MATOKEO?. LIVERPOOL WANA JAMBO LAO PALE ANFIELD KESHO USIKU. TUNASUBIRI MRUDI HAPA MKILIALIA TENA
Screenshot_20200930-233539_Live%20Football%20TV.jpg
 
Unadhani Auba kukosa shot on target tatizo ni defensive mid mkuu,tunahitaji creativity mzee wangu kwenye kiungo, sijui kwanini hulioni hilo ?
Game ya juzi tumetoa magoli mepesi na ya mapema kwa uzembe wa watu flani flani tu,sio muda wa kumlaumu mchezaji lakini laca tutamlaumu tu kwasababu yeye angefanya approach ya mchezo ibadilike km angeconvert zile chances na tungerudi kwenye natural game yetu,juzi tumelazimishwa kucheza anavyotaka opponent ni km tulikuwa under-pressure the whole 90 mnts.
Unafikiri muda wote tunaoshambuliwa defensive midfielder anafanya nini muda huo?
In short Arsenal inawahitaji Aour na partey kwa pamoja na muda unakimbia leo ni tarehe 1 bado siku 3 za kusajili
 
Unadhani Auba kukosa shot on target tatizo ni defensive mid mkuu,tunahitaji creativity mzee wangu kwenye kiungo, sijui kwanini hulioni hilo ?
Game ya juzi tumetoa magoli mepesi na ya mapema kwa uzembe wa watu flani flani tu,sio muda wa kumlaumu mchezaji lakini laca tutamlaumu tu kwasababu yeye angefanya approach ya mchezo ibadilike km angeconvert zile chances na tungerudi kwenye natural game yetu,juzi tumelazimishwa kucheza anavyotaka opponent ni km tulikuwa under-pressure the whole 90 mnts.
Suarez alikuwa anapatikana kwa hela ndogo sana ulivyomtaja Laca nikamkumbuka Suarez,ila kwa Laca hainishangazi hajawah kuwa na kiwango bora tangia aje Arsenal ni mbahatishaji kiwango alikiachaga Lyon kama Pepe alivyokiacha Lille
 
Back
Top Bottom