Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lacazette, Pepe and Xhaka look to be confirmed starters for tomorrow's game vs Fulham .
IMG_20200912_121157.jpg
 
3-4-3

My lineup today

Leno
Tierney
Auba
Willian
AMN
Bellerin
Laca
Ceballos
Pepe
Saliba
Xhaka
 
Final aliwekwa Cech ambaye tayari alikuwa ameshakubaliana na Chelsea

Hatua zote toka mwanzo alidaka Cech had final. ,watu waliomba Final adake Leno,

Unai chakubanga Emery akampanga cech muajiriwa wa Chelsea dhid ya chelsea
Dah ebwana kweli nimefananisha na ya mwaka huu. Nilishasahau kama tulikua na Agent Cech kwenye kikosi.
 
Afu tunamvuta mwamba mwingine kutoka Brentford kwa inaki cana, easy tu.
Kabisa! Nahisi huyo kocha wa makipa, Inaki cana ana potential kubwa sana kwenye ujuzi wake.

Itakuwa ameona kipaji kwa yule kipa wa Brentford.

Hii dili imekuja kwenye muda sahihi na wakati sahihi..

Wanaoona Emi anastahili kuwepo siwashangai lakini mambo baadae yakija kupinduka tusije tukaanza kumlaumu kijana wa watu.

Na hii ni faida kwake na kwa timu pia kwa kuwa yeye anataka more game time ili apate nafasi ya kuanza kwenye National team.

So deal iko vizuri kwa pande zote mbili.
 
Takwimu za Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang dhidi ya vilabu vinavyopanda daraja.

Mechi - 13
Mabao - 12
Assists - 4

Leo Arsenal wanakutana na Fulham iliyopanda daraja msimu huu.
IMG-20200912-WA0003.jpg
 
Matarajio yangu leo tutashinda ila itategemea kama tukipata goli la mapema mfano dakika 15 za mwanzo, mechi itakuwa open na hapo tunaweza shinda kwa magoli zaidi ya mawili, ila Scot Parker atawaandaa Fulham watakuja na game plan ya kujaribu kuzuia tusiwafunge katika dakika 30 za mwanzo na wakifanikiwa hivo basi tunaweza maliza mechi na ushindi finyu something like 0 -1 au 1-2 na magoli ya kuanzia 70 minutes.
Ni mechi ya derby kwa hio ni ngumu zaidi itategemea fitness level ya mabeki wetu wa kati, udhaifu wetu hasa leo uko katika mabeki wa kati sababu tunaowategemea wako nje na majeraha,Mustafi, Mari na Luiz, na tuliowanunua bado hawana muda wa kutosha kwenye ligi hii Saliba na Gabriel, so timu leo nategemea tutacheza 4-3-3 na watakaoanza nategemea itakuwa kipa Leno, back 4 ya Bellerin,Holding, Niles na Tierney. Midfield 3 ya Xhaka, Elneny na Willian, front 3 ya Pepe, Nketiah na Auba. Hii ni game ya mchana inahitaji energy na pumzi, kati ataanza Elneny sababu ya fitness yake na pumzi, nyuma nimemuweka Niles na sio Gabriel sababu hiohio na mbele Nketiah badala ya Laca sababu Fulham watakaa deep, so Eddie ana uwezo wa kutengeneza gap kwa Auba ku-exploit na muungaiko na movements baina ya Niles na Tierney utawalazimu Fulham kufanya forced errors. COYG!
 
Martinez siyo kipa wa kawaida kwa kiwango unachisema.

Tulifika fainali Europa na mechi zote alikua anadaka yeye, fainali akadaka Leno tukafa nne.

Sorry bro.
Final aliwekwa Cech ambaye tayari alikuwa ameshakubaliana na Chelsea

Hatua zote toka mwanzo alidaka Cech had final. ,watu waliomba Final adake Leno,

Unai chakubanga Emery akampanga cech muajiriwa wa Chelsea dhid ya chelsea

Kweli nakumbuka hii issue iliniudhi sana. Unai 'Pumbav Kabisa' Emery akampanga Cech akijua kabisa ni mwanaChelsea. Kocha alikuwa anachekesha sana. Kuna mechi nyingi tulishinda akiwa kocha kwa sababu tu wachezaji walichukua maamuzi uwanjani wenyewe wakacheza kama Wenger alivyowafundisha ila Emery alivyoongeza influence game letu likazidi kuboa. Daah yule jamaa abarikiwe tu kule alipo ila asitusogelee kabisa 😃😃
 
Sorry bro.


Kweli nakumbuka hii issue iliniudhi sana. Unai 'Pumbav Kabisa' Emery akampanga Cech akijua kabisa ni mwanaChelsea. Kocha alikuwa anachekesha sana. Kuna mechi nyingi tulishinda akiwa kocha kwa sababu tu wachezaji walichukua maamuzi uwanjani wenyewe wakacheza kama Wenger alivyowafundisha ila Emery alivyoongeza influence game letu likazidi kuboa. Daah yule jamaa abarikiwe tu kule alipo ila asitusogelee kabisa
Acha tu aisee ilifika hatua hata kucheza pass 10 accurate timu haiwez ,
 
Back
Top Bottom