Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haka kawimbo ka~Ndani ya Miaka 10 mtakiacha lini? Hivi hamuoni aibu kwa timu iliyoanzishwa kabla ya vita ya dunia kuongea huo utopolo daily
Wewe mbona unashindwa kuiacha kuiongelea historia yako? Na sisi pi ni history yetu.
 
Hahahaha dah eti Kepa kapazia, Kepa akija apo arsenalakosi namba uo uhakika nakupa ..ubahili wenu ndo umefanya adi sasa munaishia nafasi za nane uko ..angalia vyuma tulivyonunua vilileta impact gani apo London ..ninyi na watoto wenu wa academy mmeishia kuwa daraja la kutengeneza vipaji halafu wanaume wenye pesa zetu tunavuta na kubeba makombe. Ndo maana tunasema ninyi ni timu ndogo. Yani unapita mbele ya watu unatamba kuwa mchezaji ghali uliyenunua ni Pepe

Sasa wewe na AstonVilla mna tofauti gani.

Sisi ndo tunafanya mvimbe apo London, maana mkitufunga(kama juzi) basi ni khabar ya dunia. Maana mmefunga timu kubwa.

#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Chelsea bado ni timu ndogo, sikia kocha wa Pulisic anavyomwambia ,

Kumbe Chelsea sio bigger
IMG_20200904_082922_975.JPG
 
Angalia hapa.

Katika mara zote Arsenal na Chelsea zilipokutana Arsenal imeshinda mara 77 na Chelsea wameshinda mara 65.

Mara ya mwisho kukutana Arsenal ilishinda 2 kwa 1 na Arsenal ikachukua kombe la FA.

Ushindi mkubwa kabisa ulikua 1930 ambapo Arsenal alishinda 5 - 1 hilo deni lilikaa kwa miaka 84 mpaka Chelsea alipoifunga Arsenal 6.

Overall trophies Arsenal ina vikombe 48 wakati Chelsea wana vikombe 35.

Kiukweli kabisa rival mkubwa wa Arsenal ni Tottenham kisha anafuata Man U halafu ndiyo Chelsea.

Ndiyo maana mchezaji anaweza kwenda Man U au Chelsea ila inakua ngumu kwa Tottenham.

Kwahiyo Chelsea haina umuhimu kwa Arsenal, kabla ya 2003 umewahi kusikia timu inaitwa Chelsea? Arsenal imemanage kwenda UCL, kuitembezea kipigo Chelsea, kujiongezea trophies na huku ikiwa inajenga uwanja bila kununua wachezaji wa bei kubwa kama Chelsea walivyokua wakifanya.

Pia nimesahau, Chelsea haina uwanja nyinyi ni kama Yanga au Simba.

Sasa unaibeba London gani mzee? Ya Kinondoni?
Point uliyoongea hapo mechi 77-65=12 hesabu mechi 10 napunguza gap mechi 7 namaanisha nakufunga zote pengine hizo zilizobaki unaweza toa draw kwa sababu toka 2010 tumekutana mara 30 sisi tumeshinda mara 13, nyie mmeshinda mara 10 draw zilikua 7

Makombe 48-35=13 hapo unajua mwenyewe nini kitafuata ndani ya muongo mmoja ujao tunazidi kupunguza gap kwa sababu toka 2010 nimeshinda makombe 10 wewe umeshinda 5 unataka nikwambie nini unachohofia kwa Chelsea ndani ya miaka 10 ijayo? Mshaanza kuelewa wenyewe.

The rest ulichoandika huko chini ni ushabiki tu. Hili swali jiulizeni na mjijibu wenyewe timu bora kwa sasa ni ipi? Majibu bakini nayo wenyewe. Ukweli unauma nyie acheni tu.

London will always be blue
 
Point uliyoongea hapo mechi 77-65=12 hesabu mechi 10 napunguza gap mechi 7 namaanisha nakufunga zote pengine hizo zilizobaki unaweza toa draw kwa sababu toka 2010 tumekutana mara 30 sisi tumeshinda mara 13, nyie mmeshinda mara 10 draw zilikua 7

Makombe 48-35=13 hapo unajua mwenyewe nini kitafuata ndani ya muongo mmoja ujao tunazidi kupunguza gap kwa sababu toka 2010 nimeshinda makombe 10 wewe umeshinda 5 unataka nikwambie nini unachohofia kwa Chelsea ndani ya miaka 10 ijayo? Mshaanza kuelewa wenyewe.

The rest ulichoandika huko chini ni ushabiki tu. Hili swali jiulizeni na mjijibu wenyewe timu bora kwa sasa ni ipi? Majibu bakini nayo wenyewe. Ukweli unaumwa nyie acheni tu.

London will always be blue
Unanifurahishaga kwa kupiga ramli
 
Point uliyoongea hapo mechi 77-65=12 hesabu mechi 10 napunguza gap mechi 7 namaanisha nakufunga zote pengine hizo zilizobaki unaweza toa draw kwa sababu toka 2010 tumekutana mara 30 sisi tumeshinda mara 13, nyie mmeshinda mara 10 draw zilikua 7

Makombe 48-35=13 hapo unajua mwenyewe nini kitafuata ndani ya muongo mmoja ujao tunazidi kupunguza gap kwa sababu toka 2010 nimeshinda makombe 10 wewe umeshinda 5 unataka nikwambie nini unachohofia kwa Chelsea ndani ya miaka 10 ijayo? Mshaanza kuelewa wenyewe.

The rest ulichoandika huko chini ni ushabiki tu. Hili swali jiulizeni na mjijibu wenyewe timu bora kwa sasa ni ipi? Majibu bakini nayo wenyewe. Ukweli unaumwa nyie acheni tu.

London will always be blue
Ambacho unashindwa kuelewa ni kwamba Arsenal imekua timu shit, imekua na average players lakini hizo unazoziona namba za kawaida kuzifikia ulishindwa.

Katika uzi wenu hua mpo bize kumlaumu Lampard na kusema hamumtaki. Arteta yupo hapa muda mdogo kuliko Lampard lakini kuna dira kaionyesha, nyinyi mnalalama bado Lampard haeleweki. Unafikiri hiyo gape utaikava kama kuchukua supa glu na kuiweka kwenye rekodi? Za kipigo na makombe? Huku mkikiri kocha wenu ni ujinga mwingine ulioletwa na bodi?

Timu yenu imecheza mechi ya kirafiki na Brighton, huku waliosajiliwa wote wakipata namba. Nikumbushe mmetoka nao ngapi ngapi.
 
Pamoja na yote Elnino Malavila , alikuwa mtu sana

Moja kati ya wachezaji bora niliowashuhudia wakipita Arsenal

Mashabiki tulishakusamehe , View attachment 1557957
Chapati tu hiyo.

Mtu kama huyu, Adebayor, Van Persie, Fabregas, Cole, Song, Nasri n.k ni kuwaacha tu. Hata hii picha uliyoileta hapa ni kumpa umaarufu tu watu wameshamsahau.
 
Chapati tu hiyo.

Mtu kama huyu, Adebayor, Van Persie, Fabregas, Cole, Song, Nasri n.k ni kuwaacha tu. Hata hii picha uliyoileta hapa ni kumpa umaarufu tu watu wameshamsahau.
Mm nilishamsamehe

Alikuwa moja ya wachezaji niliowapenda sana

Sanchez

Ox Chamberlain

Theo walcoth

Santiago Carzola
 
Arteta sees Martinelli as a striker.

Arsenal manager Mikel Arteta has said he sees Gabriel Martinelli as a centre-forward despite playing both him and Pierre-Emerick Aubameyang in wide-left roles at points this season.

Martinelli has had a hugely impressive debut campaign with the Gunners, looking one of the most exciting young talents in the game at the moment with ten goals in all competitions at the age of just 18.

Some of those goals have come from a wide-forward role, but it seems in the long run Martinelli will play more centrally, with Arteta suggesting the reason he’s had to tweak his system this season is due to injuries, which has also involved winger Bukayo Saka moving into a new position at left-back, creating a vacancy further forward.

“[Aubameyang and Martinelli] are centre forwards but with the squad balance that we have at the moment, to play on those positions on the left we don’t have five players,” Arteta said, as quoted by the Metro.

“We are using one left-winger to play as a left-back [Saka] and he is not a left-back so we’re just trying to adapt to the situation that we have today, trying to create an amount of goal threat that can be successful for the team. that’s part of managing the players that we have.”

Wherever Martinelli’s best position is, Arsenal look to have a real talent on their hands and it will be exciting to see how he develops in the next few years.

IMG_20200903_213149.jpg
 
Ambacho unashindwa kuelewa ni kwamba Arsenal imekua timu shit, imekua na average players lakini hizo unazoziona namba za kawaida kuzifikia ulishindwa.

Katika uzi wenu hua mpo bize kumlaumu Lampard na kusema hamumtaki. Arteta yupo hapa muda mdogo kuliko Lampard lakini kuna dira kaionyesha, nyinyi mnalalama bado Lampard haeleweki. Unafikiri hiyo gape utaikava kama kuchukua supa glu na kuiweka kwenye rekodi? Za kipigo na makombe? Huku mkikiri kocha wenu ni ujinga mwingine ulioletwa na bodi?

Timu yenu imecheza mechi ya kirafiki na Brighton, huku waliosajiliwa wote wakipata namba. Nikumbushe mmetoka nao ngapi ngapi.
Mkuu usinilishe maneno wanaolalama ivyo ni wachache ambao naweza sema wana uelewa mdogo sana na mpira. Vuguvugu la kumtusi Lampard limekuja kuongezwa kuni na washabiki wengi kutoka humu wakijua watatuhamisha lakini baadhi ya wachache kutoka kwetu hawajui chochote wanafuata mkumbo tu. Hawajui kilichokua kinatucost pia ni kubadilisha badilusha makocha kila mara so wengi wao walikua wanafanya kazi kwa pressure ya kutaka matokeo ya haraka ndio maana unakuta hatuwezi kukaa zaidi ya misimu zaidi ya miwili tuko on form.

Lampard ni kocha mzuri na huwezi kumjudge kwa mechi ya kirafiki dhidi ya BHA ambaye hata nyie pia aliwafunga baada ya likizo ya corona. Ubora wa Lampard umeonekana na utazidi kuonekana kama wewe huoni pole au labda tutumie ule msemo The Grass Ain't Greener On The Other Side yaan wewe unavutia kwako tu ila Lampard huyu atawezesha kila kitu pale darajani.

Anyways msimu ujao unaanza soon tutayaona haya tunayoyasema.
 
Huyu Sanchez mnafki tu, alifikia hatua akawa analalamikia wenzie hovyo uwanjani, analeta migogoro klabuni na ni yeye ambaye alimjaza ujinga Ozil hadi leo unaona madhara yake.

Kilichompeleka United ni ile ofa kubwa ya mshahara aliyopewa, sasa leo anaanza kuongelea mambo ya United kwa kashfa, hizo ni tabia za watu wasio na shukrani hana tofauti na wanasiasa wanao hama vyama vilio walea na kuanza kuvitukana.

Arsenal mwishoni walikubali kumpa hiyo salary akasema hawezi kubaki Arsenal kwa vyovyote vile. Eti leo ndio anaongea upuuzi huo, naamini hata Arsenal wakiona maneno yake wanazidi kumdharau. Kesho usishangae akiongea shit kuhusu Inter.
Pamoja na yote Elnino Malavila , alikuwa mtu sana

Moja kati ya wachezaji bora niliowashuhudia wakipita Arsenal

Mashabiki tulishakusamehe , View attachment 1557957
 
Mm nilishamsamehe

Alikuwa moja ya wachezaji niliowapenda sana

Sanchez

Ox Chamberlain

Theo walcoth

Santiago Carzola
Hata me nakiri nilimpenda sana, naamini fans wote na club pia ilimpenda sana na kumuhitaji.

Pamoja na 'Arsenal darling' treatment aliyopatiwa pale, alituacha kipindi tunamuhitaji sana na club ilikuwa kwenye kipindi kigumu mno.

Aliondoka kikatili kwenda kwenye team ambayo hata haikumuhitaji ila ilimchukua sababu tu alipatikana on cheap baada ya kugoma kusign new contract.

Tulimtoa pale Barca akiwa bench warmer na aliambiwa ni 'surplus to requirements' tukampa heshima na ufalme ila alichotulipa sasa... yeye na wenzie walioondoka kwa nyodo hizo wote wameishia kutanga tanga tu.
 
Hata me nakiri nilimpenda sana, naamini fans wote na club pia ilimpenda sana na kumuhitaji.

Pamoja na 'Arsenal darling' treatment aliyopatiwa pale, alituacha kipindi tunamuhitaji sana na club ilikuwa kwenye kipindi kigumu mno.

Aliondoka kikatili kwenda kwenye team ambayo hata haikumuhitaji ila ilimchukua sababu tu alipatikana on cheap baada ya kugoma kusign new contract.

Tulimtoa pale Barca akiwa bench warmer na aliambiwa ni 'surplus to requirements' tukampa heshima na ufalme ila alichotulipa sasa... yeye na wenzie walioondoka kwa nyodo hizo wote wameishia kutanga tanga tu.
Hana fadhila mpuuzi Yule..
 
Tunamlaumu sanchez kwa alichokifanya lakin tunasahau kipindi kile arsenal ilikuwa inazingua hata sisi mashabiki tulikuwa tunaliona hilo na pili n kwa sababu alipoenda hakupata makombe....
Mkumbuke mpira n pesa
 
Tunamlaumu sanchez kwa alichokifanya lakin tunasahau kipindi kile arsenal ilikuwa inazingua hata sisi mashabiki tulikuwa tunaliona hilo na pili n kwa sababu alipoenda hakupata makombe....
Mkumbuke mpira n pesa
Hatumlaumu kwa sababu ya kuondoka, wengi wameondoka ila issue ni unaondokaje?

Aligoma kusaini mkataba kwa madai ya kutaka mshahara wa £350,000/= kwa wiki yeye na Ozil wote walikuwa na matakwa hayo, baada ya majadiliano marefu Arsenal wakakubali kumpatia huo mshahara kisha Ozil auzwe lakini aligoma pia akataka aondoke na kwenda United. Ikabidi aachwe aende ili Ozil apewe huo mshahara abaki tusipoteze key players wote.

Kwa kipindi kile Arsenal na United wote tulikuwa kwenye kujenga vikosi hamna timu za vikombe kwa wote useme alihitaji vikombe.

Baada ya miaka miwili leo anasema alipohudhuria training session ya kwanza United alitaka kurudi Arsenal baada ya kugundua mambo hayakuwa kama yanavyo onekana kwa nje (yaani alijutia).

Sasa kwa nyodo zile alizoondoka nazo then unamskia leo anatoa kauli hiyo si unaona ni mtu asiye jielewa na mnafki, heri angekaa kimya tu. Wenzake wengi waliondoka (Fabregas, Nasri, Adebayor, Van Persie nk) na bado maisha yakaendelea.
 
Back
Top Bottom