Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta on whether Laca has said that he wants to stay...

“Yes, I think he is very happy here. That is my feeling and what I got from that message.”

[@Arsenal]
 
Arteta on whether Laca has said that he wants to stay...

“Yes, I think he is very happy here. That is my feeling and what I got from that message.”

[@Arsenal]
IMG_20200910_130419.jpg
 
Arteta on if Gabriel and Willian will start v Fulham:

They have been training really well. They have adapted quickly. They are really excited to be here with us, really good energy from both of them. Big talent, both in very different phases of their career.
IMG_20200908_232644.jpg
 
Usajili Updates!

1. Aubameyang kutangazwa baadae leo amesaini mkataba mpya wa miaka 3.

2. Nahodha wa Lyon Houssem Aouar bado anahitajika Arsenal na Edu yupo anaendelea na mazungumzo na Mbrazil mwenzie mkurugenzi wa mpira wa Lyon Juninho.

Inatarajiwa Matteo Guendouzi ndie atakwenda Lyon kuongeza dau la kumsajili Aouar.

Tusubiri leo jioni kwa more updates.
 
Cheo cha kazi cha Mikel Arteta kimebadilika kutoka kuwa kocha mkuu na kuwa msimamizi wa kikosi cha kwanza.

_Kwa nini mabadiliko haya yamefanyika - na inamaanisha nini?_

"Mikel amekuwa hapa tangu mwisho wa Desemba na miezi tisa iliyopita imekuwa miezi ngumu zaidi katika historia ya Arsenal na tumekuwepo kwa miaka 134. Pamoja na changamoto hizo zote, Mikel amekuwa akiendesha kilabu hiki cha mpira mbele , *"Vinai Venkatesham aliiambia Arsenal Digital.*

"Ameniinua roho na kuinua nguvu hapa London Colney na mashabiki wa Arsenal kote ulimwenguni. Anafanya kazi nzuri sana.

"Jambo lingine ambalo ni wazi ni kwamba tangu siku aliyofika hapa, amekuwa akifanya mengi zaidi kuliko kuwa kocha wetu mkuu. Kwa hivyo tutabadilisha jina lake la kazi kwenda mbele. Atahama kutoka kwa kocha mkuu, kuwa msimamizi wa kikosi cha kwanza. Huo ni utambuzi wa kile amekuwa akifanya tangu siku alipoingia hapa, lakini pia ambavyo tunaona uwezo wake.
"Anafanya kazi nzuri ya kufundisha kikosi cha kwanza na hilo ni jukumu lake la msingi, lakini kuna mengi zaidi ambayo anaweza kuleta na ndio sababu tunafanya mabadiliko haya, kwa kutambua uwezo wake na pia kazi aliyofanya tayari.

"Kwa hivyo kulingana na jinsi atakavyofanya kazi kwenda mbele Mikel atajiunga na timu yenye nguvu sana na Edu na watakuwa wakifanya kazi kwa kweli, kwa karibu sana kusimamia mambo mengine yote ya shughuli zetu za mpira wa miguu ambazo ni muhimu sana, kazi hiyo ni uchambuzi, uajiri, utendaji wa hali ya juu au matibabu, watatunza maeneo hayo pamoja.

"Na pia kwa pamoja watawajibika kwa mapendekezo yetu ya kiufundi, ikiwa ni wachezaji ambao tutanunua, ikiwa ni wachezaji ambao tutauza, ikiwa ni wachezaji ambao tutatoa mkopo.

"Kwa kweli, kufanya kazi kwa karibu na mimi na bodi na kufanya kazi kwa karibu na wamiliki juu ya mambo ya kifedha kufanya maamuzi ya mwisho. Lakini hayo yatakuwa majukumu yao na nadhani tutakuwa na timu yenye nguvu sana kuendesha hii klabu mbele. "View attachment 1565796

Arteta sasa ni meneja wa kikosi cha kwanza na cheo hicho kimerudi baada ya kazi zake nzuri.

Hivyo sasa Arteta ni meneja wa Arsenal FC.

Arteta na Edu ndo vinara wa kuhakikisha Arsenal inajiendesha kwa ufanisi wakiwa na majukumu ya kufanya usajili na masuala mengine yote ya kikosi cha kwanza cha Arsenal.

Vinai Venkatesham sasa ni CEO badala ya Managing director.

NB: Mods please rekebisha Title ya Meneja Mikael Arteta.
 
Arteta on links with Aouar:


"I don't want to talk about players at other clubs that are not our players" #Arsenal
IMG-20200910-WA0007.jpg
 
Arteta sasa ni meneja wa kikosi cha kwanza na cheo hicho kimerudi baada ya kazi zake nzuri.

Hivyo sasa Arteta ni meneja wa Arsenal FC.

Arteta na Edu ndo vinara wa kuhakikisha Arsenal inajiendesha kwa ufanisi wakiwa na majukumu ya kufanya usajili na masuala mengine yote ya kikosi cha kwanza cha Arsenal.

Vinai Venkatesham sasa ni CEO badala ya Managing director.

NB: Mods please rekebisha Title ya Meneja Mikael Arteta.
Cc. Moderator
 
1599833599040.png


Hawa ndo watu wanne watakaoendesha timu ya Arsenal, kuhakikisha inarudi kwenye champions League msimu ujao.

Afisa Mtendaji mkuu Vinai Venkatesham

Mkurugenzi wa Mpira Edu Gaspar

Meneja wa timu ya kwanza Mikael Arteta

Meneja wa Academy Per Mertesacker
 
Ila wakuu, timu ikiwa na kiungo cha Xhaka,Ceballos na Aouar kwa mfumo wa Arsenal inavyocheza hakika hutuwezi juta kutompata Partey, labda tu kama itatokea injury hasa kwa Xhaka au Ceballos.
 
Ila Arsenal tunahitaji squad depth kinyume chake tunafanya mauzauza.

Unamuuza Bellerin, unabakiwa na Niles na Cedric, mmoja akiumia mwingine fatique ikimshika? Au mwingine kaumia halafu mwingine akala red?

Tujiulize maswali hayo hayo kwa nafasi zingine ambazo Arsenal tumeambiwa watu watauzwa. Huyo Niles, Kolasinac, Lacazette, Torreira n.k.

Halafu naona kuna watu wanasema hatusajili mpaka tuuze ili kuikwepa financial fair play... Hebu fikiria upya..

Arsenal na City nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

Arsenal na United nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

City anataka wachezaji 5. Kashasajili low profile 4. Chelsea kashaspend zaidi ya 143M katika usajili... United kamnunua De Beek na mchezaji jina limenitoka.

Kiukweli kabisa Arsenal hatuna cha kutuzuia kusajili as kikosi ni chembamba na bado hatupo kwenye ukingo wa kuvunja financial fair play unless iwe ni kwamba klabu haina pesa..

Kinyume na hapo ni tunahitaji watu pale kati na pembeni na ikiwezekana bila kuuza mtu.
 
arsenal yetu ishakuwa kama ugiligili tuu. Yani inashindwa kutoa hela 60 kwa Aour na 50 kwa Partey inasubiria huruma?
sijui nani aliniambia niipende hii timu.
 
Ila Arsenal tunahitaji squad depth kinyume chake tunafanya mauzauza.

Unamuuza Bellerin, unabakiwa na Niles na Cedric, mmoja akiumia mwingine fatique ikimshika? Au mwingine kaumia halafu mwingine akala red?

Tujiulize maswali hayo hayo kwa nafasi zingine ambazo Arsenal tumeambiwa watu watauzwa. Huyo Niles, Kolasinac, Lacazette, Torreira n.k.

Halafu naona kuna watu wanasema hatusajili mpaka tuuze ili kuikwepa financial fair play... Hebu fikiria upya..

Arsenal na City nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

Arsenal na United nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

City anataka wachezaji 5. Kashasajili low profile 4. Chelsea kashaspend zaidi ya 143M katika usajili... United kamnunua De Beek na mchezaji jina limenitoka.

Kiukweli kabisa Arsenal hatuna cha kutuzuia kusajili as kikosi ni chembamba na bado hatupo kwenye ukingo wa kuvunja financial fair play unless iwe ni kwamba klabu haina pesa..

Kinyume na hapo ni tunahitaji watu pale kati na pembeni na ikiwezekana bila kuuza mtu.
usiogope mkuu,namuona aouar anatua Gunners na UCL lazima next season,kesho tunamuua mtu mapema tu
 
Halafu naona kuna watu wanasema hatusajili mpaka tuuze ili kuikwepa financial fair play... Hebu fikiria upya..

Arsenal na City nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

Arsenal na United nani anatakiwa kuhofia financial fair play?

Nadhani concept ya FFP rules ni kwamba unatakiwa kufanya matumizi ya fedha iliyotokana na faida iliyopata club na si vinginevyo.

Utakumbuka Arsenal walitangaza loss (sina exact figures) msimu huu baada ya covid-19 pandemic kinyume na hawa wenzetu.

Chelsea yeye ndio ana 'mzigo' wa kutosha kutokana na kutofanya usajili dirisha lililopita baada ya kufungiwa.
 
Back
Top Bottom