Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Dan cebayos under Arteta
Yeah! Ni vizuri wote wawepo ili tuwe na kikosi deep cha kuweza kupambana kwenye mashindano yote.The signing of Dani Ceballos does not stop the ‘probable’ arrival of Thomas Partey. Arsenal are still in advanced negotiations with Partey & Atletico Madrid. [@Patrick_Juan7] #afc
Hata ya aubaUlivyofika muda wa penati Nelson akamfuata Arteta akasema "Nitaanza mimi" Arteta akamkubalia. Nelson anasema 2017 wakiwa stage ya matuta alimuomba Wenger apige penati lakini Wenger alikataa, kipindi kile Nelson alikua na miaka 17.
Jana kufungua dimba ilikua ni yeye akikumbukia tukio la nyuma na ambacho angeweza kufanya.
Penati kali ilikua ya Niles hata hivyo.
Ceballos amebadilisha picha Ig katoa ambayo amevaa jezi ya Arsenal. Pia ameandika yeye ni mchezaji wa Madrid.Arsenal are planning to announce soon the ‘coming back’ of Dani Ceballos after he turned down three loan bids [from Italy and Spain]. “Only Arsenal” was his answer. Simple loan from Real Madrid. Contracts signed for Gabriel - no problem, it’s 100% done.️
#AFC #Arsenal #RealView attachment 1554933
Kwahiyo harudi Arsenal?Ceballos amebadilisha picha Ig katoa ambayo amevaa jezi ya Arsenal. Pia ameandika yeye ni mchezaji wa Madrid.
Ni majaliwa. Zidane alisema anarudisha wengi waliotoka kwa mkopo, huyu ni mmoja wao. Wiki baada ya ile kauli Dani akabadilisha bio Ig na picha. Hapo alikua ametoka kusema "See you soon" kwa Nketiah (au Willock sikumbuki vizuri) ambayo it was a bigger sign that he is gon come back. Baada ya kauli ya Zidane na yeye kubadilisha Ig page yake ndiyo tunasubiri hayo majaliwa.Kwahiyo harudi Arsenal?
Nadhani alikosea, yeye bado ni mchezaji Real Madrid, ilikuwa ni unproffesional kujionyesha ki-ArsenalNi majaliwa. Zidane alisema anarudisha wengi waliotoka kwa mkopo, huyu ni mmoja wao. Wiki baada ya ile kauli Dani akabadilisha bio Ig na picha. Hapo alikua ametoka kusema "See you soon" kwa Nketiah (au Willock sikumbuki vizuri) ambayo it was a bigger sign that he is gon come back. Baada ya kauli ya Zidane na yeye kubadilisha Ig page yake ndiyo tunasubiri hayo majaliwa.
Sasa bro wewe hujui kuwa yule ni mchezaji wa Madrid na sio Arsenal!.. Ile picha ingemharibia maana angeonyesha hana mapenzi na timu.. Hebu fikiri kwa mfano Mo Elneny amerudi toka mkoponi halafu mpaka sasa awe anaonekana ana jezi ya alikotoka unadhani tutamuelewa?Ceballos amebadilisha picha Ig katoa ambayo amevaa jezi ya Arsenal. Pia ameandika yeye ni mchezaji wa Madrid.
Bado ni mchezaji wa Madrid ,Ni majaliwa. Zidane alisema anarudisha wengi waliotoka kwa mkopo, huyu ni mmoja wao. Wiki baada ya ile kauli Dani akabadilisha bio Ig na picha. Hapo alikua ametoka kusema "See you soon" kwa Nketiah (au Willock sikumbuki vizuri) ambayo it was a bigger sign that he is gon come back. Baada ya kauli ya Zidane na yeye kubadilisha Ig page yake ndiyo tunasubiri hayo majaliwa.

Mimi sijui si unajua sijui kiingereza.Sasa bro wewe hujui kuwa yule ni mchezaji wa Madrid na sio Arsenal!.. Ile picha ingemharibia maana angeonyesha hana mapenzi na timu.. Hebu fikiri kwa mfano Mo Elneny amerudi toka mkoponi halafu mpaka sasa awe anaonekana ana jezi ya alikotoka unadhani tutamuelewa?
Kwa sasa hivi yeye kuja pale ni uamuzi wa Madrid zaidi as yeye binafsi kamwambia Arteta kua anataka kurudi. Arteta kasema wamekubaliana hivyo ila inabidi wasubiri maamuzi ya Madrid.Bado ni mchezaji wa Madrid ,
Tayari kasharudi Arsenal ,nadhan Leo watamtambulisha
Soma hapa kwa Fabrizio
As reported elsewhere, Arsenal are close to landing Dani Ceballos on loan for another season from Madrid - Talks have progressed well in last couple of days.
Full story
Arsenal close in on Ceballos after breakthrough in Madrid talks | Goal.com
@Castr deal limeshakuwa zuri , almost doneKwa sasa hivi yeye kuja pale ni uamuzi wa Madrid zaidi as yeye binafsi kamwambia Arteta kua anataka kurudi. Arteta kasema wamekubaliana hivyo ila inabidi wasubiri maamuzi ya Madrid.
️
#AFC #Arsenal #RealJamaa hasomi vizuri na akaelewa vizuri au anaelewa lakini anafanya kusudi .. Ndio maana nilimuuliza kama lugha ya malkia inampiga chenga.@Castr deal limeshakuwa zuri , almost done
Soma hapa
Arsenal are planning to announce soon the ‘coming back’ of Dani Ceballos after he turned down three loan bids [from Italy and Spain]. “Only Arsenal” was his answer. Simple loan from Real Madrid. Contracts signed for Gabriel - no problem, it’s 100% done.️
#AFC #Arsenal #Real
Mbona nilishakujibu inanipiga chengaJamaa hasomi vizuri na akaelewa vizuri au anaelewa lakini anafanya kusudi .. Ndio maana nilimuuliza kama lugha ya malkia inampiga chenga.
Niliona agent wa Thiago Silva, Paul Tonietta akisema, "PSG lost two years the day they recruited Emery, they would have won the champions league by now if not his appointment".Unai alikuwa mbabaishaji sana!.. Napiga picha mpaka leo tungekuwa na Unai tungekuwa tumerudi nyuma kiasi gani!
Sidhani kama inamaanisha harudi ila kuacha picha zake za Arsenal wakati negotiations bado zinaendelea na loan deal yake imeisha sio jambo sahihi. Kumbuka Ceballos ni Madrid player kwetu alikuwa kwa mkopo tu na ulivyoisha alipaswa kuondoa picha zinazohusiana na Afc.Ceballos amebadilisha picha Ig katoa ambayo amevaa jezi ya Arsenal. Pia ameandika yeye ni mchezaji wa Madrid.
Zidane ameshindwa kumhakikishia first team place na Ceballos anataka kuwa part of Spain kwenye Euro next year.Ni majaliwa. Zidane alisema anarudisha wengi waliotoka kwa mkopo, huyu ni mmoja wao. Wiki baada ya ile kauli Dani akabadilisha bio Ig na picha. Hapo alikua ametoka kusema "See you soon" kwa Nketiah (au Willock sikumbuki vizuri) ambayo it was a bigger sign that he is gon come back. Baada ya kauli ya Zidane na yeye kubadilisha Ig page yake ndiyo tunasubiri hayo majaliwa.
Kweli kabisa!.. PSG ingekuwa mbali sana.. Arsenal pia tulikuwa tumeshapotea kabisa!.. Lakini sasa hivi timu ikicheza unaona kabisa tuna timu na timu zote kubwa pale EPL hakuna yenye uhakika wa kutufunga kwa sasaNiliona agent wa Thiago Silva, Paul Tonietta akisema, "PSG lost two years the day they recruited Emery, they would have won the champions league by now if not his appointment".
I think the statement has the same weight when it comes to Arsenal, we lost 18 months of progress under him.
Kweli kabisa!.. PSG ingekuwa mbali sana.. Arsenal pia tulikuwa tumeshapotea kabisa!.. Lakini sasa hivi timu ikicheza unaona kabisa tuna timu na timu zote kubwa pale EPL hakuna yenye uhakika wa kutufunga kwa sasa