Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani concept ya FFP rules ni kwamba unatakiwa kufanya matumizi ya fedha iliyotokana na faida iliyopata club na si vinginevyo.

Utakumbuka Arsenal walitangaza loss (sina exact figures) msimu huu baada ya covid-19 pandemic kinyume na hawa wenzetu.

Chelsea yeye ndio ana 'mzigo' wa kutosha kutokana na kutofanya usajili dirisha lililopita baada ya kufungiwa.
Umejibu kwa Chelsea. City? United?

Plus ninachosemea ni ile mishahara ya juu na mpunga wa usajili wa juu.

Hivi unataka kusema City ana fan base kubwa kiasi jezi na viingilio vinampa pesa ya usajili?
 
Elneny ni moto mi nawaambieni.

Ana characteristics zote muhimu kwa mtu wa kati.

Aongeze juhudi utaona kama kuna mtu atammiss Partey.

Ilikua ngumu kunotice pengo la Ceballos siku ya community shield sioni nini kitamzuia huko mbele kuziba mapengo ya hao wengine.
 
Hatimae msimu mpya umewadia , huu ni msimu ambao timu yetu nina imani nayo sana kuwa iko vizuri kuliko wakati wowote katika kipindi cha miaka kama 15 iliopita, kuanzia fitness, nidhamu, dressing room, bond baina ya wachezaji na fans, tactics, energy, kwa kweli tunatarajia sana kurudi katika Ubora wetu, najua wale washkaji zangu wataanza sema na watabeza ila amini kwamba tutawashangaza wengi tu tukijaaliwa .....Giant kaamka, ukiona mpaka sisi wakongwe tumerudi humu ujue kuna jambo kubwa sana msimu huu. Ni wakati wetu wa kutembea kifua mbele COYG!!!
 
Hatimae msimu mpya umewadia , huu ni msimu ambao timu yetu nina imani nayo sana kuwa iko vizuri kuliko wakati wowote katika kipindi cha miaka kama 15 iliopita, kuanzia fitness, nidhamu, dressing room, bond baina ya wachezaji na fans, tactics, energy, kwa kweli tunatarajia sana kurudi katika Ubora wetu, najua wale washkaji zangu wataanza sema na watabeza ila amini kwamba tutawashangaza wengi tu tukijaaliwa .....Giant kaamka, ukiona mpaka sisi wakongwe tumerudi humu ujue kuna jambo kubwa sana msimu huu. Ni wakati wetu wa kutembea kifua mbele COYG!!!
Mkuu, mimi pia naamini tunaweza kushindana sasa.
Ready for sport
 
Any predictions for Fulham vs Arsenal match? Possible lineups?
Kuhusu possible line-up

Formation: (4-2-1-3)

(GK)
Nategemea kumuona Bernd Leno langoni japo nitapenda zaidi akianza Emi Martinez

(DEFENDERS)
David Luiz & Saliba wakianza kama CBs, Tierney (LB) na Bellerin (RB) japo nitapenda zaidi hii nafasi ya Bellerin acheze AMN.

(MIDFIELD)
Xhaka na Ceballos watacheza kama couples mbele ya mabeki wakisaidia kuunganisha timu kutokea nyuma kwenda mbele, kukaba na kuanzisha mashambulizi.

Juu kidogo natarajia kumuona Willian akicheza role yake mpya kama no. 10, hapa nataraji kuona ubunifu zaidi kutoka kwake na assists nyingi.

(FORWARD)
Auba akitokea kushoto (LWF) huku Pepé akitokea kulia (RWF) mwa uwanja.

Lacazette atasimama kama CF.
 
Kuhusu possible line-up

Formation: (4-2-1-3)

(GK)
Nategemea kumuona Bernd Leno langoni japo nitapenda zaidi akianza Emi Martinez

(DEFENDERS)
David Luiz & Saliba wakianza kama CBs, Tierney (LB) na Bellerin (RB) japo nitapenda zaidi hii nafasi ya Bellerin acheze AMN.

(MIDFIELD)
Xhaka na Ceballos watacheza kama couples mbele ya mabeki wakisaidia kuunganisha timu kutokea nyuma kwenda mbele, kukaba na kuanzisha mashambulizi.

Juu kidogo natarajia kumuona Willian akicheza role yake mpya kama no. 10, hapa nataraji kuona ubunifu zaidi kutoka kwake na assists nyingi.

(FORWARD)
Auba akitokea kushoto (LWF) huku Pepé akitokea kulia (RWF) mwa uwanja.

Lacazette atasimama kama CF.
Ndugu Luiz ni injury
 
Ila Arsenal tunahitaji squad depth kinyume chake tunafanya mauzauza.

Unamuuza Bellerin, unabakiwa na Niles na Cedric, mmoja akiumia mwingine fatique ikimshika? Au mwingine kaumia halafu mwingine akala red?

Tujiulize maswali hayo hayo kwa nafasi zingine ambazo Arsenal tumeambiwa watu watauzwa. Huyo Niles, Kolasinac, Lacazette, Torreira n.k.

Halafu naona kuna watu wanasema hatusajili mpaka tuuze ili kuikwepa financial fair play... Hebu fikiria upya..

Arsenal na City nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

Arsenal na United nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

City anataka wachezaji 5. Kashasajili low profile 4. Chelsea kashaspend zaidi ya 143M katika usajili... United kamnunua De Beek na mchezaji jina limenitoka.

Kiukweli kabisa Arsenal hatuna cha kutuzuia kusajili as kikosi ni chembamba na bado hatupo kwenye ukingo wa kuvunja financial fair play unless iwe ni kwamba klabu haina pesa..

Kinyume na hapo ni tunahitaji watu pale kati na pembeni na ikiwezekana bila kuuza mtu.
Castr

Hatukwepi FFP ila huwez kusajiri unajaza tu wachezaji bila wengine kuwaondoa , mwaka huu hakuna FFP ila hutakiwi kuzid Net Spend £30m

Kiufupi bado tupo sokoni ,katafute Interview ya juz ya Edu, na Vinai

Kasikilize press ya Jana ya Arteta
 
arsenal yetu ishakuwa kama ugiligili tuu. Yani inashindwa kutoa hela 60 kwa Aour na 50 kwa Partey inasubiria huruma?
sijui nani aliniambia niipende hii timu.
Unakosea kusema hivo ,

Huwez kusajiri bila strategies , lazima uondoe unwanted players ,ili waache Gape la mshahara
 
OFFICIAL:

Arsenal will wear their brand new third kit against Fulham tomorrow.
IMG_20200909_071123.jpg
 
Arteta on whether he sees Wiliian playing out wide or as a No10, Arteta said:


"He has played both. I think he can play as an attacking midfielder as well. We can field him in three or four different positions, depending on the formation that we use on the day." [@EveningStandard]
IMG-20200907-WA0021.jpg
 
"Tunahitaji kujua muktadha wetu.

Kusaini mchezaji akiwa na umri wa miaka 20 au 21 kwa sasa haiwezekani.

Tunapaswa kubadilika.

Tunahitaji wachezaji wengine ambao wanaweza kuingia mara moja na tunaweza kuwa wavumilivu zaid kwa maendeleo . "
IMG_20200905_201301.jpg
 
Kuna taarifa zinasema huenda Leo Emi Martinez asisafiri na Timu ,

Leno ataanza golini ,

Exclusive – Emi Martinez out of Arsenal squad to face Fulham so Bernd Leno starts. Brighton have joined Villa in the running and currently have the bigger bid. [@guardian @NickAmes82]
the_gunnerz_tz-20200906-0005.jpg
 
Arsenal are not finished when it comes to additions either, as they look to press ahead with deals for either Thomas Partey or Lyon's Houssem Aouar. [@EveningStandard]
 
Charles Watts Na yeye kathibitisha ,Emi Martinez hatakuwepo Leo ,


As reported by @NickAmes82 and @jamesbenge this evening - Emi Martinez has been withdrawn from Arsenal’s squad to face Fulham tomorrow and Brighton have emerged as serious contenders to Villa for his signature. Brighton’s offer is larger than Villa’s latest bid.
 
Umejibu kwa Chelsea. City? United?

Plus ninachosemea ni ile mishahara ya juu na mpunga wa usajili wa juu.

Hivi unataka kusema City ana fan base kubwa kiasi jezi na viingilio vinampa pesa ya usajili?

Sorry nilishalala nimechelewa kuiona.

Yes, ukitazama finacial revenue reports za City na United wanatuacha mbali sana.

Kwa United sidhani kama nahitaji kueleza sana, hawa wamekuwa wakituzidi kifedha kwa muda mrefu sana.

Kwa City pia recently amekuwa akifanya biashara nzuri sana kutuzidi, ukiangalia endorsement anayopata kwa sponsors kama Quatar airways ni pesa ndefu na amekuwa na fan base kubwa sana kwenye mataifa ya Kiarabu kwa hivi karibuni.

Pia City amekuwa regular team kwenye Uefa kitu kinacho muongezea mapato sana tofauti na sisi ambao kwa sasa tunacheza Europa yenye fedha kiduchu.

Kwenye wage bills, hizo hazihusiani na FFP rules. Wage bills zinaingia kwenye expense account ambapo hata ukipata loss mishahara ni lazima ulipe tu.

Kwa upande mwingine, kununua wachezaji ni investment kwenye club na hasa ndipo concern ya FFP ilipo kwamba usitumie fedha nje ya faida uliyotengeneza kwenye soka kuinvest kwenye kikosi.
 
Back
Top Bottom