Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Leo mawili, niangalie hii mechi au inikute gest. Ubongo wa jobless upo kazini kuchagua kipi kiwe kipaumbele






Leo mawili, niangalie hii mechi au inikute gest. Ubongo wa jobless upo kazini kuchagua kipi kiwe kipaumbele






Ndio maana kuna kundi kubwa litaondoka lkn Tunahitaji Quality mbili tu Partey na Aouar ambao wanacheza sehemu kibaoNadhani hakufanya utafiti vizuri, costs za mishahara Arsenal ni kubwa sana. Tumeweza kumaintain tu kwa sababu tumekuwa na vipindi virefu vya faida.
Hata Scouting network imeondolewa ili kupunguza wage bills kwa non-player staffs, sasa kama tutajaza wachezaji tusio na kazi nao then tuwalipe mishahara ya bure ni ujinga huo.
Watu wanaleta hoja ya squad depth, kimsingi squad depth sio kuwa tu na wachezaji watatu kila namba bali unakuwa na versatile players wanaoweza kucheza nafasi zaidi ya moja/mbili/tatu.
Ndio maana Niles huwezi kumuuza kizembe tu anatusaidia maeneo mengi. Ukiwa na Niles tu unakuwa na back up kwenye 4 different positons.
Martinez pamoja na kiwango alichoonesha ndio maana anauzwa kirahisi sababu ni kipa tu huwezi mtumia kwingine na pia ofa iliyowekwa mezani ni ndefu sana kwa 2nd choice goalkeeper.


Timu ambayo ilipindisha taarifa ya gharama za usajili ni wazi pia itapindisha taarifa ya kiasi cha faida, hata namna yake ya kukwepa ban ilikua ni kwa rushwa (kama vyanzo vingi vinavyosema)


Madrid anasajili kwa pesa kubwa ila mishahara yake ni midogo na hii ni namna yake ya kukwepa ffp. Arsenal haiwezi kwemda same route?


At one point Arsenal ilitaka kumbakisha sanchez na Ozil na ikataka kuwapa kila mmoja mshahara wa 350K. Arsenal wanted to spend that much money leo nini kinazuia...?


Unasema Chelsea wana mzigo bado as hawakuspend, yeah upo sahihi, lakini unajua Arsenal tulikua tunatengeneza faida kwa miaka mingi lakini tulikua hatusajili? Pesa imeenda/ ilienda wapi? Does that mean bado tuna pesa ya faida somewhere? Ambayo hatutaki kuitumia?
No worries mi mwenyewe soon baada ya kukuquote nikapotea.
Martinez siyo kipa wa kawaida kwa kiwango unachisema.Terms zake anataka abaki ila awe no.1
Arteta anaamini Bernt Leno ni bora kuliko Martinez ,
Arsenal imeshindwa kumuhakikishia no.1
So acha tuchukue hiyo £20m
Miez mitano nyuma ,Arsenal haikuwahi kuwaza kupata hata £5m ikimuweka sokoni
Behind the Scene. ,Emi alikuwa kipa wa kawaida tu ila mwenye kipaji, alishadaka sana carabao, FA cup, hata Europa
Unakumbuka ile mech 5-5 na Liverpool carabao? Alidaka yeye ,
Kuja kwa Arteta na kumleta kocha wa makipa Inak Cana , ndio kumemsaidia sana emi kuwa bora , kifupi alikuwa kipa wa kawaida sana,
Inak cana anasifika kwa mazoezi Mazuri ya makipa. Toka akiwa Brentford. ,
Nenda YouTube utamapata uone mazoez yake na makipa akiwa Brentford , kuanzia aje Arsenal , ndipo na Emi akapanda kiwango ,
So ana miaka 27 ni zao la academy, £20m ni bei nzuri sana kwa backup GK.
Kocha wa makipa Inak Cana amemshauri Arteta wakamchukue David Gaya kipa wa Brentford kama mbadala wa Emi.
Hapa chini ni Inak cana akiwa na Emi na LenoView attachment 1567027
Kaka.Hili naomba nisilijibu kwa kuwa ni yanayozungumzwa siwezi kuyatolea evidence.
Ni sahihi, unawezaje kulifanya hili bila kuondokana kwanza na wale wanao lipwa mishahara mirefu? Ndio maana club inapambana kuwatoa kwanza ili uondoe mzigo wa mishahara.
Club ilikuwa inapush kurudi kwenye Uefa hivyo walipambana kubakisha key players kwa wakati ule ambapo tulikuwa bado tupo kwenye good financial position
According to FFP rules, fedha unayotumia ni ile iliyopatikana kwenye respective financial year ndio maana nikasema kwa Chelsea wana mzigo bado kutokana na kwamba hawakununua wachezaji na pia wage bills zao hazikuongezeka kwa mwaka huu wa fedha. Huwezi tumia faida ya 2010 kujenga kikosi leo, ingekuwa hivyo FFP ingekuwa haihusu baadhi ya vilabu.![]()
I know, nothing personal bro! Tuko pamoja mkuu.Kaka.
This is family.
Abaki ili iweje mkuu! Tunahitaji usajili wa Aouar au Partey this windowHuyu Martinez kwakua yeye mwenyewe kuondoka hataki ni tungebembeleza abaki tu
Martinez hakuwahi daka Europa before last season,kipindi kile alikuwa Agent petr CechMartinez siyo kipa wa kawaida kwa kiwango unachisema.
Tulifika fainali Europa na mechi zote alikua anadaka yeye, fainali akadaka Leno tukafa nne.
Yah mwaka huu hatua za awali ndio alidaka,Martinez hakuwahi daka Europa before last season,kipindi kile alikuwa Agent petr Cech
Hakudaka yeye ,kafanye utafiti vzrMartinez siyo kipa wa kawaida kwa kiwango unachisema.
Tulifika fainali Europa na mechi zote alikua anadaka yeye, fainali akadaka Leno tukafa nne.
Yeah! Alidaka lakini hatukufika fainali kama alivyoelezea jamaa hapo juuYah mwaka huu hatua za awali hakudaka kweli?
Yaan fasta kabisa kabla hawajastukaHii pesa ya Aston Villa imejilengesha yenyewe!
Kipa wa kuuza £5m, zimekuja £20m kwanini asiuzwe?
Hii deal ikiwezekana ikamilike haraka sana!
Hii pesa si ya kuiacha, tuangalie mambo mengineYaan fasta kabisa kabla hawajastuka
Back up kipa ,academy graduate kwa £20m wakati miez mitano nyuma hata £5m hakuna ambaye angetoa
Final aliwekwa Cech ambaye tayari alikuwa ameshakubaliana na ChelseaMartinez siyo kipa wa kawaida kwa kiwango unachisema.
Tulifika fainali Europa na mechi zote alikua anadaka yeye, fainali akadaka Leno tukafa nne.