Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Photo: Pépé, Lacazette, Saliba and Aubameyang in training today.
IMG_20200903_212025.jpg
 
Angalia hapa.

Katika mara zote Arsenal na Chelsea zilipokutana Arsenal imeshinda mara 77 na Chelsea wameshinda mara 65.

Mara ya mwisho kukutana Arsenal ilishinda 2 kwa 1 na Arsenal ikachukua kombe la FA.

Ushindi mkubwa kabisa ulikua 1930 ambapo Arsenal alishinda 5 - 1 hilo deni lilikaa kwa miaka 84 mpaka Chelsea alipoifunga Arsenal 6.

Overall trophies Arsenal ina vikombe 48 wakati Chelsea wana vikombe 35.

Kiukweli kabisa rival mkubwa wa Arsenal ni Tottenham kisha anafuata Man U halafu ndiyo Chelsea.

Ndiyo maana mchezaji anaweza kwenda Man U au Chelsea ila inakua ngumu kwa Tottenham.

Kwahiyo Chelsea haina umuhimu kwa Arsenal, kabla ya 2003 umewahi kusikia timu inaitwa Chelsea? Arsenal imemanage kwenda UCL, kuitembezea kipigo Chelsea, kujiongezea trophies na huku ikiwa inajenga uwanja bila kununua wachezaji wa bei kubwa kama Chelsea walivyokua wakifanya.

Pia nimesahau, Chelsea haina uwanja nyinyi ni kama Yanga au Simba.

Sasa unaibeba London gani mzee? Ya Kinondoni?
Hahaha sisi kabla ya iyo 2003 tulishabeba European Cups sasa jiulize ninyi mulikuwa wapi wakati huo kama ni timu kubwa.

Angalia hawa ..kama wangebaki apo arsenal vikombe kama hivi wangesikia kwetu tu
JamiiForums1782017617.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Haka kawimbo ka~Ndani ya Miaka 10 mtakiacha lini? Hivi hamuoni aibu kwa timu iliyoanzishwa kabla ya vita ya dunia kuongea huo utopolo daily
Siyo utopolo ninyi mnalilia uking wakati makings tupo tumetulia na dunia inajua kabisa London is Blue

There is no London without Chelsea..

We're Pride of London. #CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unaongelea stori za miaka 10 ambayo hiyo miaka Arsenal alikua ana mtu anaitwa Frimpong, Djourou na vipaji vya academy na watoto wengine wa bei cheap.

Mfano kwa msimu huu tu tayari mmetumia paundi 143M na mnaendelea kutumia. Tukipiga hesabu za hiyo miaka 10 ambayo Mourinho alikua anamnunulisha Roman wachezaji tutafika pesa ngapi?

In 10 years mchezaji wa bei kubwa Arsenal ni Pepe, kwa paundi 72M wakati hiyo nyinyi mmeilipa kwa Kepa.

Kapazia ambako ungenunua kwa 1700 Karume. Kama unapajua Karume lakini.
Hahahaha dah eti Kepa kapazia, Kepa akija apo arsenalakosi namba uo uhakika nakupa ..ubahili wenu ndo umefanya adi sasa munaishia nafasi za nane uko ..angalia vyuma tulivyonunua vilileta impact gani apo London ..ninyi na watoto wenu wa academy mmeishia kuwa daraja la kutengeneza vipaji halafu wanaume wenye pesa zetu tunavuta na kubeba makombe. Ndo maana tunasema ninyi ni timu ndogo. Yani unapita mbele ya watu unatamba kuwa mchezaji ghali uliyenunua ni Pepe

Sasa wewe na AstonVilla mna tofauti gani.

Sisi ndo tunafanya mvimbe apo London, maana mkitufunga(kama juzi) basi ni khabar ya dunia. Maana mmefunga timu kubwa.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha dah eti Kepa kapazia, Kepa akija apo arsenalakosi namba uo uhakika nakupa ..ubahili wenu ndo umefanya adi sasa munaishia nafasi za nane uko ..angalia vyuma tulivyonunua vilileta impact gani apo London ..ninyi na watoto wenu wa academy mmeishia kuwa daraja la kutengeneza vipaji halafu wanaume wenye pesa zetu tunavuta na kubeba makombe. Ndo maana tunasema ninyi ni timu ndogo. Yani unapita mbele ya watu unatamba kuwa mchezaji ghali uliyenunua ni Pepe

Sasa wewe na AstonVilla mna tofauti gani.

Sisi ndo tunafanya mvimbe apo London, maana mkitufunga(kama juzi) basi ni khabar ya dunia. Maana mmefunga timu kubwa.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Wewe pambana uwakute Kimafanikio Arsenal Ledies kwanza

Unapoambiwa London Is Red uwe unaelewa ,sawa
images%20(2).jpg
 
Hahahaha dah eti Kepa kapazia, Kepa akija apo arsenalakosi namba uo uhakika nakupa ..ubahili wenu ndo umefanya adi sasa munaishia nafasi za nane uko ..angalia vyuma tulivyonunua vilileta impact gani apo London ..ninyi na watoto wenu wa academy mmeishia kuwa daraja la kutengeneza vipaji halafu wanaume wenye pesa zetu tunavuta na kubeba makombe. Ndo maana tunasema ninyi ni timu ndogo. Yani unapita mbele ya watu unatamba kuwa mchezaji ghali uliyenunua ni Pepe

Sasa wewe na AstonVilla mna tofauti gani.

Sisi ndo tunafanya mvimbe apo London, maana mkitufunga(kama juzi) basi ni khabar ya dunia. Maana mmefunga timu kubwa.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kepa hata Nottingham forest hapati namba. Kwani si yeye mwenyewe kaomba kujiuzulu kwa kiwango chake kibovu?

Jamani msiite mods. Naswitch
 
Siyo utopolo ninyi mnalilia uking wakati makings tupo tumetulia na dunia inajua kabisa London is Blue

There is no London without Chelsea..

We're Pride of London. #CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Unapoambiwa Chelsea ni klabu iliyoanzishwa 2005 usiwe mbishi kijana


Na sasa hivi mmesajiri kina Morata waliochangamka , mtaiona shughuli


London is Red

Nikiongezea na CS ni 46
Ee-6xNnX0AAVqVx.jpg
 
Hahahaha dah eti Kepa kapazia, Kepa akija apo arsenalakosi namba uo uhakika nakupa ..ubahili wenu ndo umefanya adi sasa munaishia nafasi za nane uko ..angalia vyuma tulivyonunua vilileta impact gani apo London ..ninyi na watoto wenu wa academy mmeishia kuwa daraja la kutengeneza vipaji halafu wanaume wenye pesa zetu tunavuta na kubeba makombe. Ndo maana tunasema ninyi ni timu ndogo. Yani unapita mbele ya watu unatamba kuwa mchezaji ghali uliyenunua ni Pepe

Sasa wewe na AstonVilla mna tofauti gani.

Sisi ndo tunafanya mvimbe apo London, maana mkitufunga(kama juzi) basi ni khabar ya dunia. Maana mmefunga timu kubwa.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Yaani tuvimbe kuwafunga nyie ?

Kafatilie head to head hapo EPL anayetuzid ni Man u na Liverpool tu,

Wengine wote kuanzia London yote ni wake zetu
 
Alexis Sanchez

“After the first training session I had (at Man United) I realized many things and when I got back home I told him to my agent if I could cancel the contract and go back to Arsenal.”
 
Alexis Sanchez has just said on his live video that after signing for United,

"kwamba baada ya kusaini United, baada ya wiki ya kwanza alikwenda nyumbani na kuiambia familia yake, "Je! Ninaweza kuvunja mkataba huu na kurudi @Arsenal?"


Anakiri kwamba hakuwa akijua uamuzi wake wakati huo na anajuta
 
Back
Top Bottom