Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu samahani, unaujua mpira na kuufatilia mpira wa kizazi hiki vzuri?
Mkuu kwa hiyo wewe unaona hizo TAKA TAKA zipo sawa?,ukitaka kufahamu hizo ni TAKA TAKA kwenye mechi muhimu kama hizi ndo utazielewa vizuri,haiwezekani ukikutana na timu ndogo ndo uonekane bora wakati timu kubwa zinakuzidi kila idara,Lacazette mara nyingi anabahatisha magori,angalia foward kama Vardy hata asipofunga lakini kashi kashi za mabeki wa timu pinzani wanazokumbana nazo,Lacazette nafasi 20 basi atafunga moja!!
 
KufaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila Leno naye tatizo lingine haiwezekani timu inacheza kwa kushambulia kwa kushtukiza halafu hakuna hata mpira mmoja anaofosi mbele eidha kwa viungo au washambuliaji yani mwanzo mwisho anatoa pasi kwa mabeki tena hajali wamekabwa au vipi aisee
 

Dah ...... ..... hawa loserfools naona walimweka refa mfukoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…