Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

@Will jr

Ivi tatizo lipo kwa atheltico Madrid au partey? Maana week ya nne hii
Subiri kuanzia kesho utasikia tupo wapi ,

Partey nadhan tunasubiri tuuze kwanza ,huyu ni usajiri wa mwisho kabisa ,

Maana ni kwenda kutrigger release clause tu

Personal term already agreed

Tegemea kwanza waondoke Guendouz na Toreira

Ujio wa Gabriel , tegemea Sokratis kusepa muda wowote
 
Arteta to reshuffle his backroom staff kuanzia wiki ya kesho.

Kuna mtu kutoka Brentford anakuja pale na wengine pia.

Kuanzia saa nne usiku Leo tutapata news news news
 
Kijana anajitahidi. Ni vizuri apate backroom staff atakaoweza kufanya nao kazi vizuri. Ila swala la usajili nimejifunza kutokuamini tetesi yoyote ile. Kama Gabriel na Partey ni mpaka niwaone Arsenal.com wanapiga danadana ile pale Colney ndiyo nitaamini.
 
After Gabriel Magalhaes nadhani sasa Edu na Kina Hussy Fahmy wanageukia eneo la Midfield Partey na Aouar ndio first priority Pamoja na kumrejesha Ceballos kwa mkopo Arsenal tuna jambo letu 2020 /2021
 
Sasa hivi sajiri nyingi zitakuwa wahispania n wabrazil View attachment 1545416
Kwa kuwa Artera na Edu wanatokea huko na inaonekana kana kwamba wahispania na wabrazili ni ngangali mno au wakakamavu mno tupo nyuma yao haya ni maoni yangu wenye chuki na chama mjinyonge!!
Acha tujenge timu!!
Always London is Red na makombe ndiyo tumeanza kufungua na FA mengineo yanakuja!!
Yajao yanafurahisha!! Chini ya mamwamba Arteta na Edu!!
 
Subiri kuanzia kesho utasikia tupo wapi ,

Partey nadhan tunasubiri tuuze kwanza ,huyu ni usajiri wa mwisho kabisa ,

Maana ni kwenda kutrigger release clause tu

Personal term already agreed

Tegemea kwanza waondoke Guendouz na Toreira

Ujio wa Gabriel , tegemea Sokratis kusepa muda wowote
Mustafi yupo sokoni
 
My brother

Haimaanishi statistics za RB LEIPGZ vs PSG ndo ikawa factor ya PSG kufungwa na BEYERN,Always mpira haupo hivo,kila timu inacheza kutokana na quality ya opponent pia vilevile timu hucheza kutokana na stage ya tournament.. PSG final stage ndo Mara yao ya kwanza..so I hope watapambana

Unfortunately enough am not a gambler ila tayari buku2 tayar ushaliwa

Remember my words kwamba Neymar jr atawabeba PSG
Dah sawa.
 
Kijana anajitahidi. Ni vizuri apate backroom staff atakaoweza kufanya nao kazi vizuri. Ila swala la usajili nimejifunza kutokuamini tetesi yoyote ile. Kama Gabriel na Partey ni mpaka niwaone Arsenal.com wanapiga danadana ile pale Colney ndiyo nitaamini.
...mpaka niwaone wanapiga danadana...

This got me
 
Si unajua transfer madness (silly season) inavyokuwa England? utakuwa linked na wachezaji zaidi ya 10 usisajili hata mmoja 😄😄
 
Fabrizio Romano anaaminika katika hii sekta
 

Attachments

  • Screenshot_20200823-123606.png
    Screenshot_20200823-123606.png
    384.3 KB · Views: 8
Aliyekuwa kocha wa muda mfupi wa Arsenal, Freddie Ljungberg ameachana na klabu hiyo. Kabla ya ujio wa Mikel Arteta, Ljungberg alikuwa kocha wa muda akishika nafasi iliyoachwa wazi na Unai emery na baada ya ujio wa Arteta akawa sehemu ya benchi la ufundi.


"Nimefikia uamuzi huu ili nikajiendeleze katika malengo yangu ya kuwa kocha mkuu" View attachment 1545159
Uyo ndo mastermind wa arteta ..ngoja uone atakavyovuruga.
 
Back
Top Bottom