Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpaka jana Arsenal tulikua tumeshinda mechi ya sita mfululizo.

Tumepiga Chelsea, Liva, Man City, West Ham...

Kuna mbuzi ametoka kubakwa 2 kavu.

Halafu ana guts za kusema ninateseka.
Unateseka sana mkuu. Saivi tuna Mendy
 
Nketiah anabadilika attitude na kua shit?

Move ya goli la kwanza dhidi ya Leicester ilianza kwa Nketiah kumpa pasi Pepe, Pepe akadrible mpaka ndani ya box na kupiga low cross ambayo iliblokiwa.

Palepale Nketiah akaonyesha kuudhika na kumuonyesha Pepe ishara ya 'Ungeuleta hapa' muda huo move bado inaendelea Pepe anapambania ule mpira uliokua blocked. Akaupata akaupeleka tena katikati ambapo ukamgonga Fuchs na kua goli.

Kwa kasi ya ule mpira Nketiah angeugusa lingekua goli pia. So ile ilikua ni pasi.

Lakini hata baada ya kua goli bado Nketiah akaonyesha ishara ya 'Ungeuleta hapa' mimi naona huyu ameanza kua mbinafsi anaamini yeye ni muhimu kuliko timu.

Wiki nyuma ametoka kugombana na Ceballos. Hata bado hilo halijapoa jana ameleta hilo jipya. Guendouz attitude yake ndiyo inamuweka benchi, tuna Folarin Balogun, tuna Gabriel Martinell huu wakati wa kukaza na kuexcel katika nyanja zote mpaka nidhamu yeye ashaanza kuota mapembe.

Balotelli alikua kipaji pia ila tunajua leo alipo na kwanini yupo pale.
Mm naona Dogo amekuwa na njaa ya kufunga magoli hiyo ni nzuri
 
Unateseka sana mkuu. Saivi tuna Mendy
Mmmmh ndıo huyu
images (7).jpg
 
Telegraph: Arsenal are looking to sell Lucas Torreira to Atletico Madrid on a permanent basis and hope they can use the Atletico interest in Torreira as an advantage in their pursuit of Thomas Partey


#TORREIRA #PARTEY NOW. @LTorreira34 to @Atleti subject to 2 options. Arsenal prefer

Option 1: signing #ThomasPartey letting go #Torreira reducing at 50% the #Ghanaian cost. Or

Option 2: #Lucas to #Atleti on loan subject to compulsory purchase at the end of this season.
IMG_20200924_184841.jpg
 
Atlético Madrid & #Arsenal are in talks over a move for Lucas Torreira but, while Atletico are pursuing a straight season-long loan, Arsenal are looking to sell the 24-year-old on a permanent deal or a loan with obligation to buy.


via @SkySports
 
Arsenal hope to strike a deal with Atletico Madrid seeing Thomas Partey coming on loan with an obligation to buy

They also want Torreira to go to Atleti on loan with a purchase obligation but Atleti only want a loan deal

[@SamJDean]
 
Unateseka sana mkuu. Saivi tuna Mendy
Nikisema kama wewe mjinga kosa langu litakua wapi?

Nyinyi mmewahi kumlalamikia Kepa pekee?

Mshamlalamikia Zouma.

Tomori.

Mount.

Tammy.

Mpaka Lampard.

Sasa Mendy ni nini?

Kaeni msubiri kuishi sehemu yenu.

Ulivyokua shit eti baada ya mechi ya jana ndiyo umefufuka
 
Watu wawili humu ndani wanasema ile mentality ya Nketiah ni nzuri kwa striker mwenye hamu ya kuscore.

Niambieni kama hata baada ya goli kuingia alishangilia.

Anataka mambo ya Barcelona watu wakipata mpira wakimbilie kumpa Messi?

Pia hata Pepe alichokua anastrago na kumpelekea yeye mpira huku kuna mabeki 5 wa Leicester. Ile siyo winning mentality ni ubinafsi.
 
Kwaiyo mkimchukua Jogihno mtaanza kumsifia hahaha hii timu takataka kweli😂😂😂

Man u na arsenal ni Chelsea B na C.
😂😂😂Pale London kabla Chelsea kuanzishwa 2003 timu ilikua Arsenal tu.

Arsenal ina historia kubwa. Talents ziliingia na kutoka. Hata baada ya Chelsea kuanzishwa 2003 bado wachezaji wa Chelsea walijua walipo ni kijiwe cha watu walioamua kuvaa jezi hivyo walijiondokea.

Ni kama Ujerumani. Kila mchezaji ana ndoto ya kuchezea Bayern sasa ndiyo London, kila anayejihisi anajua mpira ana ndoto ya kucheza Arsenal.

Usikasirike. Ni sehemu ya mchezo. Hata hivyo transfer za mchezaji kutoka Chelsea na kuja Arsenal moja kwa moja bila kupitia timu nyingine ni transfers 7 au 8 tu.

Sasa tafuta idadi ya wachezaji waliotoka Arsenal na kwenda Chelsea bila kituo katikati. Ashley Cole... Enhe mwingine?
 
Watu wawili humu ndani wanasema ile mentality ya Nketiah ni nzuri kwa striker mwenye hamu ya kuscore.

Niambieni kama hata baada ya goli kuingia alishangilia.

Anataka mambo ya Barcelona watu wakipata mpira wakimbilie kumpa Messi?

Pia hata Pepe alichokua anastrago na kumpelekea yeye mpira huku kuna mabeki 5 wa Leicester. Ile siyo winning mentality ni ubinafsi.
Huyu Nketiah ana ubinafsi sana pia anajiona ameshakua star kwenye timu japo uwezo wake ni mdogo hakui kiuchezaji.

Natumaini Martinelli akirejea atachukua nafasi hiyo permanent. Pia ni afadhali Balogun apewe nafasi ana potential kubwa kuliko huyu Nketiah.
 
Huyu Nketiah ana ubinafsi sana pia anajiona ameshakua star kwenye timu japo uwezo wake ni mdogo hakui kiuchezaji.

Natumaini Martinelli akirejea atachukua nafasi hiyo permanent. Pia ni afadhali Balogun apewe nafasi ana potential kubwa kuliko huyu Nketiah.
Sioni Kosa la Nketiah

We unaweza kuwa unaliona ni Kosa

Mwisho wa siku its All About Opinions
 
Pierre-Emerick Aubameyang:

“I was thinking about it [leaving] to tell you the truth because I had good opportunities as well, but this feeling to be here - the love from the fans & all the club - I’m not sure that by leaving I will receive the same love, that’s why I’m staying.”
 
AUBAMEYANG EXCLUSIVE!

Pierre-Emerick Aubameyang has told Sky Sports that he considered leaving Arsenal but the chance to improve under Mikel Arteta was a "key factor" in his decision to sign a new contract...
 
Huyu Nketiah ana ubinafsi sana pia anajiona ameshakua star kwenye timu japo uwezo wake ni mdogo hakui kiuchezaji.

Natumaini Martinelli akirejea atachukua nafasi hiyo permanent. Pia ni afadhali Balogun apewe nafasi ana potential kubwa kuliko huyu Nketiah.
Binafsi sioni kosa la nketia. Pepe ana mambo mengi mara apige step overs na vyenga vingi anachelewesha mpira. Sasa unakuta mpira ku cross mara ya kwanza yeye ka cut ndan kumzungusha beki.

Tofauti na Tierney yeye anacross waswahili wanasema kumwaga maji.
Sasa mpaka pepe akupe pass nketia huku ashazibwa. Hio inakera ukizingatia bado mnatafuta matokeo.
Nketia yupo vizur sema tu bado ajakomaa vi uri.
 
Binafsi sioni kosa la nketia. Pepe ana mambo mengi mara apige step overs na vyenga vingi anachelewesha mpira. Sasa unakuta mpira ku cross mara ya kwanza yeye ka cut ndan kumzungusha beki.

Tofauti na Tierney yeye anacross waswahili wanasema kumwaga maji.
Sasa mpaka pepe akupe pass nketia huku ashazibwa. Hio inakera ukizingatia bado mnatafuta matokeo.
Nketia yupo vizur sema tu bado ajakomaa vi uri.
Pepe ngoja tumletee Attacking midfielder amchezeshe vizuri upande wake ili tumuonee, ila so far anakatisha tamaa.
 
Back
Top Bottom