Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni sawa kabisa tunahitaji kurudi 'where we belong'. Nadhani sasa hivi pia mambo yamechange pale Epl. Timu kama Liver, City na Spurs ambazo hapo nyuma kidogo zilikuwa mid-table teams sasa hivi unaona walivyo. Siyo big 4 tena ila ni big 6, Epl ina almost team 6 zinazoweza kuchallenge ubingwa come the end of the season.

Sasa hawa wenzetu kina City, Chelsea na Utd kifedha hatuwawezi hivyo inabidi tutafute namna ya kupambana nao ambayo ni nje ya ile ya kifedha, hapo ndiyo issue ya kuminimize cost inapokuja. Vinginevyo utatumia hela nyingi afu hata big 4 usiingie.
Umesema kweli mkuu, lakini nionavyo mimi cost effective ndio inaleta madhara makubwa zaidi,Just imagine timu haipo UCL kwa misimu minne mfululizo tunazidi poteza zaidi ya wanachokipata.Tulipofikia inabidi kuvunja kibubu labda tu pesa kama hakuna.
 
Partey ndo basi tena, nafasi yake ishapata ntu
Kasema nan?

Au kwakuwa umeona huo usajiri wa huyo mtoto? Fungua hiyo link usome

Arsenal ina utaratibu tofauti inasajiri academy players u18 na u23

Huyo mtoto kasajiriwa kwenda u23 kuungana na kina Lewis ,akinola , n.k


Huo usajiri unasimamiwa na Per meterseker ,

Fungua link usome , maelezo yapo ya kutosha
 
BREAKING Gabriel will wear the number 6 for arsenal next season. 5 Year deal signed sealed and delivered. Let’s go.


#Arsenal #Transfer #News
 
Partey ndo basi tena, nafasi yake ishapata ntu
Salah-Eddine: "First I want to become an important player in the U23s & then eventually get involved with the first team in some capacity"


Salah-Eddine on how it feels to join Arsenal:

"It feels great to join a massive club like #Arsenal. It’s a good environment for me to work on my development & hopefully through the academy I can become a first-team player"

Salah-Eddine on his style of play:

"I’m a central midfielder & I like to play box to box. Offensively I’m a creative player & I can play with my left or right foot. I score goals & get assists, & defensively I like to think I do my bit too, especially in the transition" #Arsenal
 
Nyie takataka tutawalamba hapo hapo kwenu.

Mark this.
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kichapo cha Wembley kimeshapoa?
IMG_20200818_104030.jpg
 
Breaking | Brazilian sources tell @SaberDesfa that Gabriel will finalise contractual details with Arsenal today ahead of a €30m move on a 5-year contract.
 
Back
Top Bottom