Ni kweli , Ila Napenda Anavyowalea na kuwaingiza taratibu kuzoea mazingira bila presha ,
Ni katika kipindi hiki hata ofa zimekuwa zikija kwa vijana wengi wanaotoka academy
Ofa zimeshakuja kwa Niles,Martinez ,hadi sasa na hawa ndio wale aliowapa nafasi sana
Msimu huu kijana kama Nelson ata develop zaidi
Amemwambia Martinel yeye ni CF na sio LW , hivo akipona atatumika kama CF
Ceballos amekataa ofa mbili za timu nyingine , ili arudi mikononi mwa Arteta
Kwakweli kabla hajaleta watu Wake taratibu, kwanza hawa waliopo amewaongezea vitu Vingi
Ceballos anasema
"Kocha alikuwa wazi kuhusu mimi na akasema kwamba ikiwa ningejiweka sawa na kuendelea kufanya mazoezi kwa bidii, ningepata nafasi ya kurudi kwenye timu."
(wakati Arteta akichukua timu kwa mara ya kwanza)
"Nadhani amenifanya kuwa mchezaji bora zaidi katika miezi sita iliyopita."