Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Atletico page ya mashabiki
Katika timu kama hizo quality haiwezi kua kikosi kizima.Afu mkuu unakosea unavyosema Lyon, leipzig na Atalanta ni timu zisizo quality, angalia wachezaji wao wanavyowindwa kwenye market utaelewa,Lyon hawataki deal ya kumhusisha Guendouz kwa aour wanajua mashine zipo kibao jikoni
Yaani toka tumeuziwa Pepe hizi timu ndogo naziheshimu sn kwa jicho la kurecruit players
Kila mechi mfumo mpya,Mfumo wa 3-4-3 kauasisi hapo Arsenal ni Wenger , akimpiga Conte , na City nusu final ,aliutumia sana
Emery , huyu katumia mfumo ya kila aina hapo Arsenal , na hakuwa na structure yoyote ya kuwasaidia wachezaji
Hivi unakumbuka hata kufanya buildup Timu ilikuwa haiwezi, had Leno ikabidi awe anapiga mpira mbele
Anaenda Anfiled anaongea huu ujingaKila mechi mfumo mpya,
kwenye press zake anakwambia "we need time to play in our way, so far we are doing fine, hapo ana mwaka na zaidi
Unai Emery ni Two years WASTED!!! ni Total Shambles As ManagerAnaenda Anfiled anaongea huu ujingaView attachment 1557519
Angalia KAULI za Arteta ,
View attachment 1557520
Timu haina uwezo wa kutoa 50M cash kweli zama hiz?Mtoto wa Kroenke alienda mazoezini akasema era ya kubana matumizi imepita tujiandae kuspend heavily. Akawaambia wachezaji yeye ndiye yupo front siyo baba yake.
Hayo maneno yakawa encouraged na ile kuambiwa Arteta turned down a deal on Arsenal kabla hajafuatwa Unai kwakua alisema akija anataka pesa nyingi kwa ajili ya usajili.
Leo hii 50M imekua big deal. Na tuliambiwa kuna 250M kwa ajili ya usajili this summer?
Timu iuzwe kwa waarabu no way out.
Unajua Auba na laca tuliwanunua ndan ya miez 12 kwa £100m ?Timu haina uwezo wa kutoa 50M cash kweli zama hiz?

#Sokratis getting closer to #Napoli: total agreement on salary and duration of the contract
Folarin Balogun Update
looks most likely. Stuttgart, Werder Bremen and Eintracht Frankfurt all interested. Strong interest from multiple EPL clubs. Includes Brighton & Southampton #TBGPOD @Podcast_TBG
An Insider Interview With: Fabrizio Romano
Friday 4th September 2020
8pm GMT
@FabrizioRomano & @ItsDonRobbie
AFTV YouTube
