Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Subiri kuanzia kesho utasikia tupo wapi ,@Will jr
Ivi tatizo lipo kwa atheltico Madrid au partey? Maana week ya nne hii
Partey nadhan tunasubiri tuuze kwanza ,huyu ni usajiri wa mwisho kabisa ,
Maana ni kwenda kutrigger release clause tu
Personal term already agreed
Tegemea kwanza waondoke Guendouz na Toreira
Ujio wa Gabriel , tegemea Sokratis kusepa muda wowote
