Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

This is Saliba as a boy. When he was 12, opposition coaches thought he was powerful enough to be playing with 17-year-olds. His coach with France under-18 tells me:

"My first impression was that this was the biggest man of his generation."


William Saliba does not want to be patient at #AFC — he wants to start now. This is the story of his rise

Saying no to Man U & Spurs
️Helped by Saka, Nketiah & Willock
Former coach: "A mix of Varane & VVD"
️The apology that showed his mentality

The making of William Saliba: The talent of a generation ready to make his mark at Arsenal

https://t.co/HykC9vYKHo
IMG_20200824_131454.jpg
IMG_20200824_131451.jpg
 
Basi huangalii mpira huyo mtu.ni hatari na nusu

Ni kweli unaweza usimuone sababu kwa ARTETA toka amekuja Ceballos anacheza kama DLP(Deep lying playmaker)

Kazi iliyomnyima Toreira namba ,



DEEP LYING PLAYMAKER.
Tofauti yake na deep lying midfielder au holding midfielder ni kwamba, deep lying playmaker focus yake ya kwanza uwanjani ni kuifanya timu iende mbele zaidi. Anaweza asiwe na majukumu makubwa ya kukaba na kuzuia lakini anahakikisha anai-push timu iende mbele. Mara nyingi viungo wa aina hii wanakua na uwezo mkubwa wa kupiga pasi za mbali zenye uhakika, pasi ya ‘kuhamisha uwanja’. Mfano mzuri ni kiungo mtaalamu Andrea Pirlo. Nchini Italy viungo wa aina hii hujulikana kama “Regista”. Nchini Brazil kama “meia-armador”.


Kwahiyo unatakiwa ujue Majukumu yake kwanza ,ndio utajua umuhimu wake ceballos
Kwa hiyo "pass accuracy" kwa Ceballos unaweza kumlinganisha na Ozil, Cazorla, Rosicky, Fabregas au Vieira?
 
Wanarudisha kwao?? Ndio sababu ya kumtaka??

Aaron hebu kuwa straight bhana sometimes. Wanataka walipe £35M ili wamrudishe kwao tu?

Castr
Don Clericuzio
Sidhan kama watatoa hiyo hela japo ndio dau Arsenal walihitaji

Kwani wakimtaka ndio anafaa sana kwa Arsenal ?

Nakwambia ni kocha mwenye akili za emery atakayeamini Guendouz anafaa kuanza kikos kama cha Arsenal halafu upate mafanikio ,

Yaani kwa mpira wake labda Huko ufaransa

Ndio maana baada ya emery hajawahi kupewa airtime tena ,
 
Mikel Arteta is still eyeing up two more signings, after he gets hold of Gabriel Magalhaes.

Arsenal are likely to want to add more steel to the midfield and a forward.

[Guardian]
IMG_20200815_152308.jpg
 
#Milan wants Dani #Ceballos again, but the Spanish midfielder has prioritized #Arsenal and wants to return to #Arteta.
 
Back
Top Bottom