Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Veterans fc
Screenshot_20200817-172442.jpg
 
L'Equipe: LOSC center-back Gabriel is very close to joining Arsenal, who are offering him a five year contract. The Gunners have never been this close to an agreement, which is due in the coming hours.
 
| #AFC

Arsenal are expected to reach a final contractual agreement with LOSC Lille defender Gabriel Magalhães in the coming hours [@lequipe]

More news is coming out of France
 
Habari za Gabriel kutoka vyanzo vya ufaransa kama LÊquipe ,Telefoot ,RMC1 ndio za kuaminika 100%


Tayari LÊquipe na Telefoot wameripoti Gabriel anakaribia kujiunga Arsenal ,

RMC 1 wao wanasema maamuzi atafanya 100% atafanya usiku wa Leo,au kufikia kesho

LÊquipe ni chanzo kinachoaminika sana ufaransa ,ndio walikuwa wakwanza kutoa habari mwaka Jana kuwa Arsenal katuma ofa ya €80m kwa Lille kumtaka pepe ,huku media za U.K zikidai Arsenal hawezi kutuma hiyo ofa .


Tuendelee kusubiria hitimisho, hadi sasa 80% Gabriel Magalhaes anaelekea Arsenal.
IMG_20200820_000834_960.JPG
 
Kieran Tierney on Luiz:

“He’s a legend. The biggest legend ever. I love him. He’s so good with all the young boys & everybody loves him. He’s a proper leader, like even if he’s not got the armband, he still leads.” [@opengoalsport] #afc

Tierney:

“I signed the same day as David Luiz. He is a winner, a born winner. He was saying to me during the season when we were doing bad, ‘we are going to win silverware this season, believe me’. He is about motivational speeches & all that, when he talks, everybody listens.”

Tierney on Luiz:

“He said to me one game when I hadn’t had my best game, we drew, we should have been winning as it was a home game, the fans were on us & we weren’t doing well, he just went, ‘Don’t worry about it, you keep playing your football & I will take the heat’.” #afc
IMG_20200820_001026.jpg
 
Habari za Gabriel kutoka vyanzo vya ufaransa kama LÊquipe ,Telefoot ,RMC1 ndio za kuaminika 100%


Tayari LÊquipe na Telefoot wameripoti Gabriel anakaribia kujiunga Arsenal ,

RMC 1 wao wanasema maamuzi atafanya 100% atafanya usiku wa Leo,au kufikia kesho

LÊquipe ni chanzo kinachoaminika sana ufaransa ,ndio walikuwa wakwanza kutoa habari mwaka Jana kuwa Arsenal katuma ofa ya €80m kwa Lille kumtaka pepe ,huku media za U.K zikidai Arsenal hawezi kutuma hiyo ofa .


Tuendelee kusubiria hitimisho, hadi sasa 80% Gabriel Magalhaes anaelekea Arsenal.View attachment 1542548
Huyu Gabriel anacheza nafasi ipi?sijawahi kumskia
 
Tayari media za U.k zimeanza kuripoti

Nilisema tusubiri kwanza media za ufaransa ndio zenye uhakika wa deal hili, kama ilivyokuwa deal la pepe, saliba

Wakitoa LÊquipe,Telefoot, RMC1

na media za U.k zitafata


Tayari zimeshaanza kuripoti


Inasemekana huenda akafanyiwa vipimo kesho



Duncan castle anaeipoti...



Understand Lille have agreed to sell Gabriel Magalhães to Arsenal for a fee of €30million.
Brazilian centre back due to take medical tomorrow before completing transfer to the Premier League club.
Gabriel was also targeted by Everton, Manchester United and Napoli. #AFC #BRA
 
Arsenal intend to activate Thomas Partey’s release clause next week if ‘everything goes as planned’. [@TheAFCBeII] #afc
 
Juninho (Lyon Sporting director) just confirmed to @RMCsport & @mohamedbouhafsi that Houssem Aouar & probably Moussa Dembele are leaving Lyon this summer

Lequipe reported last week that we offered 25M + Guendouzi for Aouar. Lyon rejected the offer. let's hope we come back for him
 
The arrival of Gabriel is expected to increase Arsenal’s efforts to move on unwanted defenders such as Sokratis Papastathopoulos who has been strongly linked with Roma and Chambers, who may return to newly-promoted Fulham where he was previously on loan. [@JBurtTelegraph]
 
The arrival of Gabriel is expected to increase Arsenal’s efforts to move on unwanted defenders such as Sokratis Papastathopoulos who has been strongly linked with Roma and Chambers, who may return to newly-promoted Fulham where he was previously on loan. [@JBurtTelegraph]
Hawa waingereza sijui vipaji vyao vinapotelea wapi..

Kama huyu Chambers alikuja akiwa mzuri tu, sasa hivi kashakuwa mchezaji wa timu ndogo.
 
Back
Top Bottom