Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yah Gunduz hela imemchanganya sana, sijui sana background yake ila inawezekana katoka familia duni, pia kutoka ligue 2 hadi kucheza Epl kwa club kubwa kama Arsenal kajiona kamaliza kila kitu.

Niliona anatukana senior players wa Watford siku ile kuwa anawazidi mshahara watamwambia nini? Na hata alipotakiwa kuomba radhi kwa Arteta na Edu aligoma.

Ni nidhamu mbovu sana, mtu wa vile future yake ni very unclear hana tofauti na watu kama kina Balotelli
Hata kocha wake wa Academy ,anasema ndivyo alivyo

Pale Arsenal ,Luiz ndio mlezi wa hawa kina Saka, Guendouz, N.k

Hata Saka kuongeza mkataba alimshukuru Sana Luiz

Sasa ,Unaambiwa Arteta alimtuma Luiz akaongee nae , Lakini Dogo bado jeuri

Kumbe hakuanzia hapo Arsenal ,toka alipotoka kocha wake alisema

He said:

"Guendouzi's problem is not physical and is not technical. It's his attitude.

"It's not good for the team or the coach. My relationship with him wasn't very good."

Frenchman Casoni, now in charge of Algerians MC Alger, gave a clear example of how Guendouzi's behaviour undermined the whole team during a Lorient match.

The 58-year-old said: "I picked him for a cup game against Nice but he got booked early on.



"The ref told me at half time to warn Guendouzi, 'one more foul and you're off'.

But in the second half nothing changed.

"I was left with no choice but to sub him off. When I did, he refused to shake my hand."

But Casoni added:

"He took his job seriously, his training was no problem, and his character is to always want to win.
 
Ozil ngozi tu ni nyeupe ila jamaa ana tabia za 'kiswazi' sana, anaona ufahari gani kulipwa rundo la hela wakati amekaa bench?!

Mbaya zaidi hata akipewa nafasi ya kucheza hajitumi, mbali na hasara kwa club ni mfano mbaya sana kwa young players.

Jitu zima limetoka Madrid linazidiwa statistically na Saka aliyekuwa analipwa £3,000/= kwa wiki. Unakuwaje star player usiyeona aibu kuzidiwa stats na academy graduate unayemzidi mshahara kwa zaidi ya mara 100?! Na bado aligoma kukatwa mshahara kipindi hiki cha covod-19.
Angetumia busara tu,eti anataka kukaa had mkataba wake uishe ndio aende huko uarabun
 
Arsenal statement on Mkhi

“We have agreed to terminate his contract with us by mutual consent to allow him to join Roma in a permanent move.”
 
Hii ina maana Sokratis to NAPOLI


Breaking | Napoli defender Kalidou Koulibaly has agreed personal terms with Manchester City, according to France Football.
 
Gabriel Magalhães anatimiza siku ya 7 kati ya 14 za karantini hii leo na kuna uwezekano akatangazwa baada ya kutoka karantini (jumanne ijayo) au ndani ya wiki hii.

#coyg
 
Comredi Kipepe
JamiiForums1826165100.jpg


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Martin Keown on Gabriel:

“He’s really strong, quick, left-footed player. I saw him play against Chelsea last season. A magnificent player, I think he’s the future, he sees danger & he’s a leader. I sincerely hope this transfer does go through & he becomes an #Arsenal player.”
IMG_20200828_210101.jpg
 
Dani Ceballos is coming back to Arsenal on loan. Advanced talks and agreement to be completed soon - as reported by @JLSanchez78.
Arteta has called Ceballos to convince him - three bids turned down to come back to #AFC. Green light from Real Madrid soon. #transfers #Ceballos
 
We are losing Torreira and Guendouzi. Ceballos coming back was huge. Even more on loan because we will have the ability to still sign Partey and an AM. I don’t believe his return will affect other incomings due to the departures of the Uruguayan and Frenchman.


 
Back
Top Bottom