Umeongea vema sna, ila namba 3 hiyo sio sawa, maana arseňal haiuzi ili kukusanya fedha za kununua wengine ila inauza ilì kupunguza namba ya idadi ya wachezaji wa kigeni ili waweze kupata nafasi ya wengine kuingia katika kikosi,
Hicho ndiö kipengêle kinachowabana sana maana waliöko sasa ni 18 na hawatakiwi kuongeza wengine bila kuondoa, lakini hilo haliwafanyi kuwaondoa waliopo kwa hasara, kwasababu klabu iliwekeza fedha kuwapata, itabidi kukomaa japo iingize chochote, ndio maana wamepunguza bei za wachezaji ili waweze kununulika kwa urahisi
Na hiyo ndîo sababu vilabu vingine vinaitumia kutubananisha maana wanaona hąpo ni kwa kuweza kuchota wachezaji kujipangia bei au loan.