Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa mbona amekataa halafu wanasema anarudi?
Hajakataa Arsenal, kakataa ofa za timu nyingine tatu

Kumbuka Madrid walimrudisha ili wamuuze ,

Moja ya waliomuhitaji kwa kumnunua kabisa ni Ac Milan, na timu ya kijijini kwao Real Betis

Mwisho Arteta kamshawishi , Anarud kwa mkopo tena

Nilisema hapa Arteta amesema anataka kupambania mataji ,ni dhahiri hatutaenda na viungo hawa hawa


Toreira ,Gunduz wanauzwa ,Hapo Lazima tutaongeza Watu zaidi
 
Unai alkua anaenda anfield

Aliongea kauli za kipuzi sana toka hapo namzarau huyu
IMG_20200831_223228.jpg

 
Hajakataa Arsenal, kakataa ofa za timu nyingine tatu

Kumbuka Madrid walimrudisha ili wamuuze ,

Moja ya waliomuhitaji kwa kumnunua kabisa ni Ac Milan, na timu ya kijijini kwao Real Betis

Mwisho Arteta kamshawishi , Anarud kwa mkopo tena

Nilisema hapa Arteta amesema anataka kupambania mataji ,ni dhahiri hatutaenda na viungo hawa hawa


Toreira ,Gunduz wanauzwa ,Hapo Lazima tutaongeza Watu zaidi
Huyu Arteta ana convicing power ya kufa mtu... Hapa tumepata bonge la kocha
 
Tungekuwa championship muda huu
Hali ilikuwa mbaya!.. Mpaka vitimu vya hovyo vilikuwa vina uhakuka kutufunga!.. Lakini sasa hivi mpaka liver mwenyewe haamini kama kafungwa mara mbili ndani ya suku 45 tu, man city kapigwa, chelsea tukala kichwa.... Huu msimu nina uhakika tunamaliza top four na ikiwezakana tunabeba kombe jingine
 
Arsenal are planning to announce soon the ‘coming back’ of Dani Ceballos after he turned down three loan bids [from Italy and Spain]. “Only Arsenal” was his answer. Simple loan from Real Madrid. Contracts signed for Gabriel - no problem, it’s 100% done. #AFC #Arsenal #Real
IMG_20200901_040954.jpg
 
Back
Top Bottom