Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Ni mzuri hata akitokea pembeni, toka kaja Gunners anafanya poa hiyo positionkwa nini Auba anachezeshwa winga wakati anafit zaidi kama mshambuliaji wa kati
Ni mzuri hata akitokea pembeni, toka kaja Gunners anafanya poa hiyo positionkwa nini Auba anachezeshwa winga wakati anafit zaidi kama mshambuliaji wa kati
Hata mimi nilishamsahau petr Cech.. Kweli siku hazigandiDah ebwana kweli nimefananisha na ya mwaka huu. Nilishasahau kama tulikua na Agent Cech kwenye kikosi.
Ila maisha yako speed. Huyu Areola kacheza PSG, kaenda Madrid, leo yupo Fulham.Fulham XI: Rodak, Hector, Odoi, Kebano, Cairney, Ream, Cavaleiro, Reed, Bryan, Onomah, Kamara.
Subs: Areola, Christie, Le Marchand, Anguissa, Knockaert, De Cordova-Reid, Mitrovic
Arsenal XI: Leno; Holding, Gabriel, Tierney; Bellerin, Elneny, Xhaka, Maitland-Niles; Willian, Lacazette, Aubameyang
Subs: Macey, Kolasinac, Ceballos, Willock, Saka, Pepe, Nketiah.
Ila maisha yako speed. Huyu Areola kacheza PSG, kaenda Madrid, leo yupo Fulham.
Samahani nakuuliza swali personal. We 14Henry mbona status yako haipandi kila siku wewe ni member tu? Na unakoment mara kwa maraSorry bro.
Kweli nakumbuka hii issue iliniudhi sana. Unai 'Pumbav Kabisa' Emery akampanga Cech akijua kabisa ni mwanaChelsea. Kocha alikuwa anachekesha sana. Kuna mechi nyingi tulishinda akiwa kocha kwa sababu tu wachezaji walichukua maamuzi uwanjani wenyewe wakacheza kama Wenger alivyowafundisha ila Emery alivyoongeza influence game letu likazidi kuboa. Daah yule jamaa abarikiwe tu kule alipo ila asitusogelee kabisa 😃😃
Juzi niliongea Ozil kwa sasa hawezi kuwa katika team inayotaka trophies USA will be good place for him ila anakomaa hana nafasi zaidi ya kucheza Carabao na hata FA nafasi ni finyu kwakeMesut Özil is absent from the squad for the opening Premier League fixture against Fulham today. [BBC]
Kasajiliwa kwa mkopo juzi hivi si hawezi kuanza moja kwa mojaIla maisha yako speed. Huyu Areola kacheza PSG, kaenda Madrid, leo yupo Fulham.
Ni kwa makipa tu? Au wachezaji wote wakisajiliwa kwa mkopo hawaanzi moja kwa moja?Kasajiliwa kwa mkopo juzi hivi si hawezi kuanza moja kwa moja
Pauni laki tatu na nusu kwa wiki tunalipa bila kupata service yake, hii hele tungekuwa na uwezo kulipa wachezaji walau watatuJuzi niliongea Ozil kwa sasa hawezi kuwa katika team inayotaka trophies USA will be good place for him ila anakomaa hana nafasi zaidi ya kucheza Carabao na hata FA nafasi ni finyu kwake
Shwari, mi nipo Kigogo Sambusa nasubiri channel ya Canal + ianze yake.Wakuu kiaje?
Tupo uwanja wa Craven Cottage ulipo pembezoni kabisa mwa mto Thames mto mkubwa unopita katikati ya jiji la London kwenda baharini.
Shwari, mi nipo Kigogo Sambusa nasubiri channel ya Canal + ianze yake.

Download application | J FOOTBALL & MOVIE TVS