Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal v Aston Villa at the Emirates Stadium tomorrow, Kick-off 3pm.

Behind closed doors friendly
#arsenal #afc
 
Arsenal defender/midfielder/forward Bukayo Saka has been nominated for the PFA Young Player of the Year award.

Congratulations & best of luck,
IMG_20200904_163319.jpg
 
Congratulations, @Bukayo Saka

years old: Starts training in our youth set-up
years old: PFA Young Player of the Year nominee

We're so proud of you!
IMG_20200904_174600.jpg
IMG_20200904_174557.jpg
 
Bukayo Saka - 2019/20:

•4 goals.
•12 assists.
•3rd most assists from a Premier League player.
•7 clean sheets when used in defence.
•Arsenal Player of the Month for February.
•3rd place in Arsenal’s Player of the Year award.
•PFA Young Player of the Year nominee.
IMG_20200904_174600.jpg
 
Wapwa: Huyu ni Baba mzazi wa mashambuliaji wa Arsenal Pierre Aubamayang ambaye naye kitaaluma ni kocha na si Kocha tu ,kocha wa kiwango cha juu ,kuna muda alikuwa anafundisha timu ya Taifa ya Gabon

Hapa yuko na jezi mpya ya Arsenal yenye namba 14 ya mwanae kama sehemu ya kumsupport ,ni jambo linalotia faraja sana kwa Mzazi kukuunga mkono kwa kiwango hichi

Nachofahamu Mimi wapo wachezaji wachache wanaozaliwa na mashabiki wao mfano mchezaji anapozaliwa pacha hasa wa kike na wakiume ,moja kwa moja yule wa kike huwa anakuwa shabiki kindakindaki wa kaka yake kama ilivyo kwa Phill Neville yule aliyecheza UTD pamoja na Ighalo ambao wao wamezaliwa na pacha wa kike

Pia wapo mapacha wa kiume ambapo moja anacheza moja hachezi ,automatically yule asiyecheza huwa shabiki ,au hata ikitokea wote wanacheza huwa na element za kushabikiana

Nakumbuka kisa cha wachezaji mapacha wa Iran World Cup ya 2018 Russia Mehrdad Mohamed Keshmarzi na Milad Mohammadi Keshmarzi Hapa moja huwa anaitwa timu ya Taifa ambaye ni Milad lakini Mehrdad huwa haitwi pamoja na ukweli amewahi kuitwa

Lakini wakati wa World cup na maisha yote huwa anamsupport vilivyo nduguye ni jambo linalotia faraja sana

Nakumbuka hata nami wakati nacheza ndugu zangu wa familia na ukoo wetu kwa Baba na kwa Mama wote walikuwa wananisupport

Nakumbuka nilipozifunga timu hizi Simba na Yanga katika Career yangu zilileta natafaruku ndani ya familia

Kifupi nimefurahia sana kuona Mzee Aubamayang alivyomsupport wanae kwa kiwango hicho ,Kweli Damu nzito kuliko maji ,ila somo hapa ni Wazazi msupport watoto wenu katika mapenzi yao na mchezo husika

Kutoka kwa

tigana Lukinja
lukinjatigana-20200904-0001.jpg
 
Mkuu usinilishe maneno wanaolalama ivyo ni wachache ambao naweza sema wana uelewa mdogo sana na mpira. Vuguvugu la kumtusi Lampard limekuja kuongezwa kuni na washabiki wengi kutoka humu wakijua watatuhamisha lakini baadhi ya wachache kutoka kwetu hawajui chochote wanafuata mkumbo tu. Hawajui kilichokua kinatucost pia ni kubadilisha badilusha makocha kila mara so wengi wao walikua wanafanya kazi kwa pressure ya kutaka matokeo ya haraka ndio maana unakuta hatuwezi kukaa zaidi ya misimu zaidi ya miwili tuko on form.

Lampard ni kocha mzuri na huwezi kumjudge kwa mechi ya kirafiki dhidi ya BHA ambaye hata nyie pia aliwafunga baada ya likizo ya corona. Ubora wa Lampard umeonekana na utazidi kuonekana kama wewe huoni pole au labda tutumie ule msemo The Grass Ain't Greener On The Other Side yaan wewe unavutia kwako tu ila Lampard huyu atawezesha kila kitu pale darajani.

Anyways msimu ujao unaanza soon tutayaona haya tunayoyasema.
Katikati ya malalamiko yenu ya Lampard mimi nilisema ni kocha mzuri.

Mimi siongei kishabiki.

Wanaoongea kishabiki watakwambia Kante hamna kitu.

Watakua wanagomea takwimu.

Watakwambia rekodi tutazifikia we subiri tu.

Mimi sipo hivyo. Nilisema Lampard ni kocha mzuri hilo halina mjadala.

Msimu na uanze. Natumaini mtawachenjia Man U safari hii.
 
Back
Top Bottom